wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,402
Nijijibu tena,, kuhusisha kutazamana macho na siasa za uchaguzi Tz kipindi hiki cha kampeni ndio upuuzi wenyewe.
Mnajikutaga wereevu, kumbe mandezi tu, hamjifunzi mlundikano wa watu sio kura. Subiri iyo October
😆ðŸ¤
Mbona una weweseka...
Lisu anaongea kila siku khs kumwekea pingamizi... Ccm imekua kimya mmasubiri hisani ya tume na vyombo vya Dola?
, kuhusisha kutazamana macho na siasa za uchaguzi Tz kipindi hiki cha kampeni ndio upuuzi wenyewe.

