joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,819
Asante mkuu kwa uzi huu
Ok mkuu meditation ya kutembea ndo ikoje mkuuShukrani
Zile muvument za watu si zitakutoa kwenye concetration au unafanyaje au inakuwa ni sehemu ambayo upo peke akoUnatembea tu kawaida lakini unamakinika na pumzi
Imani kongwe duniani ni HINDUISM ilianza enzi za kale miaka zaidi ya 25000BCMkuu mshana naomba niweke kumbukumbu sawa
Ni imani ipi ipi duniani yenye ufuasi Mkubwa kuliko zote Na INA waumini kiasi gani?
Vilevile nijuze Imani kongwe kuliko zote duniani ni IPI?
Initial stages inafaa kuwa sehemu ya pekeyako
Mkuu Mshana Jr eti hivi mtu anapo master meditation ( wakati Chakras zote zinaamka) ndipo na Nguvu ya Kundalini iliyolala mgongoni mwake inapoamka? Au Kundalini ni nyingine? hapo sijaelewa.Poa utakapokwama usisite kuni cheki
Ok mkuu meditation ya kutembea ndo ikoje mkuu
Ndugu yangu samahani naomba nikuulize, hivi haswa meditation faida yake Nini katika maisha ya kawaida, na labda maisha ya kiimani Kama mkristo? Natanguliza samahani.Mie ile hali ya ku meditate inakuja yenyewe tu haijalishi niwe mazingira yapi kubwa tu ktk mazingira ya utulivu ndo ina amka haraka
Kipindi nafanya meditation za kiroho ‘ spiritual meditation’ nilianza na ya pumzi, nikaja ya maneno (Mantras) afu nikaingia hatua ya ku meditate kwenye nuru na sauti kutokea ndani yangu ( light &sound )
Kwa sasa nimeacha meditation ya kiroho kwa sababu fulani fulani na kuna vitu kama sivifanyi tena ( nakula nyama ki aina, siendi sehemu ya makutano kwa talks na ku meditate kwa pamoja nk) lkn sijawahi kuacha ku meditate maana nikiacha tu kwa siku tatu au nne mfululizo najiona kama sio mie kabisa nakuwa ovyo mpaka nirudi kwenye ‘center’ sasa na hauwezi rudi bila ku meditate
Kwa hiyo hii physical meditation kwa maana ya kupata zile faida kama utulivu wa akili na kuwa na uzingatifu ktk mambo yangu bila kusahau kuutanua ufahamu wangu ni sehemu ya maisha yangu
Nikianza tu kushuka kwa nguvu ‘energy’ yangu ambayo nakaribisha mambo hasi mengi kimbilio langu ni tahajudi tu kurudi na kuwa chanya tena
Na wale akina dalai lama ni aina ganiZipo tatu Mahayan(gari kubwa)!seeking enlightenment together,na robe zao wanafungia bega la kushoto-wako zaidi China Vajrayana( mrengo wa kati)hii inachukua kidogo kwa mahayana na hinayana Hinayana (gari dogo)first be enlighted then others , robe zao wanafungia bega la kulia-wapo zaidi India Thailand nk
Chakra na kundalini ni vitu viwili tofauti lakini vyenye msingi mmoja.. Kwahiyo kimsingi unaweza hasa ukaanza na chakra na kumalizia na kundaliniMkuu Mshana Jr eti hivi mtu anapo master meditation ( wakati Chakras zote zinaamka) ndipo na Nguvu ya Kundalini iliyolala mgongoni mwake inapoamka? Au Kundalini ni nyingine? hapo sijaelewa.
Swala lingine, Kuna clip za video nimeziona YouTube mtu kalala chali halafu Kuna master ana chezesha vidole vya mikono juu yake then huyo aliyelala anaanza kujikunjakunja na kujibinua binua kama nyoka. Hizo clip zimeandikwa "Kundalini awakening"
Hizo unaziongeleaje mkuu?
Dalai Lama ni gari kubwa MAHAYANANa wale akina dalai lama ni aina gani
Uko hatua za mbali sana na tayari una msingi mzuri wa meditation kiasi kwamba sasa una uamuzi wa kufanya ipiMie ile hali ya ku meditate inakuja yenyewe tu haijalishi niwe mazingira yapi kubwa tu ktk mazingira ya utulivu ndo ina amka haraka
Kipindi nafanya meditation za kiroho ‘ spiritual meditation’ nilianza na ya pumzi, nikaja ya maneno (Mantras) afu nikaingia hatua ya ku meditate kwenye nuru na sauti kutokea ndani yangu ( light &sound )
Kwa sasa nimeacha meditation ya kiroho kwa sababu fulani fulani na kuna vitu kama sivifanyi tena ( nakula nyama ki aina, siendi sehemu ya makutano kwa talks na ku meditate kwa pamoja nk) lkn sijawahi kuacha ku meditate maana nikiacha tu kwa siku tatu au nne mfululizo najiona kama sio mie kabisa nakuwa ovyo mpaka nirudi kwenye ‘center’ sasa na hauwezi rudi bila ku meditate
Kwa hiyo hii physical meditation kwa maana ya kupata zile faida kama utulivu wa akili na kuwa na uzingatifu ktk mambo yangu bila kusahau kuutanua ufahamu wangu ni sehemu ya maisha yangu
Nikianza tu kushuka kwa nguvu ‘energy’ yangu ambayo nakaribisha mambo hasi mengi kimbilio langu ni tahajudi tu kurudi na kuwa chanya tena


