MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
Ndugu,Hayo mambo kwa chadema ndiyo mahala pake wala siyo yakuuliza kabisa.
Ndiyo maana ninajaribu kuuliza kutokana na yaliyojiri katika hoja za Prof. Safari.
Ndugu,Hayo mambo kwa chadema ndiyo mahala pake wala siyo yakuuliza kabisa.
Wewe ni kada wa CCM lakini naona siku zote moyo wako upo CDM.Ndugu,
Neno huna akili ni relative term. Wewe unaweza ukadhani sina akili lakini kuna mwingine atadhani tofauti na mtizamo wako.
Wajumbe watakaomchagua Prof. Safari watakuwa na informed decision na siyo kama bendera fuata upepo!
Kama huwezi hata kusoma na kuelewa maandiko, basi unaweza kuangalia video ya mahojiano.
Ndugu yako ni nani hapa?Ndugu,
Ndiyo maana ninajaribu kuuliza kutokana na yaliyojiri katika hoja za Prof. Safari.
Wewe molemo kumbe uzee wako haukusaidii unadhani matusi yanaondoa ukweli wa hoja iliyopo mbele yetu unaweza kutukana matusi yote na ukweli ukabaki pale pale chadema mmezidi kwa ubaguzi na ukabila msikatae.Huna akili kabisa kuleta uongo wa kipumbavu na kijinga hapa jamvini.
Una lengo ovu la kishetani ili wajumbe wasimchague Prof Safari.
Nakuapiahautofanikiwa!
Mkuu mwana,Ndugu,
Hii akili ya watu wa CCM ndiyo iliyokufanya kutoa comment!.
Suala la kumuua Nyerere ni suala ambalo liko chini ya utaratibu wa makosa ya jinai, otherwise unaweza kuwa kuwasaidia polisi kuhusiana na ushahidi wako.
Suala la mimi kupotea wala lisikusumbue kwa sababu liko juu ya uwezo wako!
Jikite kwenye mada iliyoko mezani.
Jibu hoja acha utoto unaweza kuthibitisha hiki unachoongea? Kama huna jibu la kilichopo jukwaani ungenyamaza siyo kurukaruka tu na kutunga uongo.Wewe ni kada wa CCM lakini naona siku zote moyo wako upo CDM.
Ndugu yangu ni binadamu yoyote!Ndugu yako ni nani hapa?
Chaguzi mbali mbali huwa ni kipimo cha uongozi katika jamii. Chaguzi za vyama vya siasa huwa ni kipimo cha uongozi kwa viongozi wanaomaliza muda wao au kwa wagombea wanaotegemewa kuleta maendeleo katika njia ya mabadiliko au mwendelezo wa misingi ya kile kilichokuwa kinafanywa na uongozi unaomaliza muda wake.
CHADEMA mpaka sasa imeaihirisha chaguzi zake za viongozi wakuu zaidi ya mara moja kwa sababu ambazo hazikuwekwa wazi!. Kwa sasa chaguzi tumeambiwa zitafanyika kuanzia tarehe 16/09/2014.
Nimeguswa na utayali, uwezo, uadilifu na kikubwa zaidi, sababu kuu za mgombea Makamu Mwenyekiti wa chama Taifa-Bara, Prof Abdallah Safari.
Prof. Safari ameainisha mambo makuu matano anayoenda kupambana nayo kama atachaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taifa-Bara.
1) Ukanda
2) Udini.
3) Ubaguzi wa rangi na jinsia.
4) Kuondoa umasikini, ujinga na Maradhi.
5) Ubadhirifu
Usipoyachunguza maneno/sababu anazozitaja unaweza kusema ni maneno/sababu za kawaida kabisa, lakini ukichunguza katika mantiki ya hoja pana utapata maswali fikirishi ambayo ndiyo yatakuwa akisi la CHADEMA kama chama cha kisiasa nchini hasa ikichukuliwa kuwa, Prof. Safari mpaka sasa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
Ieleweke kuwa, unaposema unaenda kupambana na jambo fulani ina maana umeliona lipo ndiyo maana ukatafuta silaha za kwenda kupambana nalo. Kama una akili timamu huwezi kwenda kupambana na adui ambaye hayupo!
