Ni wajinga hawa, afu wanajikutaga wereevu.He he! Mtu mmepewa nafasi lkn bado mnasema hivi mara vile!!.. tatizo mlizoea kufanya siasa za kujibiwajibiwa tu Sasa sahivi wameamua kukakaa kimya ati mnaona chichiemu inaenda kuzimu!!.
Msikilize katibu mwenezi wenu hapa...je huu si ndio uhalisia wenyewe!? Hebu onesha umahiri wako hapaNina uelewa mkubwa sana kuwashinda nyinyi wote. Nawasoma tu mnavyojiconsole, najichekea tu, hiiii.
Can't wait october ifike nione hizo philosophical intellectual mind zenye uelewa wa siasa Tz zitakavyopigwa chini
This topic is bigger than your understanding 1000 timesHe he! Mtu mmepewa nafasi lkn bado mnasema hivi mara vile!!.. tatizo mlizoea kufanya siasa za kujibiwajibiwa tu Sasa sahivi wameamua kukakaa kimya ati mnaona chichiemu inaenda kuzimu!!.

Usiongelee past events, sio 2020 mkuu, just common sense, huu mwaka hata wazungu wangesimamia ballots, mnashindwa mchana kweupeMsikilize katibu mwenezi wenu hapa...je huu si ndio uhalisia wenyewe!? Hebu onesha umahiri wako hapa View attachment 1536539
Hakuna hoja hapo ya kujibu, just shows how empty headed de guy is, sasa anadhani article yako inahitaji philosophical mind, as if ni kitu complex umeandikaSi unaona unavyojipambanua sasa badala ya kujibu hoja unadhihaki
Basi wala usingehangaika kuwepo hapa mpaka sasa..kama imekuzidi kimo sema tu sio dhambiHakuna hoja hapo ya kujibu, just shows how empty headed de guy is, sasa anadhani article yako inahitaji philosophical mind, as if ni kitu complex umeandika
Mawazo finyu au ndio ukweli, chama kimoja ndio huchaguliwa na majority peeps, na kupewa ridhaa kufanya hayo maamuzi, bavicha unataka maamuzi apewe lisu awarudishe acaciaBado mna mawazo finyu kwamba chama kimoja cha siasa basi kinaweza kuwaamulia watz wote nini cha kufanya kwa nyakati zote
Unashindwa kufanya mjadala mzuri kwakuwa kuna zimwi linaitwa BAVICHA linakutisha sanaMawazo finyu au ndio ukweli, chama kimoja ndio huchaguliwa na majority peeps, na kupewa ridhaa kufanya hayo maamuzi, bavicha unataka maamuzi apewe lisu awarudishe acacia
Nimemshangaa mshana sana, afu kaoanisha vitu havina uhusiano kabisa, bavicha wanazinguagaSiasa za nini tena uzi ulikua poa mwanzo