Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Kitendo cha kutoa uhai wa mtu mwingine makusudi kinamchukiza sana Mwenyezi Mungu. Kitendo hiki kinaingilia na kuvuruga uumbaji na mipango ya Mungu kwa mwanadamu duniani.
Kabla ya kushushwa kwa Amri kumi za Mungu, watu waliuana sana. Waliuana katika kuteka miji na utawala, visa vya kujilikimbizia mali na hata kupoteza ushahidi.
Amri kumi zikienezwa Ulaya na dola ya Warumi, kabla ya hapo Wazungu waliuana sana. Waliona fahari kutundika mafuvu ya vichwa ukutani kama fahari kuonyesha idadi ya watu ulio wahi kuwaua.
Wauwaji hawana maisha marefu duniani, wale wanaoishi huishia kuishi maisha ya mateso. Kutoa mimba pia ni uuaji na humchukiza Mwenyezi Mungu.
Kabla ya kushushwa kwa Amri kumi za Mungu, watu waliuana sana. Waliuana katika kuteka miji na utawala, visa vya kujilikimbizia mali na hata kupoteza ushahidi.
Amri kumi zikienezwa Ulaya na dola ya Warumi, kabla ya hapo Wazungu waliuana sana. Waliona fahari kutundika mafuvu ya vichwa ukutani kama fahari kuonyesha idadi ya watu ulio wahi kuwaua.
Wauwaji hawana maisha marefu duniani, wale wanaoishi huishia kuishi maisha ya mateso. Kutoa mimba pia ni uuaji na humchukiza Mwenyezi Mungu.