Dhahabu imefikia USD 1,800 leo, tuendelee kulipwa asilimia 3 ya USD 400?

Pamoja na kula rushwa waliotia saini mikataba hii hawakuwa na uzalendo au ujuzi na mambo haya hata kidogo. Rushwa walikula na walikuwa hawaelewi ni kwa nini wanapewa rushwa. Yaani walikuwa hawana tofauti sana na mataahira wa akili.

Mikataba yote huwa inaangalia market price. Kama ni issue ya hedging, huwa inafanyika kwenye comodity ambazo bei zinabadirika sana si Gold. Hata hivyo hedging ingefanyika kwenye percentage ya average market price labda ya kila mwaka. Yaani kama value ya gold kwa mwaka itabadirika badirika basi inachukuliwa average ya mwaka mzima halafu mnachukua labda 90% ya average market price!

Kuhusu kutotegemea loyalty, ni kweli loyalty si kitu cha kutegemewa sana kwani mara nyingi huwa ni kidogo. Lakini hata hicho kidogo kipatikane kile kinachostahili basi!!!! Si eti kwa kuwa loyalty ni kidogo basi tuchukue bei za kuzusha!! Yaani ni nani anaweza ku - hedge - bei kwa mkataba unaotarajiwa kuwa wa zaidi ya miaka 10?? Huu ni uzumbukuku na ujinga uliopitiliza. Hata kama loyalty ni kidogo inatakiwa iwe calculated based on market value (or at least 90%) ya average market value. Huwezi kwenda kwenye meza ya negotiation ukasema eti nimeongeza kutoka kwenye $400 kwenda $700 halafu ukajiona eti una hata chembe ya akili!!

We are doomed because our leaders have very low mental ability and our system has already been so structured that only mediocrity prevails!! If you are not mediocre you cannot fit into CCM and the whole rulling class!! That is our tragedy!
 
Hapa naona baadhi ya watu wanaongea pumba tupu, bila hata kujali. Hizo bei pamoja na mrahaba uliwekwa na serikali yetu. Wachimbaji hawana uwezo wa kututungia sheria na bungeni. Tunapofanya makosa tuwe tayari kutakubali na kurekebisha.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hamna mkataba wenye 'hedging' hiyo ni porojo. Ni kweli kuwa hesabu za mrahaba zinapigwa kwa bei ya $700 kwa ounce, lakini hata kwa bei hiyo cost per ounce ya uzalishaji iko juu sana ukilinganisha na nchi za South Amerika. Kwa mfano kwa mwaka jana ounce moja yenye thamani ya $1,400 ilikua ikizalishwa hapa Tanzania kwa gharama ya $550. Wakati once hiyo hiyo inazalishwa kwa $250 huko Peru na Chile.<br />
<br />
Sheria mpya ya Madini imeongeza mrahaba kwa asilimia moja kufikia 4%. Lakini in my opinion we should not pin our hopes on royalty. In the 400 years of mining in south Africa they didn't benefit from royalties, rather it was the upward and downward linkages in the economy. Huwezi kuondoa umaskini Tanzania kwa kupeleka hela Hazina. Umasikini tutaondokana nao kwa pesa inayoingia moja kwa moja kwenye mzunguko. Tungepaswa Kutizama supply chain na jinsi gani watanzania wanaweza kushiriki, kufaidika na kuwekewa mazingira ya upendeleo!

You cannot create wealth without involving locals, empowering locals and making them privileged!

Ni vigumu kukuelewa! Unasema hamna mkataba wenye hedging, halafu unasema hesabu za mrabaha (si Mrahaba) zinapigwa kwa bei ya $700 kwa ounce, kama hiyo si hedging ni kitu gani?

Opinion yako ni kuwa kwa kuwa loyalty ni kidogo na inakwenda hazina, hatuhitaji kuiangalia hata kama tunapoteza asilimia 60 ya loyalty hiyo kutokana na ku-hedge kwenye bei ambayo ni chini mno ya market price? Kama huwezi kupigania kitu ambacho kiko wazi kama hiki ni kitu gani kingine unaweza kukipigania?

Hapa ndo tunapopoteza mwelekeo! Inatakiwa tuanze na hivi vilivyo wazi mno. Kama huwezi kutetea hiki kilicho wazi mno, ni ujinga kuamini kuwa kuna chochote kingine unachokiweza!

Fedha inayoingia kwenye mzunguko, si ndo hiyo inayotokea hazina? sijui kama unajua unachokiongea! Fedha inayoenda hazina imepotea? Si ndo hiyo inayokuja kujenga hospitali na bara bara?

