Dhana ya kuombewa

Pole sana hauna hoja yeyote wewe.
JF is where we dare to talk openly, so if you don't have point, just shut up your fool mouth.
How many times should I say that you are a stinking asshole? Halafu kama lugha za watu huzielewi usijiabishe
 
Peleka upuuzi wako huko, mpuuzi kama wewe dawa yake ni vitasa tuu omba appointment tumalize majibizano kiazi mbatata wewe
Aisee umefikia huku, nenda kalale upunguze mawazo, mana unazidi kujidhalilisha.
 
Aisee umefikia huku, nenda kalale upunguze mawazo, mana unazidi kujidhalilisha.
Wewe ndio uende ukalale epuka pombe za offer utaolewa mchana kweupee, siku ukiona imebana na una kiu ya kiroba nipm nikuokoe...wengine watakupasulia yai bichi shauri yako
 
How many times should I say that you are a stinking asshole? Halafu kama lugha za watu huzielewi usijiabishe
Hauna hoja yeyote wewe,
Na acha kukalili mambo kwa hoja zako nyepesi
Hata walevi na vichaa wanaijua lugha ya kiingereza.
 
Hauna hoja yeyote wewe,
Na acha kukalili mambo kwa hoja zako nyepesi
Hata walevi na vichaa wanaijua lugha ya kiingereza.
Sorry ni KUKARIRI sio KUKALILI
hivi kama lugha yako ya inakushinda nyingine utaweza kweli?
 
Wewe ndio uende ukalale epuka pombe za offer utaolewa mchana kweupee, siku ukiona imebana na una kiu ya kiroba nipm nikuokoe...wengine watakupasulia yai bichi shauri yako
Ndio mnavyofanyiana hayo mambo huko uswahilini unakoishi....!!!
Aisee inasikitisha sana.
Pole ndugu kigagula jr.
Ila kesho usirudie huu ujinga hapa JF
 
Ndio mnavyofanyiana hayo mambo huko uswahilini unakoishi....!!!
Aisee inasikitisha sana.
Pole ndugu kigagula jr.
Ila kesho usirudie huu ujinga hapa JF
Pokea ushauri wangu kisha ufanyie kazi utakusaidia sana
 
Sorry ni KUKARIRI sio KUKALILI
hivi kama lugha yako ya inakushinda nyingine utaweza kweli?
Utaongea mengi sana leo, naona bado haujaongea kipare tu.
Pole sana, ila huna oja yeyote mana nilifikiri ungeni challenge kwa hoja mara ya kwanza lakini kwa kuwa huna oja umekuwa unatokana tu.
Siku nyingine unatakuwa ujipange sio una koja na hoja zako humu JF kama unaimba mipasho
 

Utanyooka tu we msukule
My ten minutes with you are over
 
Usanii katika ubora wake, ikitaka uwashike vizuri watu zitumie imani za watu kwa ufasaha. ila kuombeana bila msingi wowote huku mwenzetu unageuka pembeni, kutunanga na mikwara kibao hayo maombi unataka nani akuombee labda ukifa maana hata mchawi huombewa kwa sifa kemkem
 
Kuna watu naona hii post imewaumiza mno
 
Kuna watu naona hii post imewaumiza mno
Umerudi tena, ngoja nikufundishe tu kwamba hakuna ilie muumiza hii post ila kuna walioielewa na wanakusaidia ili siku nyingine uache kuwa na hoja za kitoto na kishabiki.
Usije kufikiri hao mashabiki wenzako wanavyokutia moyo ukajiona uko sahihi, na ukifikiria hivyo utakuwa unajidanganya sana.
 
Sidhani kama mtu akiomba kuombewa ni kosa hasa kwa mtu kama Rais wa nchi mwenye majukumu makubwa na maadui wa kila namna kwa hatua nzuri anazochukua kwa mustakabali wa nchi.
 
Binafsi sijaona umuhimu wa kumwombea huyo jamaa.... At first nilimwona mtu wa maana sana kwa hatua alizo kua anazichukua.... Lakini alivyo anza kubaka democracy ndio nikagundua huyu mtu ni hovyo tu.
 
Aombewe apite salama katika kubinya demokrasia.
 
Binafsi sijaona umuhimu wa kumwombea huyo jamaa.... At first nilimwona mtu wa maana sana kwa hatua alizo kua anazichukua.... Lakini alivyo anza kubaka democracy ndio nikagundua huyu mtu ni hovyo tu.
Wewe kama mimi mwanzo nilimuona ni mtu sahihi na nilijua ndio uyu tuliyemtegemea baada ya Nyerere lakini kila siku zinavyozidi kwenda anabadilika anakuwa mtu tofauti anaenda pasipoeleweka amekuwa mtu wa kunyanyasa watumishi wa umma, kuwa tisha watu wanaompinga na pia hapendi mtu kutoa maoni binafsi kuhusu serikali hasa hasa kuikosoa , anatoa kauli chafu , anatoa kauli tata zisizoweza kutolewa na mkuu wa nchi mbaya zaidi watu wa karibu yake wanamuangalia tu anavyopolomoka kiutendaji
 
Nyie ndio mna laana mlimtukana sana JK acha mnyooshwe na bado na hizo laana na dua zenu zitawarudia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…