Hivi vitu vinauhusiano kabisa japo kwa baadhi ya watu huchukulia mambo haya kiimani zaid nahii ni kutokana na kukosa uthibitisho wa kitaalam kwa % kubwa.
Iko hiv 'mwanamke akiwa ananyonyesha na wakati huohuo akabeba mimba nyingine halaf akaendelea kunyonyesha, afya ya mtoto hudhoofika sana,
kudhoofika kwa mtoto hu7bishw na kuchafuka kwa maziwa, 7bu mwanamke anapobeba mimba baadhi ya homon ktk mwili wake hubadilika ktk mfuno wa utendaji kazi, tezi ktk kifua chake huanza kuzalisha maziwa kwa ajili ya mtoto alieko tumboni, hapa hutokea hali ya maziwa kuchafuka na kugeuka sumu kwa mtoto anaenyonya.
Sababu ya pili ni kua 'mwanamke akiwa mjamzito mwili wake huwa na joto kali sana na wakati huohuo akawa analala na mwanae mdogo joto hili la mama humuathiri mtoto na kufanya afya yake kudhoofika, hii haijalishi hata kama kamuachisha kunyonya kwa 7bu ya hiyo mimba, ila kama bado anaendelea kumnyonyesha hali ya mtoto huwa mbaya zaidi 7bu ya 'joto+maziwa machafu. Joto hili si joto la kawaida 'baadhi ya wataalam husema mwili wa mwanamke huanza kuzalisha kemikali kwa ajili ya usalama wa mama na mtoto alieko tumboni ndio 7bu ya joto hili kua na athari kwa mtoto anaelala na mama yke.
7bu ya tatu ni kua 'mwanamke anaenyonyesha kugawa uroda nje 'peku peku' hapa wataalam husema mbegu 'spms' za baba halali wa mtoto huongeza virutubisho ktk maziwa ya mama anaenyonyesha, kinyume chake mama akitoka nje peku au ikiwa hiyo mimba ulishkishwa ndipo mambo huharibika, ila hapa kuna somo pana sana kuhusu hizi mbegu za kiume namna zinavyo rutubisha na kudhoofisha, waweza unganisha dot hizi na dot za mshana jr ktk uzi wake akielezea mbegu za kiume namna zinavyo waathiri mashoga, jamaa aliongea vi2 vikubwa sana ila kwa haraka huwez muelewa.
Kunavitu vingi bado tunapaswa kufuatilia na kujifunza.