Asante ndugu, ila ni vizuri tutoe utetezi wenye kichwa na miguu!!
 
Sasa hivi ishafika $1850. Watu inabidi sasa tuanze kuwekeza kwenye dhahabu. Tuanzishe kampuni zetu na kutafuta wawekezaji na sisi tuanze kuchimba dhahabu tufaidike kuliko kuacha dhahabu yetu inaliwa na wakubwa na wazungu
 
Inasikitisha kuona kuwa bei zetu za bidhaa tunadanganywa kila siku iwe pamba, kahawa, dhahabu, almas, hata "mchanga" kutoka migodini, Inabidi tufanye maombi kila mtu kwa imani yake kuwaombea viongozi wetu wapate ujasiri wa kujiuzuru

hapa ni kuomba tu tuachane na ubinafsi ni hilo tu vinginevyo tutaishia kuposts na kuliwazana jukwa la MK na MMU au sports na entertainment..

bongo kwikwi yaani we acha tu
 
Inasikitisha kuona kuwa bei zetu za bidhaa tunadanganywa kila siku iwe pamba, kahawa, dhahabu, almas, hata "mchanga" kutoka migodini, Inabidi tufanye maombi kila mtu kwa imani yake kuwaombea viongozi wetu wapate ujasiri wa kujiuzuru
Tanzania hii hata tukifanya maombi nchi nzima mwaka mzima ujinga utaendelea kuwa palepale. Kwa sababu viongozi tulionao wanatumia nguvu za giza katika maamuzi, kufikiri na kutenda. Haya ndiyo madhara makubwa ya kuongozwa na viongozi wanaotegemea nguvu za giza.
 
Muda mchache uliopita nikiangalia habari za kibiashara CNN nimesikia bei ya Dhahabu imefikia dola 1800 kwa ounce moja,sasa sisi Watanzania tuendelee kupewa asilimia 3 ya bei waliojipangia migodi miaka iliyopita ya Dola 400 ? hata kwa asilimia hiyo 3 kama tutalipwa kwa bei ya tuseme Dola 1600 tutakuwa tunapata mara 4 zaidi ya tunavyopata sasa.Tukipata asilimia 10 tu wanayopata Congo DRC hapo tunaweza kuona faida ya migodi kwa uchumi wa Taifa,nawakilisha.
<br />
<br />
Hoja nzuri,ila hapo 'nawakilisha' ilipaswa kuwa 'nawasilisha',pamoja mkuu.
 
Wakuu mneiona hii? ni kweli?

Tanzanian Lawmakers Approve Super-Profit Tax



Source: Bloomberg, David Malingha Doya (6/14/11)
"IMF backs an additional levy on mining projects with 'particularly high' returns."


Bloomberg, David Malingha Doya


Tanzanian lawmakers approved a five-year development plan that includes a proposal for a so-called super-profit tax for mining companies, an official in the presidency said.


"The plan has been passed by Parliament," Stephen Wassira, minister of state in the president's office in charge of social relations and coordination, said by mobile-phone text message today. "What follows is to start implementation."


Wassira didn't immediately respond to a question about whether approval of the five-year plan meant the proposed levy would be implemented. Mines Minister William Ngeleja referred questions on the tax to Finance Minister Mustafa Mkulo, who didn't answer his mobile phone when called for comment.


Tanzania vies with Mali to be Africa's third-biggest gold producer and is the world's only known source of the blue gemstone tanzanite. The country's Planning Commission last week published a document that said it may be "optimal" to introduce a super-profit tax in the mining industry as a way to fund a proposed 42.9 trillion-shilling ($27B) economic- development plan. It said the levy may be appropriate "considering the increasing trend in mineral prices."


The commission cited data that showed gold exports from the East African country increased to $1.5B, or 7% of gross domestic product, from $500M over the past five years, while annual government revenue from sales of the metal remained at $100M, or 0.5% of GDP.


The International Monetary Fund's Fiscal Affairs Department held talks with the Tanzania's Finance Ministry about the issue prior to its announcement and backs an additional levy on mining projects with "particularly high" returns, an IMF official said.
The Gold Report - Tanzanian Lawmakers Approve Super-Profit Tax
 
Wakuu mneiona hii? ni kweli?

Tanzanian Lawmakers Approve Super-Profit Tax



Source: Bloomberg, David Malingha Doya (6/14/11)
"IMF backs an additional levy on mining projects with 'particularly high' returns."


Bloomberg, David Malingha Doya


Tanzanian lawmakers approved a five-year development plan that includes a proposal for a so-called super-profit tax for mining companies, an official in the presidency said.


