Dhana ya kumwangalia mtu machoni

Dhana ya kumwangalia mtu machoni

Nijijibu tena, , kuhusisha kutazamana macho na siasa za uchaguzi Tz kipindi hiki cha kampeni ndio upuuzi wenyewe.
Mnajikutaga wereevu, kumbe mandezi tu, hamjifunzi mlundikano wa watu sio kura. Subiri iyo October

😆🤭

Mbona una weweseka...
Lisu anaongea kila siku khs kumwekea pingamizi... Ccm imekua kimya mmasubiri hisani ya tume na vyombo vya Dola?
 
Unashindwa kufanya mjadala mzuri kwakuwa kuna zimwi linaitwa BAVICHA linakutisha sana
Wewe ungefocus mjadala wako kwenye kutazamana macho, sasa ukileta siasa jiandae kupata variety ya mijadala. Kwani wewe sio bavicha, si inajulikana.
 
Hii busara wamejifunza lini? For the past five years mbona sikuuona?why now?
Eti busara walijifunza lini, sasa kama Hukuiona si ndio imeanza, why now? Do u see ujinga wako bavicha
 
.... mpaka mabeberu wanakosa pa kupitia ili kutuvuruga. Hata Znz tuko bomba Mwinyi ndiyo chaguo la wazenj

Mbona hayo uliyoongea Ni nje kabisa ya mada... Jipange upya alafu uje ujibu hoja ya Mshana Jr

Kifupi ni hivi mtu aliyefanya uhalifu ni ngumu kukaza macho kwa hofu ya uovu wake... CCM Ina ficha macho
 
Kuna jambo wana usalama wanafunzwa wanapokuwa mafunzoni ..uwezo wa kumwangalia mtu machoni...hii humfanya mtu anayeangaliwa kukosa ujasiri na kudondosha macho yake ama kuangalia pembeni
Usifanye hilo kosa kabisa ukiruhusu kukwepesha macho yako umekwisha..hutapata ujasiri wa kimwangalia tena yule mnayeangaliana naye na hapo ndio atacheza na wewe atakavyo
Macho huongea ukweli wa ndani..uhalisia wa vile ulivyo ama kile ulichokifanya...mara nyingi jambo jema hukupa ujasiri wa kuangalia bila kupepesa macho na jambo baya hukuondolea ujasiri wote na kuhisi unaonwa uovu wako wote
Siku hizi kwenye makampuni makubwa kama ya simu nk kuna vyumba maalum vya mahojiano ya watuhumiwa wa makosa kazini...smart rooms..vyumba hivi ukituhumiwa unaingizwa hapo pekeyako na kufungiwa na kuanza kuhojiwa kupitia vipaza sauti na watu usiowaona lakini wao walikuona kupitia camera zilizofungwa kwenye hicho chumba
Daima watuhumiwa hufeli mahojiano kwakuwa chumba hurekodi movements na gesture zako zote kwa kila swali...

Kwenye mazingira ya kawaida kabisa mitaani mtu anapo win confidence yako umekwisha...atakuendesha atakavyo...
Kuna swali watu wengi wanajiuliza juu ya ukimya mkuu vyombo vya usalama kwa wapinzani kipindi hiki...jamani hiki si ndio kilikuwa kilio chetu?
Sana sana ni ukimya wa CCM ..hawa wamepoteza ujasiri kabisa na kosa kubwaw la kwanza lilikuwa pale airport siku Lissu anatua akiwa na ujasiri wa ajabu mno
Kwa miaka mitano nchi ilisimamiwa na sauti moja tu ..hakuna waziri wala mbunge aliyejaribu kusema kitu kuzidi sauti kuu ..mwisho wa siku wakawa kama wote wamepigwa ganzi
Leo hii zinaposikika sauti za wapinzani wote wanaogopa kuzijibu kwa yale mazoea ya kusubiri ruhusa ama sauti kuu iseme..hata vile vitengo vya propaganda vipo kimya kabisa...wanashindwa kulianzisha...wanasubiri maagizo
Kikubwa kwenye hili ni ile dhana ya ujasiri wa macho na kuhukumiwa na roho kwakuwa kila sauti ya wapinzani ikipaa inabeba ujumbe uliojaa ukweli na uhalisia..kitu kama hicho utaanzaje kukipinga kwa mfano
Ganzi ya airport inazidi kushika kazi..tumetoka kwenye semi paralysis tunaelekea kwenye total paralysis..hata vyombo vya usalama vinauona uhalisia sasa...kwamba kumbe kile walichoaminishwa kuwa upinzani ni vurugu kumbe sio kweli kabisa
Nina mashaka huko tuendako vyombo vinaweza kukengeuka maagizo na kufanya kinyume kama wajumbe walivyofanya....
Macho huongea uhalisia wetu
Macho husuta
Macho hutuondolea ujasiri kama sisi ni watuhumiwa wa mambo mabaya...!!!
Na macho yakikuhukumu uso husawajika na sauti yako hupotea
Ukimya wao umejaa maumivu mengi..!!!
Tutawanyoosha very soon wataita mma kama vibogoyo sera za CCM ni kali na zinaeleweka
 
