Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Je X-mass ni sherehe za kuzaliwa yesu kristo ? Nielewavyo gregorian calenda ilianza pale yesu alipozaliwa yaani tareh 01-januari - 01. Sasa ninapoambiwa tunasherehekea kuzaliwa yesu tar 25 -Dec, inachanganya kidogo.[au tarehe kamili ya kuzaliwa yesu haifahamiki ?] Wapendwa naomba msaada hapo na bwana asifiwe.

upumbavu ni kipaji
 
Christmas is one of the most important days among Christians. This day commemorates and celebrates the birth of the Lord Jesus Christ. Christmas is more than just a holiday. It is the remembrance of the fact that God so loved the world that He gave His only begotten Son, that whoever believes in Him should not perish but have everlasting life.
Jesus' birthday--Christmas--is about God's love. It is about God's love for you and me. It is God expressing His great love for mankind, through the giving of the greatest gift, the Lord Jesus Christ. He loves us not because of what we are, but He loves us because of what He knows we can become, if we'll allow Him to get involved in our lives.

John 1:1-3, 14:

1 In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
2 He was in the beginning with God.
3 All things were made through Him, and without Him nothing was made that was made.
14 And the Word became flesh and dwelt among us, and we beheld His glory, the glory as of the only begotten of the Father, full of grace and truth.
Advertisement

This passage from the Book of John tells us what Christmas is all about. It is about Jesus coming into the world. It is about the Word of God, the Living Word; Jesus is called the Logos, or the Word of God, and it says, "In the beginning was the Word."

Notice that verse 1 says "the Word was with God". This verse shows Jesus' separate and distinct personality. Then it says "the Word was God."
Now, I can't explain this to you. I can't explain it in a rational way so that you can understand it intellectually, but that's what the Bible says, it says that the Word was with God and then it says that the Word was God. Praise God that He doesn't require us to understand it mentally in order to gain the benefits from it; all we have to do is simply believe it.

Romans 8:1-3:

1 There is therefore now no condemnation to those who are in Christ Jesus, who do not walk according to the flesh, but according to the Spirit.
2 For the law of the Spirit of life in Christ Jesus has made me free from the law of sin and death.
3 For what the law could not do in that it was weak through the flesh, God did by sending His own Son in the likeness of sinful flesh, on account of sin: He condemned sin in the flesh,
This is the purpose of Jesus' coming. His purpose was to come and take away our sin. To come and pay the penalty that all of us should have rightfully paid as a result of Adam's sin in the garden of Eden. Jesus came to do it for us; that's what this season is all about. That's the true meaning of Christmas, that Jesus came to do what the flesh could not do and that is to bring us back into fellowship and communion with the Heavenly Father.

Hebrews 2:10-15:

10 For it was fitting for Him, for whom are all things and by whom are all things, in bringing many sons to glory, to make the captain of their salvation perfect through sufferings.
11 For both He who sanctifies and those who are being sanctified are all of one, for which reason He is not ashamed to call them brethren,
12 saying: "I will declare Your name to My brethren; In the midst of the assembly I will sing praise to You."
13 And again: "I will put My trust in Him." And again: "Here am I and the children whom God has given Me."
14 Inasmuch then as the children have partaken of flesh and blood, He Himself likewise shared in the same, that through death He might destroy him who had the power of death, that is, the devil,
15 and release those who through fear of death were all their lifetime subject to bondage.
Jesus came to set us free from the ravages of death. Praise the Lord! The real meaning of Christmas is Jesus Christ: crucified, dead, risen, ascended, and coming again!
 
