tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,426
- 4,779
Haha haaaNikadhani na wewe ni mmojawapo wa wale wazungu wawiliView attachment 896206
Mhm [emoji15][emoji15][emoji15]hivi Mo ni mkubwa kuliko Tanzania?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji1562][emoji1562][emoji1562]...Mshana Jr, Ebu tumia elimu yako ya ulozi ili kusaidia kujua Huyu Mo waliomteka walimpeleka wapi, kwn huo ulozi utakuwa na maana gn sasa km hauwezi ht kutumia ndumba kugundua Alipofichwa Mo wetu
Mhm [emoji15][emoji15][emoji15]hivi Mo ni mkubwa kuliko Tanzania?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji1562][emoji1562][emoji1562]...Mshana Jr, Ebu tumia elimu yako ya ulozi ili kusaidia kujua Huyu Mo waliomteka walimpeleka wapi, kwn huo ulozi utakuwa na maana gn sasa km hauwezi ht kutumia ndumba kugundua Alipofichwa Mo wetu
Wachaga bhana!
Okay MkuuKafanya kama tatu hivi
[emoji15][emoji848][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848]amekuwa kambale?What???![emoji116]....... Tanzania tupo katika hali mbaya kuliko hata tunavyodhania!! View attachment 896365
Utasikia jeshi la Porisi rimefanikiwa kurikamata rizungu rimoja kwa jina ra Haji Manara ila lingine tumegundua riripanga njama za kumteka Mo kabra arijatoroka nchi,hili ni rijizi sugu kwa jina ra Hans Pope[emoji15][emoji848][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848]amekuwa kambale?
.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji87][emoji87][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji24][emoji40][emoji40]Utasikia jeshi la Porisi rimefanikiwa kurikamata rizungu rimoja kwa jina ra Haji Manara ila lingine tumegundua riripanga njama za kumteka Mo kabra arijatoroka nchi,hili ni rijizi sugu kwa jina ra Hans Pope!
Mmmh we naye ,kwanza unajua ulicho andika?KATEKWA NA WAZUNGU...hapo naunganisha kidot.com..kauli za wazungu ,,MATAMKO ya wazungu,,,n.g.o xxx,,,au ile union inavyosimama agaist Gov...KUNAMIJITU INAPENDA WAZUNGU we acha tu...xzilion through jews,,metsada ,,nimeandika utumbo mtupu.
Yaan hujui,na pia hujui kwamba hujui,,,Hapo nilipoweka fungua na funga semi kuna walakini kidogo. Au labda wakuu mimi nipo nyuma sijui lolote?
Mmmh mamlaka zipi? Bora muongee tuu maana ka ndo mnasubr mamlaka mtakaa sana,,,,yaan ya azori hukumbuk? Ben naye pia unasubr mamlaka husika? Na bado na tundu lissu unasubr mamlaka zikuambie mpendwa?Me nadhani sio muda wake huu, kujivika unform za mamlaka husika...naona ingekuwa vema kama tungejaribu kukaa kimya kwanza, na kutoa room kwa mamlaka husika ili iweze fanya kazi yake vema.......then ndipo tunyanyue vidole juu na kukemea ukakasi utakaonyeshwa au kupongeza juhudi bora zilizofanywa na mamlaka husika katika sakata hili.