shirima Mathias
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 451
- 1,335
Ulichosahau ni kutakiwa kuandika C&P kutoka kwa chahali
ni kosa kikatiba kutokujua? nikisema najua kumbe sijui ndio akili? jambo ambalo sina uhakika nalo siwezi kulithibitisha kuwa sio sahihi na ndio mantiki yangu ya kuuliza chief.Yaan hujui,na pia hujui kwamba hujui,,,
Mmmmmh ayaa nayo yamekaa Lumumba ndo eti yanakuja na huu ujinga!!! Ww kama unajua huo mchele ulkua wa nan mbona ulkaa kmyaa? Kama unajua nan alimuua mkemia tena mchana mbona umekaa kmyaa ? Kwa nn hujaenda kuliambia jeshi letu la polisi "lililotukuka na kujizolea sifa kede kede duniani kwa kazi zao zilizotukuka"?Unakumbuka sakata la mchele mbovu? Unamkumbuka yule mkemia aliyeuliwa mchana kweupe nyumbani kwake? Unajua ule mchele ulikuwa wa nani? Kwakuwa hatufahamianj hivyo siwezi kujua umri wako na ufahamu juu ya haya mambo
Aisee una umri gani rafiki !? Hiyo ishu ya mchele kumbe kwako ni ngeni kabisa!Mmmmmh ayaa nayo yamekaa Lumumba ndo eti yanakuja na huu ujinga!!! Ww kama unajua huo mchele ulkua wa nan mbona ulkaa kmyaa? Kama unajua nan alimuua mkemia tena mchana mbona umekaa kmyaa ? Kwa nn hujaenda kuliambia jeshi letu la polisi "lililotukuka na kujizolea sifa kede kede duniani kwa kazi zao zilizotukuka"?
Nilitegemea hutamjibu kwa ujinga wake. Kweli unabusara mi ningempotezea.Aisee una umri gani rafiki !? Hiyo ishu ya mchele kumbe kwako ni ngeni kabisa!
Kila siku asubuhi, naamka na matumaini kuingia Jf kuangalia kama kuna taarifa yoyote njema kuhusu MO.What's wrong here[emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji1562][emoji1562][emoji1562]View attachment 897620
Kunywa soda apo chap utalipa mwenyeweNa ndio yeye kila siku anakuwa chanzo ca kuharibu mission zao Refer kutekwa kwa ROMA nanukuu"Msiwe na shaka ndugu zetu hawa watapatikana kabla ya masaa 24" na kabla muda kufika kweli walipatikana.
Something behind this shit.
ROMA?..Watuambie walivyompata, na hao watekaji walikuwa na nia ipi. Ila yote kwa yote tumshukuru Mungu alivyopatikana kaka wa watu.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]Eti wadau ina maana,
Wachawi wote
Waaguzi wote
Wapiga ramli wote
Warozi wote
Waganga pori wote
Wautamaduni wote
Wapiga faraki wote
Wabiga tochi wote
Wachimba ndagu wote
Wapiga mafundo wote
Waruka moto wote
Wameshindwa kabisa kumulika alipo MO ?
mimi sitawaamini tena kabisa kabisa.
Kila siku wanajinadi na kutangazia, oonhoo "njooni tuwatazamie wabaya wenu au wezi wwenu au waliowaroga,
na matapo mengi tu ya kijisifu.
Leo wameshindwa kuona alipo mwenzetu MO....!
Hakika imenistaajabsha sana sana sana.
Hapa dili liko wazi kabisa wala halihitaji kulipwa fedha ya awali au kuombwa.
Unapiga ramli unaona MO alipo then unaenda kuritaarifu jeshi la polisi kituoni.
MO anaokolewa.
MO akipatikana kwa msaada wako ni lazima upige fedha, kama sio yeye au jamaa zake kukupatia pesa basi utakuwa umetangaza vizuri biashara yako ya kuagua.
Kuanzia hapo utapata pesa kedekede kwa wateja wengi waliopoteza jamaa zao kuja kuwaangalia walipo.
Kila siku tunamiambieni hii miganga inayojinadi eti kwamba ina uwezo wa kupiga bao na kuona yaliyofichika mahala pa siri, ni utapeli tu.
Kumbe mnatapeliwa tu na kugombanishwa na ndugu zenu mnapoenda kuagua.
Faida ya uchawi sasa ninini ? Kurukaruka uchi sebureni ?
Na mwishowe umejikuta wewe ndio mtamkaji?