WANAJF;
Kwanza naomba nideclare kwamba mimi ni Mkristo tena anayejitahidi kwa nafasi yangu kuelewa vema kile ninachoamini. Nikiwa kama Mkristo, msingi wangu wa IMANI umejengwa katika MAANDIKO MATAKATIFU, yaani BIBLIA TAKATIFU. Hivyo, vyote ninavyofanya na maisha ninayoishi yanapaswa yaakisi kile nilichoelekezwa kwenye Biblia. Sasa ndugu zangu, hii Sikukuu ya Kristmas nimekuwa nikisherehekea toka nikiwa mdogo mpaka ukubwani lakni jambo moja ambalo liko wazi ni kwamba HAKUNA UKWELI WOWOTE KATIKA BIBLIA TAKATIFU KWAMBA YESU ALIZALIWA DESEMBA 25. Na kwasababu hii kitu inakosa support ya maandiko matakatifu, hivyo naamini wengi wetu tunaisheherekea tu kwasababu ya MKUMBO na MAZOEA TU. Kama kuna mtu yeyote, Mwanafunzi wa Biblia anayeweza kunisaidia na fungu lolote kwenye Biblia (toka Kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo) basi naomba anisaidie.

Zaidi ya kukosa suport ya Maandiko Matakatifu, lkn pia hata kipindi chote (Miaka 33) alichoishi Bwana Wetu YESU KRISTO hapa Duniani na hata kipindi cha Mitume, hatuoni kama kuna kipindi Bwana wetu Yesu au Mitume walishhiriki Birth-day ya BWANA WETU YESU KRISTO. Sasa hapo ndipo suali linakuja, je waanzilishi wa hii siku ya Kristmas walikuwa na kusudio gani? na ni kwa nini hii siku imekuwa na mwamko mkuu kiasi hiki katika IMANI YA KIKRISTO wakati hata kwenye BIBLIA TAKATIFU haijaonyeshwa kwamba tunapaswa kuisheherekea.

Nafahamu kwamba wapo wale watakaonibeza lkn hata Biblia inatuambia kwamba siku ile ATAKAPORUDI BWANA WETU YESU KRISTO KUWACHUKUA WATEULE WAKE kwenda nao MBINGUNI, hakutakuwa na sababu Ohooo mimi sikujua wala mimi nilikuwa naambiwa tu Viongozi wangu wa DINI (ambao naamini hata ukiwauliza kuhusu hii Kristmas watakosa Jibu la kukuambia, labda itakuwa ni Propaganda tu zisikokuwa na support ya kwenye Biblia Matakatifu). Na Biblia iko wazi zaidi kwa kusema; Watu wangu wanakufa kwa kukosa maarifa.

NB: Siamini kama ni makosa kujadili kitu muhimu kama hiki, kwani sioni tatizo la kueleweshana ktk suala ambalo lina mustakabali wa mambo yetu ya kiimani. Ndiyo maana hata katika baadhi ya Makanisa yetu kuna vipindi vya mjadala katika mambo mbalimbali ya kiimani.

Nawasilisha.
 
WANAJF;
Kwanza naomba nideclare kwamba mimi ni Mkristo tena anayejitahidi kwa nafasi yangu kuelewa vema kile ninachoamini. Nikiwa kama Mkristo, msingi wangu wa IMANI umejengwa katika MAANDIKO MATAKATIFU, yaani BIBLIA TAKATIFU. Hivyo, vyote ninavyofanya na maisha ninayoishi yanapaswa yaakisi kile nilichoelekezwa kwenye Biblia. Sasa ndugu zangu, hii Sikukuu ya Kristmas nimekuwa nikisherehekea toka nikiwa mdogo mpaka ukubwani lakni jambo moja ambalo liko wazi ni kwamba HAKUNA UKWELI WOWOTE KATIKA BIBLIA TAKATIFU KWAMBA YESU ALIZALIWA DESEMBA 25. Na kwasababu hii kitu inakosa support ya maandiko matakatifu, hivyo naamini wengi wetu tunaisheherekea tu kwasababu ya MKUMBO na MAZOEA TU. Kama kuna mtu yeyote, Mwanafunzi wa Biblia anayeweza kunisaidia na fungu lolote kwenye Biblia (toka Kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo) basi naomba anisaidie.

