Dhana ya future Buddha(milefo) katika Buddhism

Dhana ya future Buddha(milefo) katika Buddhism

Imani inagawanyika pande mbili,aina ya kwanza imani inahitaji msingi(sababu zenye uhalisia za kukufanya uamini) sawa na unavyotaka kuanza kujenga nyumba. Aina ya pili ya imani ni sawa na kuanza kupandisha sasa hiyo nyumba na vikorokoro vyake,sasa tatizo naloliona mie katika baadhi ya hizi dini ni kama wanataka kujenga nyumba na vikorokoro vyake bila kuanza msingi.
 
Kuna imani zingine lakini wajameni kha!
 
Another contradiction is here...kwao Buddha ni inspirational figure ni mwalimu mkubwa (shifu/master)kiongozi, wanakataa kumuabudu ila kiuhalisia wanamwabudu.. .ni waabudu sanamu Buddhism inapotoka kuwa phylosophia na kuwa imani
Wana ibada pia za ajabu linapokuja swala la imani...ikiwemo ibada ya utajirisho kwa kuchoma pesa live lakini kwa siri

Sikh wakichoma na mie ndiye nikapate japo hiyo harufu labda zitanitembelea!
 
Nani alimfunulia Buddha chanzo cha human suffering?Sasa mbona human suffering inaendelea tu mpaka leo wakati Buddha alishafunuliwa chanzo chake,kwanini hakukitokomeza hicho chanzo/kwanini buddhists wasikitokomeze hicho chanzo?
Hapa ninapoishi kuna binti mmoja mbuddha ni mrembo kweli,huwa ananialika sana niende kwenye ma temple yao ya buddhism lakini naogopa isije ikawa kama secret societies,kula viapo vya membership mpaka kifo!
Ukishiriki kwenye hizo Ibada nawe unajiconect kwenye ulimwengu wa Roho wa hizo makitu
 
Ukishiriki kwenye hizo Ibada nawe unajiconect kwenye ulimwengu wa Roho wa hizo makitu
Ukishakuwa mshiriki tena wa kila wakati ni ngumu kukataa kuwa wewe automatically huna connection na hizo roho
 
Wadau Uzi was mshana yupo chuo south anasomea budha unaitwaje?
 
Duh. Imefurahi sana kuona huu uzi, hakika nimefurahi. Ni kuda sana sijawa active kwenye JF na hii inatokana na changamoto nyingi sana za kimazingira na hasa location ya kazi. Dar ni shenzi type kwa baadhi ya watu nikiwa miongoni......
back to the story ya Buddha, imenikumbusha almost 1o years back wakati nimepata scholarship kwenda kuwa Novice huko South Africa, nilifanya taratibu zote kabisa lakini nikacha kuahirisha wakati safari imewadia.

Buddhism is very interesting stuff, mafundisho yao yana jumbe nzuri sana, ni vile tu watu wengi tumeji confine kwenye kile tunacho amini tu since we were Born. Lakini kama tungekuwa tuna search more knowledge ingetusaidia sana katika kuelewa mambo mengi ya dunia hii.

Thanks alot brother kwa kuleta uzi huu ingawa ni wa muda mrefu sana lakini nimetambua wapo wengine wengi wenye interest ya kujifunza imani zingine kama hii.

Wasalaam.


Unaposoma maandiko ya Buddhism kuna mabudda wa aina mbalimbali
Kuna
Sakyamuni Buddha(Sidharta Goutama) Buddha mkuu
05bf342dc742ab391145f169879643d6.jpg

Kuan ing pusa(Buddha with a thousand hands
ae6a7fb73ddc5661ec085a6870619687.jpg

Milefo (future Buddha)
f7e29d7c2dc5d9043192b0909da79629.jpg

Ni kama aina fulani hivi kama ya utatu mtakatifu kwenye imani za kikristo...hivyo ndani ya Buddhism wanaamini katika ujio wa budha mwingine ambaye atakuja baada ya kalpa kadhaa(kalpa moja ni sawa na ukubwa wa jiwe la maili tano limogolewe kipande kidogo kila baada ya miaka mitano hata liishe)
Ukiichunguza sana hii dhana ya Milefo(Buddha ajaye)haina tofauti na dhana ya ujio wa Kristo kwenye imani za kikristo
Hakuna imani inayokosa utata na huu ni utata kwenye Buddhism pamoja na kujinasibu kusimama kwenye uhalisia na nafsi
Tuna watu wa kuvutika na mafundisho fulani, sio jambo baya jifunze lakini mwisho wa siku baki na msimamo wako mmoja! Hakuna dini inayokosa utata hakuna imani inayokosa ukakasi, ukiwa mtu wa kurukaruka utaishia kuchanganyikiwa
Future buddha/milefo/happy budha ni kitu cha kufikirika...Kalpa pia ni kitu cha kufikirika, jifunze haya mambo penye utata achana napo pasikuzuie kusoma ya mbeleni
 
Mzee baba nakuona umetupia kitu kama Le mutuz kitu cha macho manne
 
Back
Top Bottom