Dhambi wazifanyazo wanawake walioolewa
1: Kumuacha mume avae boxer au singlend chafu!
2: Kumuacha housegirl afanye kazi zote ikiwa ni pamoja na kutandika kitanda chenu,kumwandalia mume wako nguo na kumpelekea maji ya kuoga bafuni.
3: Kununa kisa mume amekuja na mgeni nyumbani
4:
5:
6:
7:
8:
Poa wifi sister.
Mlale unono.
Hizi ni dhambi ama makosa?
Hiyo ya viatu ndani, naona karibia wanaume wote.
13. Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika
14. Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege
15. Kutofua boxer na socks zake hadi wife awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi
9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....
10. Kuvaa boxer / singlend chafu
11. Kutongoza haus gel
12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........
Nitarudi!!!!
13. Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika
14. Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege
15. Kutofua boxer na socks zake hadi wife awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi
Mimi sio mchafu ILA usafi WA mke wangu unanikera sasa, live example ni Leo, nimeenda ibadani tena asubuhi kurudi tu nikabadilisha nivae nguo nyepesi ninywe chai, mara nashtuka nguo ziko kwenye dishi.
Kuna mahali tumetoka mchana tukarudi saa 11 jioni, nikavua tisheti yangu nipate upepo, natoka sasa hivi natafuta fulana nivae eti kaifua. Nimenuna kwakweli
mimi namba nane inanihusu na nimejitahidi kubadilika nimeshindwa, mara nyingi nasifia kabla cjapata1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.
2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa
3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.
4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.
5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.
6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.
7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.
8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.
Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??
16. Kuvaa chupi za wife
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.
2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa
3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.
4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.
5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.
6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.
7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.
8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.
Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??
8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.
Mimi sio mchafu ILA usafi WA mke wangu unanikera sasa, live example ni Leo, nimeenda ibadani tena asubuhi kurudi tu nikabadilisha nivae nguo nyepesi ninywe chai, mara nashtuka nguo ziko kwenye dishi.
Kuna mahali tumetoka mchana tukarudi saa 11 jioni, nikavua tisheti yangu nipate upepo, natoka sasa hivi natafuta fulana nivae eti kaifua. Nimenuna kwakweli