njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 4,852
- 11,723
Yupo Mbeya huko anachagua mchele mzuri wa kampeniKwani Yericko anasemaje?
Yupo Mbeya huko anachagua mchele mzuri wa kampeniKwani Yericko anasemaje?
Samia ameanza kumuogopa devoted MinjaJee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka
JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Kwa bahati huyu dada mimi katika pitapita zangu za maisha,tumewahi kufahamiana,kipindi hicho akitangaza redio one na itv na mumewe alikuwa akiuza mbao morogoro,nitamstiri aibu zake kwani yeye ni binadamu kama mimi,ila tulikuwa karibu sana,urafiki wetu ulikuwa mkubwa sana.Hana sifa ya kuwa hata katibu kata acha urais.Elimu yake siijui lakini hana uadilifu wa kuwa kiongozi na wala wao wenyewe wanajua kuwa hawatashinda,bali ni mchongo fulani hivi.Ile chadema ya mbowe mimi nilikuwemo ndani kabisa,ila sikutaka watu wanielewe na sikuwa na nia ya kupata cheo ila nilikuwa nachangia sana,na nilipokuwa nje ya nchi nilichangia sana.Vyeo niliona watu wanavyopewa kama na yeye alivyopewa ubunge.Ni kichekesho kwa salim mwalimu kuogombea urais na mgombea mwenza awe devota minjaJee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka
JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
tunajua hcho kitu hakiwezani kamwe Salum kushinda uchaguzi...labda nikwambie kitu kama ulikuwa hujui hata darasa la saba anayejua kusoma na kuandika anaweza kuongoza nchi kwa katiba tulionayo..Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka
JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Haahaa salumu amshinde Samia, tobaaaa🤣🤣🤣Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka
JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Alichozungumza ndo ukweli, ccm wanatumia baadhi ya wapinzani kama ngaoMpango maalum by Poleslow
Mimi nafikiri Tanzania hatuhitaji tena wasomi sababu wasomi ndio wametufikisha hapa. Nafikiri kuna sehemu wasomi wanafundishwa kuharibu nchi.tunajua hcho kitu hakiwezani kamwe Salum kushinda uchaguzi...labda nikwambie kitu kama ulikuwa hujui hata darasa la saba anayejua kusoma na kuandika anaweza kuongoza nchi kwa katiba tulionayo..
Ila wewe nawe una bichwa gumu kuelewa.Ni dada flani mwenye pesa zake anayeishi Morogoro
Hakuna Minja mjinga rejea uhakiki wa taarifa zako
Chineke mbeThis is an Abomination.
Hiyo ni ngoma ya watoto haikeshiJee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka
JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Kwamba ulikuwa unamfyeka kisilisiliKwa bahati huyu dada mimi katika pitapita zangu za maisha,tumewahi kufahamiana,kipindi hicho akitangaza redio one na itv na mumewe alikuwa akiuza mbao morogoro,nitamstiri aibu zake kwani yeye ni binadamu kama mimi,ila tulikuwa karibu sana,urafiki wetu ulikuwa mkubwa sana.Hana sifa ya kuwa hata katibu kata acha urais.Elimu yake siijui lakini hana uadilifu wa kuwa kiongozi na wala wao wenyewe wanajua kuwa hawatashinda,bali ni mchongo fulani hivi.Ile chadema ya mbowe mimi nilikuwemo ndani kabisa,ila sikutaka watu wanielewe na sikuwa na nia ya kupata cheo ila nilikuwa nachangia sana,na nilipokuwa nje ya nchi nilichangia sana.Vyeo niliona watu wanavyopewa kama na yeye alivyopewa ubunge.Ni kichekesho kwa salim mwalimu kuogombea urais na mgombea mwenza awe devota minja
Huyo minja sio form four leaver ana elimu nzuri tu na amewahi kufanya kazi kwa mzee mengiIla wewe nawe una bichwa gumu kuelewa.
Kauliza kuhusu elimu yake sio vichenji vyake elewa swali..!!
Mgbe niileChineke mbe

Tutengwe kisa CHADEMA awajashiriki uchaguzi?Samia kashajioitisha Urais - mpinzani wa kweli kamuweka Gelezani ili apete.
Ni aibu eti Sakum Mwalimu ndiye mshindani wa nguvu na Samia.
Tunakokwenda siko kabisa tutatengwa na mataifa kama kukin'gan'gania kuendelea na mchakato hali wengine wamefungwa miguu na mikono.
Kwa Tanzania kila mtu anayo haki ya kugombea nafasi yoyote ile mradi ajue kusoma na kuandika, wangekuwa CCM tume ingewapa ushindi na Devo angekuwa makamu wetu wa rais na kale ka Lucas Mwashambwa kangebubujikwa machozi.Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum Mwalim akaondoka
JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
No wahalaMgbe niile![]()