Zaidi ya kukosa suport ya Maandiko Matakatifu, lkn pia hata kipindi chote (Miaka 33) alichoishi Bwana Wetu YESU KRISTO hapa Duniani na hata kipindi cha Mitume, hatuoni kama kuna kipindi Bwana wetu Yesu au Mitume walishhiriki Birth-day ya BWANA WETU YESU KRISTO. Sasa hapo ndipo suali linakuja, je waanzilishi wa hii siku ya Kristmas walikuwa na kusudio gani? na ni kwa nini hii siku imekuwa na mwamko mkuu kiasi hiki katika IMANI YA KIKRISTO wakati hata kwenye BIBLIA TAKATIFU haijaonyeshwa kwamba tunapaswa kuisheherekea.

Nafahamu kwamba wapo wale watakaonibeza lkn hata Biblia inatuambia kwamba siku ile ATAKAPORUDI BWANA WETU YESU KRISTO KUWACHUKUA WATEULE WAKE kwenda nao MBINGUNI, hakutakuwa na sababu Ohooo mimi sikujua wala mimi nilikuwa naambiwa tu Viongozi wangu wa DINI (ambao naamini hata ukiwauliza kuhusu hii Kristmas watakosa Jibu la kukuambia, labda itakuwa ni Propaganda tu zisikokuwa na support ya kwenye Biblia Matakatifu). Na Biblia iko wazi zaidi kwa kusema; Watu wangu wanakufa kwa kukosa maarifa.

NB: Siamini kama ni makosa kujadili kitu muhimu kama hiki, kwani sioni tatizo la kueleweshana ktk suala ambalo lina mustakabali wa mambo yetu ya kiimani. Ndiyo maana hata katika baadhi ya Makanisa yetu kuna vipindi vya mjadala katika mambo mbalimbali ya kiimani.

Nawasilisha.

Mkristo wa 'KICHINA' 25th Dec SIO BIRTHDAY YA YESU acha kukariri mambo,ni siku ambayo wakristo hukumbuka kuzaliwa kwa Bwana YESU karibia miaka 2000 iliyopita.Ingekuwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa YESU isingetumika neno'karibia miaka...' ingekuwa unatajwa Umri husika wa YESU.Kama huamini kwamba YESU alizaliwa then huna sababu ya kukumbuka tendo hilo,pia unaweza kuchagua tarehe nyingine na mwezi mwingine kama unafikiri kweli Yesu alizaliwa nawe ufanye hiyo kumbukumbu.Wengi hawaelewi kuwa kesho sio bethdey ya yesu...
 
Mkristo wa 'KICHINA' 25th Dec SIO BIRTHDAY YA YESU acha kukariri mambo,ni siku ambayo wakristo hukumbuka kuzaliwa kwa Bwana YESU karibia miaka 2000 iliyopita.Ingekuwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa YESU isingetumika neno'karibia miaka...' ingekuwa unatajwa Umri husika wa YESU.Kama huamini kwamba YESU alizaliwa then huna sababu ya kukumbuka tendo hilo,pia unaweza kuchagua tarehe nyingine na mwezi mwingine kama unafikiri kweli Yesu alizaliwa nawe ufanye hiyo kumbukumbu.Wengi hawaelewi kuwa kesho sio bethdey ya yesu...

MIMI NI MKRISTO NINAYE-AMINI KWAMBA YESU ALIZALIWA NA BIKIRA MARIAM, AKAISHI DUNIANI KWA KIPINDI CHA MIAKA 33, AKAUAWA NA KUZIKWA NA ILIPOFIKA SIKU YA TATU ALIFUFUKA NA KWASASA YESU MBINGUNI NA ATAREJEA TENA KUWACHUKUA WALE WALIO WATEULE WAKE KWENDA NAO MBINGUNI KAMA BIBLIA INAVYOSEMA.