"The plan has been passed by Parliament," Stephen Wassira, minister of state in the president's office in charge of social relations and coordination, said by mobile-phone text message today. "What follows is to start implementation."


Wassira didn't immediately respond to a question about whether approval of the five-year plan meant the proposed levy would be implemented. Mines Minister William Ngeleja referred questions on the tax to Finance Minister Mustafa Mkulo, who didn't answer his mobile phone when called for comment.


Tanzania vies with Mali to be Africa's third-biggest gold producer and is the world's only known source of the blue gemstone tanzanite. The country's Planning Commission last week published a document that said it may be "optimal" to introduce a super-profit tax in the mining industry as a way to fund a proposed 42.9 trillion-shilling ($27B) economic- development plan. It said the levy may be appropriate "considering the increasing trend in mineral prices."


The commission cited data that showed gold exports from the East African country increased to $1.5B, or 7% of gross domestic product, from $500M over the past five years, while annual government revenue from sales of the metal remained at $100M, or 0.5% of GDP.


The International Monetary Fund's Fiscal Affairs Department held talks with the Tanzania's Finance Ministry about the issue prior to its announcement and backs an additional levy on mining projects with "particularly high" returns, an IMF official said.
The Gold Report - Tanzanian Lawmakers Approve Super-Profit Tax

Huyu ni mbuzi kwenye gunia, ni mgodi gani Tanzania utatangaza super profit? Yaani tunashindwa ku-renegotiate hata hako ka 3% ka loyalty katokane na market value, tunakimbilia vivuli vya super profit!! Hata Ngeleja anajua kuwa THIS IS NOT REAL. Hii ni habari tu ya kuichanganya jamii ione kuwa the government is doing something!! poor!!
 
Unajua kuna kipindi huwa naamuaga kutofungua JF kwa sababu ya mabandiko kama haya as unaweza ambulia ulcers,pressure etc
Hii mikataba ikivunjwa na kudraft upya kama alivyofanya Kabila kuna tatizo?
Hamuwezi weka fixed price ya gold wakati daily inapand na kushuka si wangeweka tuu kuwa according to the market price ingawa wangetuliza pia ila ingekuwa angalau.
Mpaka kichwa chauma Khaa huu ni uhaini!
 
Sometime inatia hata uvivu thou inauma mno!!! Hayo maslahi na percentages zinazo
stahili kuongezwa hata zikiongezwa hakuna mabadiliko kwa mwananchi wa kawaida...
unashindwa kuelewa, kutathmini na hata la kufanya... Dawa ipo jikoni lakini.. na mganga kapatikana.

hahaha Namaste DiDi .....

ehhh!! mganga ni yupi huyo!.. ila ni kweli inauma.. yaani cant wait 2015!! CCM ife for good!
 
Chini ya chama gani haya mautumbo yamefanyika na kuendelea kufichwa, CCM!
Chama gani kiko mstari wa mbele kutaka kurekebisha na kusafisha mauchafu haya, Chadema!
Chama gani kitahakikisha aliyesaini mikataba hiyo anafikishwa mbele ya sheria, Chadema!

Hakuna utumbo uliofanyika, laiti ungalijuwa maamuzi na majadiliano yaliyopeleka kusaini hiyo mikataba nadhani ungelikaa kimya. Labda ungemuuliza Zitto, si alikuwepo kwenye hiyo tume iliyorekebisha sheria au umeshau?

Ukiongelea chama gani, pia ujiulize na hao wakubwa wa chama chako walikuwa chama gani wakati hiyo mikataba inasainiwa?

Zitto alikuwa chama gani alipokuwa kwenye tume ya madini? Sasa tumlaumu yeye na chadema ndio waliofanya hayo?
 
Huyu ni mbuzi kwenye gunia, ni mgodi gani Tanzania utatangaza super profit? Yaani tunashindwa ku-renegotiate hata hako ka 3% ka loyalty katokane na market value, tunakimbilia vivuli vya super profit!! Hata Ngeleja anajua kuwa THIS IS NOT REAL. Hii ni habari tu ya kuichanganya jamii ione kuwa the government is doing something!! poor!!

Huelewi maana ya super profit levy. Kaa kimya. Usitake kudanganya umma.
 
naona ipo haja ya hoja ya dharura kuhusu hili jambo maana unaposema % ya kitu haipo fix tuseme $400 bali bei ya wakati huo kama vile kwenye kodi ya Vat unaposema 20% ya nini Shs 5, 10 nk nk ni ya bei ya kitu. huu ni wizi unashabikiwa na baadhi ya watu sio suala kisheria wala nini, bali tafsiri potufu iliyo wekwa na wevi
 
Back
Top Bottom