Dhana dhanifu juu ya kutekwa Mo Dewji

Dhana dhanifu juu ya kutekwa Mo Dewji

Kaka una umri gani? Kama una umri kidogo ungejua kuwa Mzee Reginald Mengi anao ulinzi tangu kipindi alipofukuzwa na gari liliokuwa na watu "wabaya". Kufuatia tukio hilo aliyekuwa RPC Tryphone Maji na Katibu Mkuu Silvano Adel Lando (r.i.p) waliwajibishwa
R.i.p T Maji ..
 
Fal.a kweli wewe, toka lini Mkuu wa mkoa wa Dar awe mwenyekiti mwanza
Wewe nawe ni ZeRO brain kama unayemtetea, Hujui lolote unawaza tu buku saba yako ya Lumumba.

Acha kukurupuku, Kiazi wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakumbuka sakata la mchele mbovu? Unamkumbuka yule mkemia aliyeuliwa mchana kweupe nyumbani kwake? Unajua ule mchele ulikuwa wa nani? Kwakuwa hatufahamianj hivyo siwezi kujua umri wako na ufahamu juu ya haya mambo
Mkuu hayo nayafahamu.umri wangu ni wakutosha tu.
 
We brother huwa unachambua vizuri sana na uandishi wako unavutia.....

Pole lakini.
 
Usimnukuu vibaya mkuu wetu wa mkoa, sikiliza vizuri maneno yake. Aliposema " amepatikana" alimaanisha uchunguzi unaendelea, aliposema wahusika nao wamekamatwa alimaanisha uchunguzi unakaribia kufika mwisho...ametumia kiswahili cha kiuchunguzi sasa sisi raia wa kawaida tusiojua kiswahili vizuri tukamnukuu vibaya
wewe sio mzima. ujue wasomaji wa comment yako hii sio watoto tu!
 
bado na uchawi utausishwa maana tumesha sahau uDaRT
Bro, kama wana akili timamu hawawezi kutumia njia hii kuzima ya Udart. Hii ina madhara makubwa sana kiuwekezaji
 
Ni udadisi mzuri sana, hasa kwa mazingira yetu ya Tanzania ambapo watu hujiandikia tu halmradi wanajua kusoma na kuandika.
Hata hivyo umeharakisha sana kutamka most probable cause ya utekaji. Huenda ikawa ni pesa kama unavyosema but lazima uweke yaliyopelekea conclude hivyo.
 
Hapa tu game lote limeishia kutoa taarifa za kupatikana halafu dakika mbili mbele inakanushwa

Kuna dhana nyingi hapa either waliomteka wanafuta ushaidi walio acha kwenye tukio zima

Ama waliomteka wana buy time kwa kutoa misleading information ili wamalize kazi yao iliyo pelekea kumteka Mo

Ama huyo aliyekurupuka kusema amepatikana ameonywa na wakubwa zake juu ya kauli hiyo kwamba itaacha maswali hivyo akanushe

Ama walio mteka walisahau kuja na contiguous plan ya taarifa za kuwafeed uma hivyo wanajiandaa sasa hivi .

Au pengine sasa hivi yuko anasafirishwa kwenda kusiko julikana ,ndani ya nchi ama nje ya nchi nk

Ama walio mteka ni watu wa system wa nchi Jirani halafu pendwa ,hivyo wameshtukiwa na Wakuu wanapigiana simu sasa hivi kuona namna ya kulimaliza (Lengo hapa likiwa ni kuichafua Tanzania)

Ama amekufa na aliyesema kapatikana hakusema kapatikana katika hali gani hivyo wana buy time waje na taarifa ya namna ya kuudanganya Umma.
Nadharia ni nyingi

Makonda jifunze kuwa na akiba ya maneno acha kuendeshwa na ashki na mihemuko
 
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji15][emoji1562][emoji1540]
Pole mkuu...

Kuna video nimeona zimesambaa za viongozi wetu wa kamati ya ulinzi wa mkoa..

Wanatoa taarifa ambazo zina kinzana sana.

1. Kuna taarifa ya kuwa amepatikana ilitoka mapema asubuhi tuu baada ya tukio.

2. Baada ya muda kidogo imetoka taarifa kuwa hajapatikana kutoka kwa spokesman yule yule wa taarifa ya kwanza.

3. Kuna taarifa ya wahusika kuwa ni watu fulani na wamewataja kwa idadi..na gari gani imetumika wametaja kabisa..

Najiuliza kama hajapatikana wamejuaje? CCTV zinadaiwa kutoku-capture tukio
Na kama ni mashuhuda wametoa taarifa mbona zinakinzana..?

4. Then kuna taarifa ya kuwa tuvipe nafasi vyombo hivyo hivyo vinavyosimamiwa na watu hao hao watupe taarifa baadaye...

A simple qn;

Tunaamini vipi taarifa ya baadaye kutoka kwa watu hao hao ambao ndani ya masaa 2 wametoa taarifa za kukinzana?


Anyway...! Tuombe apatikane salama.
 
Kuna ndugu yangu mmoja ameniuliza hivi Mo anaweza kumaliza miezi miwili bila kwenda nje ya nchi?? Kwanini hao wazungu wasingemteka huko? Nikamjibu kuwa,kwa Zakaria walikutana na mkurya aliyepata taarifa zake mapema akajipanga,Mo shombe shombe na Gym yake jamaa wamesepa naye
 
Ila president ana moyo wa kumwacha huyu mtu mpaka leo kuwa na hichi cheo?Yaani namwoneo huruma my president kiasi naona hana option.Yeye anaongea vitu vyote hivyo ili nini,kwanini asimwachie polisi anayehusika?ishu ya wazungu nani kamwuliza.Yaani sijawahi kumpatia mfano mtu wa design yake kwa kweli.Kwani angenyamaza kimya angeulizwa haya basi ongea yenye maana mfano polisi wameshapata habari uchunguzi unaendelea mwenye taarifa awajulishe polisi.Polisi na professional yao wameongea simple and clear.Natamani nikutane nae nimpe ushauri kiduchu tu sio kila kitu siasa
 
kwan we unahisije?
kwan walvotangaza Kapatikana walkua hawajui kama kapatikana?
taarifa zltoka kwa msaidizi wa rpc na rc hao sio watu wadogo hataa

je sio kuchanganya watu watulie wasijue lipi ni lipi?
je hizo sio mbinu za kiusalama ili ku neutralize taarifa?
wale wataalam em mkuje hapa!!

kunakitu hakipo sawa hapa!!!
 
Back
Top Bottom