Prof. Safari anaposema ameombwa kugombea ili kupambana na dhana/matatizo ya ukanda na udini ndani ya CHADEMA, kwa lugha nyingine anatuambia kuwa ndani ya CHADEMA kuna ukanda na udini!. Kama hakuna, kuna umuhimu gani wa kumchagua kiongozi anayetaka kupambana na matatizo ambayo hayapo!.
Kubwa zaidi, kiongozi makini katika chama au taifa lisilo na dini au ukanda hawezi kuchaguliwa kwa msingi wa dini au ukanda. Prof. Safari anapotaka achaguliwe kwa misingi ya dini au ukanda ina maana anaingia kwenye ulingo wa kisiasa ndani ya chama ambacho mchezo wake ni udini na ukanda. Hii inanipeleka kwenye msingi wa hoja yangu inayouliza, ni kweli ndani ya CHADEMA kuna udini na Ukanda?
[video=youtube_share;dqrIQV6x8eU]http://youtu.be/dqrIQV6x8eU[/video]
Unaweza kutokubaliana na Mwl. Nyerere lakini huwezi kukataa mantiki ya hoja yake aliposema, chama au nchi endelevu haiwezi kumchagua mtu kwa msingi wa dini yake, au sehemu anayotoka nchini. Chama au nchi inayofanya hivyo inakuwa imefirisika kifikra na kimtazamo.
Ni kweli CHADEMA imefirisika kifikra na kimtazamo? If CHADEMA is about fair and equal opportunities for all, why Prof. Safari is playing religion and zone card?
[video=youtube_share;pKscF5wA5jM]http://youtu.be/pKscF5wA5jM[/video]
Tutasikia na kuona mengi kabla ya uchaguzi wa viongozi wakuu ndani ya CHADEMA!.
Huna akili kabisa kuleta uongo wa kipumbavu na kijinga hapa jamvini.
Una lengo ovu la kishetani ili wajumbe wasimchague Prof Safari.
Nakuapiahautofanikiwa!
Ndugu,
Neno huna akili ni relative term. Wewe unaweza ukadhani sina akili lakini kuna mwingine atadhani tofauti na mtizamo wako.
Wajumbe watakaomchagua Prof. Safari watakuwa na informed decision na siyo kama bendera fuata upepo!
Kama huwezi hata kusoma na kuelewa maandiko, basi unaweza kuangalia video ya mahojiano.
Ndugu Simiyu YetuMkuu mwana,
shida ya chadema ukiuliza ukweli au kutaka kujua jambo ambalo linatokea kwenye chama chao unatukanwa chama gani hiki kila kitu ni matusi na kejeli?
Huna akili kabisa kuleta uongo wa kipumbavu na kijinga hapa jamvini.
Una lengo ovu la kishetani ili wajumbe wasimchague Prof Safari.
Nakuapiahautofanikiwa!
Ndugu, Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa udini, ukabila na ukanda ndani ya CHADEMA umepandikizwa na CCM!.CCM acheni kupindisha ukweli udini,ukabila na ukanda ni ule unaopandikizwa na CCM.
Sasa kama Prof. Safari alimaanisha unachokisema, kwa nini anatuambia anataka kwenda kupambana nayo ndani ya CHADEMA, kwa maana kuwa hayo masuala ndani ya CHADEMA anayaona ni tatizo linalomhitaji yeye kwenda kupambana nalo kama Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Bara.Safari alimanisha kuwa CHADEMA ni chama cha watu wenye dini zote,wasiyo na dini na ni chama cha makabila yote bila kujali ukanda,tofauti na longolongo za CCM ili kuthibitisha hayo ndiyo maana kagombea.
Ndugu,Mgombea yoyote hunadi Sera na husema au kuahidi atafanya nini atakapo chaguliwa na kukubali kwa prof safari kuwa atapambana na udini,ukanda na ukabila hii inadjihirisha n kweli hayo mambo ndani ya chadema
Ndugu,
Unachokisema ndiyo msingi wa hoja/maswali yangu hasa ikichukuliwa kuwa Prof. Safari ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
Ndugu,Kwani lazima achaguliwe Prof safari? Mmewaagiza wanachama wamchague?