HII HABARI YA WEWE SIYO MKRISTO AU WA KICHINA KWASABABU YA SWALI AMBALO HATAHIVYO BADO HAMJALIJIBU; JE NI KWANINI TUNASHEHEREKEA KILA MWAKA 25 DESEMBA KAMA SIKU YESU ALIYOZALIWA? JE HAYA YANAPATA SUPPORT TOKA WAPI WKT KWENYE BIBLIA TAKATIFU HAYAPO? -ungenijibu katika hilo ungekuwa umenisaidia sana, kama una evidence ya kwenye Biblia, otherwise unajaribu kukwepa ukweli kwamba tunasheherekea Matakwa ya Kibinadamu na wala si mpango wa Mungu; kwani vipaumbele vyote muhimu katika ukombozi wa Mwadamu (kazi aliyokuja YESU Duniani kuifanya) vyote vipo kwenye BIBLIA TAKATIFU.

Nafahamu kuna watu hawapendi kujadili mambo ya kiimani kwasababu zao mbali mbali lkn lililojema ni lipi? na ni kwanini tunaruhusiwa kuwa na BIBLIA TAKATIFU na kushauriwa kukisoma? Je kama wote tungekuwa wavivu au kutopenda kusoma Biblia Takatifu, Je Waakristo Waprotestant wangekuwepo leo hii bila Martin Luther kufanya jitihada na Kusoma Biblia na kuelewa yaliyomo?

Mimi nafikiri tusibezane kwa maneno ya kejeli ktk mambo muhimu kama haya; wewe kama una facts za kutufanya tushehereke leo Desemba 25 kama sikukuu ya Kuzaliwa Yesu Kristo, tupe hizo facts zinazotoka kwenye BIBLIA TAKATIFU.

Halafu pia, neno la Mungu lina utaratibu, na hasa Ukristo, hivyo huwezi kunishawishi kwamba ni suala la mtu yeyote kujisikia ni lini na siku gani anasheherekea Kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Hiyo dhana ya uhuru huo unautoa wapi kwenye Biblia takatifu? Labda unishawishi kwamba wewe Biblia haikuhusu, na kama ndivyo basi hili swala nalo halikuhusu; kwani hili suala ni kwa wale WAKRISTO AMBAO BIBLIA TAKATIFU NDICHO KITABU KITAKATIFU na taratibu na Msingi wa Imani yao ipo kwenye Biblia Takatifu.

NB; H1N1 na Mwafrikahalisi; tafadhali rejea mada yangu hapo juu na uone kiini cha hoja yangu.
 
MIMI NI MKRISTO NINAYE-AMINI KWAMBA YESU ALIZALIWA NA BIKIRA MARIAM, AKAISHI DUNIANI KWA KIPINDI CHA MIAKA 33, AKAUAWA NA KUZIKWA NA ILIPOFIKA SIKU YA TATU ALIFUFUKA NA KWASASA YESU MBINGUNI NA ATAREJEA TENA KUWACHUKUA WALE WALIO WATEULE WAKE KWENDA NAO MBINGUNI KAMA BIBLIA INAVYOSEMA.

HII HABARI YA WEWE SIYO MKRISTO AU WA KICHINA KWASABABU YA SWALI AMBALO HATAHIVYO BADO HAMJALIJIBU; JE NI KWANINI TUNASHEHEREKEA KILA MWAKA 25 DESEMBA KAMA SIKU YESU ALIYOZALIWA? JE HAYA YANAPATA SUPPORT TOKA WAPI WKT KWENYE BIBLIA TAKATIFU HAYAPO? -ungenijibu katika hilo ungekuwa umenisaidia sana, kama una evidence ya kwenye Biblia, otherwise unajaribu kukwepa ukweli kwamba tunasheherekea Matakwa ya Kibinadamu na wala si mpango wa Mungu; kwani vipaumbele vyote muhimu katika ukombozi wa Mwadamu (kazi aliyokuja YESU Duniani kuifanya) vyote vipo kwenye BIBLIA TAKATIFU.

