Dhana ya kuombewa

Dhana ya kuombewa

Mungu atabaki kuwa Mungu, naona sasa umeacha ugagula baada ya kukosa wateja kutoka serikalini na nafikiri baada ya serikali ya Rais JPM kutangaza kumtegemea Mungu.
Utanyooka tu na utauza kila kitu sasa wewe msukule,
Na naona sasa umeanza kuuza stationary, sijui kesho utauza nini?

Hivi wew ni Me au Ke?
 
Dah mshana jr nimesoma mada hii huku nikikumbuka alichosema mama mmoja jumapili baada ya ibada.Ilikuwa hivi,kuna mzee mmoja mtoto wake alikuwa hospital.Baada ya ibada akaja na gari ili nikamwombee mtoto wake.Wakati huohuo huyu mama ana mtoto wake mgonjwa nyumbani amekosa hela kumpeleka hospitali.Mama huyu alilia kwa uchungu akisema,"pastor twende nyumbani usiliangalie gari ila mwanangu nimekosa hela kumpeleka hospitali".Ilibidi nimwombe radhi yule mzee.Nikaenda kwa yule mama.Yaani ndio nilijua kuwa kumbe yule mama anaishi mbali mno takribani masaa mawili na ni kwa mguu.Mungu atusaidie na sisi makuhani.
 
Wewe kama mimi mwanzo nilimuona ni mtu sahihi na nilijua ndio uyu tuliyemtegemea baada ya Nyerere lakini kila siku zinavyozidi kwenda anabadilika anakuwa mtu tofauti anaenda pasipoeleweka amekuwa mtu wa kunyanyasa watumishi wa umma, kuwa tisha watu wanaompinga na pia hapendi mtu kutoa maoni binafsi kuhusu serikali hasa hasa kuikosoa , anatoa kauli chafu , anatoa kauli tata zisizoweza kutolewa na mkuu wa nchi mbaya zaidi watu wa karibu yake wanamuangalia tu anavyopolomoka kiutendaji
Yani inasikitisha sana Jese...
Shida kubwa ni kwamba watanzania unafiki ni sehemu ya maisha yetu. Wapo wanao ona kabisa jamaa ana lost lakini hawamwambii ukweli.
Mungu hajibu maombi ya watu wanafiki na ndio maana taifa letu tunabaki kua masikini na kuendelea kupata viongozi wa ajabu ajabu.
 
Watanzania wengi ni watu ambao hawajui nini wanataka, everyday they think negativity about themselves and people around.
Sidhani kama Rais JPM amefanya kosa kubwa sana hadi kuanza kumshutum kiasi hicho.
Watu wanatoa mapovu kuhusu JPM, mana hao watu wamekua kama mbwa mwizi anakimbizwa, mwisho wa siku ni makelele tu yanayosikika bila mpangilio wala hoja.
 
Yani inasikitisha sana Jese...
Shida kubwa ni kwamba watanzania unafiki ni sehemu ya maisha yetu. Wapo wanao ona kabisa jamaa ana lost lakini hawamwambii ukweli.
Mungu hajibu maombi ya watu wanafiki na ndio maana taifa letu tunabaki kua masikini na kuendelea kupata viongozi wa ajabu ajabu.
1470722239376.jpg

Siku kiongozi wangu wa dini akisema tumuombee mtu huyu nitamnasa vibao.
 
Wewe ndugu Kama hupumuliwi kisogoni sijui? Mwanaume unakuwa na tabia Za kichoko kiasi hicho!
Nafikiri unajua sana kupumuliwa, hongera zako...!!!!
Choko ni ni wewe na huyo choko mwenzio kigagula jr aliyeleta huu uzi, mana ni kama mmekuwa mbwa mwizi anayefukuzwa.....!!!!
 
Nafikiri unajua sana kupumuliwa, hongera zako...!!!!
Choko ni ni wewe na huyo choko mwenzio kigagula jr aliyeleta huu uzi, mana ni kama mmekuwa mbwa mwizi anayefukuzwa.....!!!!

Umeona post zangu tu wewe msukule usiye jitambua...!!!!
Mbwa mwizi wewe
Kumbe ni kweli manii zinaathiri ubongo na kumfanya mtu awe na tabia Fulani ona unavyomwaga mipasho khadija kopa kasingiziwa kweli wee junya
 
Zee la kuropoka.. Sidhani kama kichwani huyu kiongozi yupo sahihi.. Ukimwangalia mkewe alivyoshika maiki kuomba utaona tu deep inside her heart huyo mama ana majuto makubwa sana..

Nchi imepotea hii.. Hata mimi nilikuwa nina imani nae ila sasa simwamini tena, na wala sitajaribu kumwamini kama yeye anavyosema hajaribiwa. Another ten worthless years damnit..
 
Watanzaniano hawajui wanachotaka, mana wamekuwa bendera fuata upepo.
Mtu ajamaliza hata mwaka wa utawala wake, watu wameanza kuzua zengwe na kupiga kelele na hao watu wamekuwa kama mbwa mwizi anaefukuzwa.
Always be strong on what you believe, politics is a dirty game with a lot of fool propaganda.
 
Back
Top Bottom