Kuna jambo wana usalama wanafunzwa wanapokuwa mafunzoni ..uwezo wa kumwangalia mtu machoni...hii humfanya mtu anayeangaliwa kukosa ujasiri na kudondosha macho yake ama kuangalia pembeni
Usifanye hilo kosa kabisa ukiruhusu kukwepesha macho yako umekwisha..hutapata ujasiri wa kimwangalia tena yule mnayeangaliana naye na hapo ndio atacheza na wewe atakavyo
Macho huongea ukweli wa ndani..uhalisia wa vile ulivyo ama kile ulichokifanya...mara nyingi jambo jema hukupa ujasiri wa kuangalia bila kupepesa macho na jambo baya hukuondolea ujasiri wote na kuhisi unaonwa uovu wako wote
Siku hizi kwenye makampuni makubwa kama ya simu nk kuna vyumba maalum vya mahojiano ya watuhumiwa wa makosa kazini...smart rooms..vyumba hivi ukituhumiwa unaingizwa hapo pekeyako na kufungiwa na kuanza kuhojiwa kupitia vipaza sauti na watu usiowaona lakini wao walikuona kupitia camera zilizofungwa kwenye hicho chumba
Daima watuhumiwa hufeli mahojiano kwakuwa chumba hurekodi movements na gesture zako zote kwa kila swali...

Kwenye mazingira ya kawaida kabisa mitaani mtu anapo win confidence yako umekwisha...atakuendesha atakavyo...
Kuna swali watu wengi wanajiuliza juu ya ukimya mkuu vyombo vya usalama kwa wapinzani kipindi hiki...jamani hiki si ndio kilikuwa kilio chetu?
Sana sana ni ukimya wa CCM ..hawa wamepoteza ujasiri kabisa na kosa kubwaw la kwanza lilikuwa pale airport siku Lissu anatua akiwa na ujasiri wa ajabu mno
Kwa miaka mitano nchi ilisimamiwa na sauti moja tu ..hakuna waziri wala mbunge aliyejaribu kusema kitu kuzidi sauti kuu ..mwisho wa siku wakawa kama wote wamepigwa ganzi
Leo hii zinaposikika sauti za wapinzani wote wanaogopa kuzijibu kwa yale mazoea ya kusubiri ruhusa ama sauti kuu iseme..hata vile vitengo vya propaganda vipo kimya kabisa...wanashindwa kulianzisha...wanasubiri maagizo
Kikubwa kwenye hili ni ile dhana ya ujasiri wa macho na kuhukumiwa na roho kwakuwa kila sauti ya wapinzani ikipaa inabeba ujumbe uliojaa ukweli na uhalisia..kitu kama hicho utaanzaje kukipinga kwa mfano
Ganzi ya airport inazidi kushika kazi..tumetoka kwenye semi paralysis tunaelekea kwenye total paralysis..hata vyombo vya usalama vinauona uhalisia sasa...kwamba kumbe kile walichoaminishwa kuwa upinzani ni vurugu kumbe sio kweli kabisa
Nina mashaka huko tuendako vyombo vinaweza kukengeuka maagizo na kufanya kinyume kama wajumbe walivyofanya....
Macho huongea uhalisia wetu
Macho husuta
Macho hutuondolea ujasiri kama sisi ni watuhumiwa wa mambo mabaya...!!!
Na macho yakikuhukumu uso husawajika na sauti yako hupotea
Ukimya wao umejaa maumivu mengi..!!!
Umemaliza kz hili bandicoot lifupishe liende tweeter na wale wenye Facebook wallpaper kamamlioivyo na Instagram..... amejitutumua Mwigulu wapi kashambuliwa
 
Basi wala usingehangaika kuwepo hapa mpaka sasa..kama imekuzidi kimo sema tu sio dhambi
Basi asingenijibu, sababu me na jibu.
Ati nisingehangaika kuwepo, simu yangu bundle langu, ungejiandikia mwenyewe basi, umeweka huku mawazo yako ukitegemea nini.
 
Basi asingenijibu, sababu me na jibu.
Ati nisingehangaika kuwepo, simu yangu bundle langu, ungejiandikia mwenyewe basi, umeweka huku mawazo yako ukitegemea nini.

Acha kujielezea... Jibu kwa hoja sio kujibu nje ya mada...

Polepole atapigwa chini maana kitengo chake Cha propaganda kimepwaya kwa kutegemea watu Kama ww...
 
Acha kujielezea... Jibu kwa hoja sio kujibu nje ya mada...

Polepole atapigwa chini maana kitengo chake Cha propaganda kimepwaya kwa kutegemea watu Kama ww...
Argh, got no time man, mida ya kazi hii mzee baba. Adios
 
Ndugu yangu hizo ni theories za wazungu ambazo zinatokana na utamaduni wao, huku bongo 80% hazifanyi kazi.
Hivi wajumbe unawajua wewe?
 
Tukiweka siasa kando first time nakutana na mwanamke ambaye kwa sasa ndio mama wa mwanangu kwenye sehemu flan hivi ya manunuzi macho yetu yalitamazana kama sekunde 15 au ishirini kama sikosei
 
Wewe ungefocus mjadala wako kwenye kutazamana macho, sasa ukileta siasa jiandae kupata variety ya mijadala. Kwani wewe sio bavicha, si inajulikana.
Kumbe ni mwepesi kiasi hiki....
 
Mbona hayo uliyoongea Ni nje kabisa ya mada... Jipange upya alafu uje ujibu hoja ya Mshana Jr

Kifupi ni hivi mtu aliyefanya uhalifu ni ngumu kukaza macho kwa hofu ya uovu wake... CCM Ina ficha macho
Thats the focal point
 
Basi asingenijibu, sababu me na jibu.
Ati nisingehangaika kuwepo, simu yangu bundle langu, ungejiandikia mwenyewe basi, umeweka huku mawazo yako ukitegemea nini.
Karibu tena kwa mjadala
 
Back
Top Bottom