Yeah alikuwa mtoto wa mfalme aliyeiahi maisha yake yote ndani ya kasri akipata raha zote mpaka siku moja alipotoka nje ya kasri na kuona mateso ya watu wa kawaida wenye njaa wagonjwa nk
Ndipo alipoamua kutoka nje ya kasri akayaacha yote mema na kuamua kwenda kutafuta chanzo na ukweli wa mateso ya binadamu na suluhu yake
Alifanya meditation kwa miaka saba mpaka alipofunuliwa(enlightenment)ndio akaja na imani hii ya Kibudha
Nani alimfunulia Buddha chanzo cha human suffering?Sasa mbona human suffering inaendelea tu mpaka leo wakati Buddha alishafunuliwa chanzo chake,kwanini hakukitokomeza hicho chanzo/kwanini buddhists wasikitokomeze hicho chanzo?
Hapa ninapoishi kuna binti mmoja mbuddha ni mrembo kweli,huwa ananialika sana niende kwenye ma temple yao ya buddhism lakini naogopa isije ikawa kama secret societies,kula viapo vya membership mpaka kifo!