GE2025 Devotha Minja hana sifa ya kuwa mgombea mwenza

GE2025 Devotha Minja hana sifa ya kuwa mgombea mwenza

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Yaani watu wapo katika maigizo ya democracy wewe unawachukulia serious kweli?

Hivi ukitoa Chadema kwasasa,kuna chama ambacho unachukulia ni chama cha siasa serious na wanafanya serious politics?
 
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka

JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Kwani cheti cha form four kinatatizo gani kwenye uongozi?hao ma Dr. Na ma professor walioko huko mamlakani ni kipi wamekifanya kinacho sadifu usomi wao? Usichange vitu visivyo changanyika.
 
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka

JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Ana degree ya uandishi wa habari
 
Weka ushahidi kama hana shahada ya chuo kikuu kinachotambulika. Pia weka vigezo vya kuwa rais siyo unaleta porojo na kuchafuana
Katiba haisemi mgombea mweza awe na elimu walau kuanzia ngazi ya shahada, ndio maana kuna kipindi kama mnakumbuka Dr. SLAA alikuwa na mgombea mweza ambaye ni darasa la 7.
 
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka

JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Mimi nikukosoe tu kwenye eneo la elimu ya huyo dada. Huyo dada alitunukiwa degree hapo SUA masuala ya maendeleo vijijini wengi mnaita maendeleo ya jamii. Elimu yake ipo wazi kabisa. Kwahiyo ulichokiuliza kijenge katika upande mwingine lakini siyo elimu
 
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka

JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Urais ni kabineti kubwa kabisa,yenye watu wa kila namna waelekezi wa kila Hali,hata ukiwa wa la 7, urais unakuwa shwari bila shida yoyote
 
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka

JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Sifa za elimu uraisi ni sawa na sifa za kuwa mbunge ujue kusoma na kuandika tu
 

Attachments

  • Screenshot_20250809-180706.png
    Screenshot_20250809-180706.png
    322.6 KB · Views: 10
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka

JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?

Nchi za Afrika hazihitaji mtu mwenye akili kivile kuziongoza...raia wanajiongoza wenyewe fresh tu!
 
Samia kashajioitisha Urais - mpinzani wa kweli kamuweka Gelezani ili apete.

Ni aibu eti Sakum Mwalimu ndiye mshindani wa nguvu na Samia.

Tunakokwenda siko kabisa tutatengwa na mataifa kama kukin'gan'gania kuendelea na mchakato hali wengine wamefungwa miguu na mikono.
Mnataka no reforms no election au mnataka Tundu Lissu aachiwe aweze kugombee urais?
 
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka

JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Achana na huyo devotha,hii ni imepikwa tu ili ionekane upinzani upo,,hivi unamuona salum ana ushawishi gani?ndio maana wanaweka vyovyote vile cause wanajua ni mchongo nothing gonna happen in reality!!
 
Back
Top Bottom