Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,786
Mshana Jr, wewe ni Mwandishi mzuri wa makala za saikolojia na mambo yahusuyo ulimwengu wa giza; Take no offense wewe si Mwanasiasa wala huijui siasa vyema.
Asili ya siasa na ukinzani, misukosuko na hata kukwaruzana pale inapobidi kwa maslahi ya kuchukua dola au kuendelea kukaa kwenye dola. Halina ubishi hilo.
Kupitia Katibu wake Mkuu Bwana Dr. Bashiru Ally Kakurwa alisema jambo moja ambalo ndio nguvu yao kwa sasa, alinena "hatuna muda wa kujibizana" na alienda mbali zaidi alipowaambia na wanachama tena kwa njia ya karipio kwamba "Acheni kujibizana nao"
Tafsiri zipo mbili hapo ukipenda unaweza kuweka yatatu
1. Let's actions speak louder. Tuache vitendo viseme, wakati ninyi mnavurumusha madongo ya haki za binadamu sijui risasi sijui Uhuru wa vyombo vya habari... Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anazindua ujenzi wa meli mpya
Itoshe kusema kwamba mkono mtupu haulambwi...
Hamphrey Pole Pole anaendesha Tamasha na kuwapandisha jukwaani takriban wasanii 200 wa muziki mchanganyiko, huku uwanja ukiwa umefurika nyomi la kufa mtu.
2. Asili ya siasa na ukinzani, misukosuko na hata kukwaruzana pale inapobidi.
Maana yake ni kwamba wao wamejitoa kufanya siasa na wamejikita katika uzalendo wa kujali maslahi ya wengi na kumtanguliza Mama Tanzania mbele
HIVYO kujiweka katika level ya peke yao ambayo maneno ya paragraph ya kwanza wao wameyapa kisogo...
ULE NYONGEZA
3.Mawazi yako huwenda yakawa sawa kwamba Tundu Lissu alikuja na confidence na hivyo kuwanyong'onyesha CCM.
Jambo la mbolea hapa ni kutokusahau kwamba CCM ni chama Dola kwa uwepo wa Tundu Lissu kwa takriban miaka mitatu huenda hajaja Kama alivyoondoka (kajipaka nya na ukimgusa mnanuka wote).
Na kwakua alikua sehemu ambayo ni out of rich ya inteligensia ni lazima wamtizame kwa jicho la karibu kubaini viashiria vyovyote vya nya au harufu.
Na aidha Kuna ule msemo wa kimatumbi unaosema "anayecheka mwisho ndio hucheka sana" hivyo CCM wanaweza wakaja na kitu ambacho kitawachukua miezi sita kukikabili Kama;
1. Kipigo Cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019
2. Corona na namna ilivyoshughulikiwa
3. Kukamatwa kwa Ndege za ATCL South Africa na Canada
WASALAAM
Asili ya siasa na ukinzani, misukosuko na hata kukwaruzana pale inapobidi kwa maslahi ya kuchukua dola au kuendelea kukaa kwenye dola. Halina ubishi hilo.
Kupitia Katibu wake Mkuu Bwana Dr. Bashiru Ally Kakurwa alisema jambo moja ambalo ndio nguvu yao kwa sasa, alinena "hatuna muda wa kujibizana" na alienda mbali zaidi alipowaambia na wanachama tena kwa njia ya karipio kwamba "Acheni kujibizana nao"
Tafsiri zipo mbili hapo ukipenda unaweza kuweka yatatu
1. Let's actions speak louder. Tuache vitendo viseme, wakati ninyi mnavurumusha madongo ya haki za binadamu sijui risasi sijui Uhuru wa vyombo vya habari... Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anazindua ujenzi wa meli mpya
Itoshe kusema kwamba mkono mtupu haulambwi...
Hamphrey Pole Pole anaendesha Tamasha na kuwapandisha jukwaani takriban wasanii 200 wa muziki mchanganyiko, huku uwanja ukiwa umefurika nyomi la kufa mtu.
2. Asili ya siasa na ukinzani, misukosuko na hata kukwaruzana pale inapobidi.
Maana yake ni kwamba wao wamejitoa kufanya siasa na wamejikita katika uzalendo wa kujali maslahi ya wengi na kumtanguliza Mama Tanzania mbele
HIVYO kujiweka katika level ya peke yao ambayo maneno ya paragraph ya kwanza wao wameyapa kisogo...
ULE NYONGEZA
3.Mawazi yako huwenda yakawa sawa kwamba Tundu Lissu alikuja na confidence na hivyo kuwanyong'onyesha CCM.
Jambo la mbolea hapa ni kutokusahau kwamba CCM ni chama Dola kwa uwepo wa Tundu Lissu kwa takriban miaka mitatu huenda hajaja Kama alivyoondoka (kajipaka nya na ukimgusa mnanuka wote).
Na kwakua alikua sehemu ambayo ni out of rich ya inteligensia ni lazima wamtizame kwa jicho la karibu kubaini viashiria vyovyote vya nya au harufu.
Na aidha Kuna ule msemo wa kimatumbi unaosema "anayecheka mwisho ndio hucheka sana" hivyo CCM wanaweza wakaja na kitu ambacho kitawachukua miezi sita kukikabili Kama;
1. Kipigo Cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019
2. Corona na namna ilivyoshughulikiwa
3. Kukamatwa kwa Ndege za ATCL South Africa na Canada
WASALAAM


tatizo silogi sasa