Mbona Samia amekuwa rais?Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka
JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Mbona Samia amekuwa rais?Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka
JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
acha bangiKwamba ulikuwa unamfyeka kisilisili
😄 🤣
Huoni huyu majanga?Kwani cheti cha form four kinatatizo gani kwenye uongozi?hao ma Dr. Na ma professor walioko huko mamlakani ni kipi wamekifanya kinacho sadifu usomi wao? Usichange vitu visivyo changanyika.
wewe una cv ya samia au unaongea tu
Wewe unayesema ana shahada ndiyo uweke ushahidi vyeti vyake.Weka ushahidi kama hana shahada ya chuo kikuu kinachotambulika. Pia weka vigezo vya kuwa rais siyo unaleta porojo na kuchafuana
Ila hawa chauma vichekesho sana kwaiyo wakishinda urais harafu His Exellence salum mwalim akatutoka Devotha minja ndo anakuwa president ?Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka
JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Cv anayo mwenyewe, siwezi kuwa nayo maana sio yanguwewe una cv ya samia au unaongea tu
Cv anayo mwenyewewewe una cv ya samia au unaongea tu
Shahada ni jambo moja lingine lingekuwa uwezo binafsi! Mtu anayetaka kuwa Rais yaani kiongozi Mkuu wa nchi ni lazima awe na uwezo mkubwa wa kutenda, kuamua na kuzungumza akaeleweka.Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka
JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Yerico sio kafeli fomu tuu kweliKwani Yericko anasemaje?
Kwani Kuna shida gani? Mbona Mh. Samia alikuwa makamu na leo ni RaisIla hawa chauma vichekesho sana kwaiyo wakishinda urais harafu His Exellence salum mwalim akatutoka Devotha minja ndo anakuwa president ?
chadema ipi?.Chadema si mlisema ni saccos au mmeshasahau au alivyobadilika tu mwenyekiti usacos umeisha?.Yaani watu wapo katika maigizo ya democracy wewe unawachukulia serious kweli?
Hivi ukitoa Chadema kwasasa,kuna chama ambacho unachukulia ni chama cha siasa serious na wanafanya serious politics?
Kama hauwezi kutumia maarifa jitahidi kukaa kimya kuonekana una busara.chadema ipi?.Chadema si mlisema ni saccos au mmeshasahau au alivyobadilika tu mwenyekiti usacos umeisha?.