Nafahamu kuna watu hawapendi kujadili mambo ya kiimani kwasababu zao mbali mbali lkn lililojema ni lipi? na ni kwanini tunaruhusiwa kuwa na BIBLIA TAKATIFU na kushauriwa kukisoma? Je kama wote tungekuwa wavivu au kutopenda kusoma Biblia Takatifu, Je Waakristo Waprotestant wangekuwepo leo hii bila Martin Luther kufanya jitihada na Kusoma Biblia na kuelewa yaliyomo?

Mimi nafikiri tusibezane kwa maneno ya kejeli ktk mambo muhimu kama haya; wewe kama una facts za kutufanya tushehereke leo Desemba 25 kama sikukuu ya Kuzaliwa Yesu Kristo, tupe hizo facts zinazotoka kwenye BIBLIA TAKATIFU.

Halafu pia, neno la Mungu lina utaratibu, na hasa Ukristo, hivyo huwezi kunishawishi kwamba ni suala la mtu yeyote kujisikia ni lini na siku gani anasheherekea Kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Hiyo dhana ya uhuru huo unautoa wapi kwenye Biblia takatifu? Labda unishawishi kwamba wewe Biblia haikuhusu, na kama ndivyo basi hili swala nalo halikuhusu; kwani hili suala ni kwa wale WAKRISTO AMBAO BIBLIA TAKATIFU NDICHO KITABU KITAKATIFU na taratibu na Msingi wa Imani yao ipo kwenye Biblia Takatifu.

NB; H1N1 na Mwafrikahalisi; tafadhali rejea mada yangu hapo juu na uone kiini cha hoja yangu.

Mwanamke akishazaa atakuwaje bikira?
 
Kuna ushahidi gani kwamba Yesu aliishi actually na siyo a fictional character kama Willy Gamba au Superman?

Ushaidi upo kwenye Biblia Takatifu. Manabii katika Agano la Kale wengi walitabiri kuzaliwa kwake na Katika Agano Jipya Vitabu vinne vya Injili (yaani Mathayo Mtakatifu, Marko Mtakatifu, Luka Mtakatifu na Yohana Mtakatifu) vyote vinaelezea Maisha ya Bwana wetu YESU KRISTO hapa Duniani. Na Vitabu vingine ambavyo vimeandikwa na Mitume kama Matendo ya Mitume, Warumi, Wakorintho, Wagalatia, n.k; vyote vinaelezea maisha ya YESU KRISTO NA MAMBO YOTE YANAYOHUSU UKOMBOZI WA MWANADAMU.
 
Mkristo wa 'KICHINA' 25th Dec SIO BIRTHDAY YA YESU acha kukariri mambo,ni siku ambayo wakristo hukumbuka kuzaliwa kwa Bwana YESU karibia miaka 2000 iliyopita.Ingekuwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa YESU isingetumika neno'karibia miaka...' ingekuwa unatajwa Umri husika wa YESU.Kama huamini kwamba YESU alizaliwa then huna sababu ya kukumbuka tendo hilo,pia unaweza kuchagua tarehe nyingine na mwezi mwingine kama unafikiri kweli Yesu alizaliwa nawe ufanye hiyo kumbukumbu.Wengi hawaelewi kuwa kesho sio bethdey ya yesu...

Safi sana ndugu.jibu hili linamtosha na umetusaidia wengi.
 
Hatumtendei haki RDI,
Badala ya kujibu swali lake mnaamua kumuita majina ya ajabu, kisa tu mnataka aamini tu kitu asichokielewa.
Swali ni la msingi sana, nafikiri tunachotakiwa kumsaidia ni kumpa justification ya huko kuzaliwa Tarehe 25 December, otherwise tukubali kua sio tarehe halisi.
But sio kum'beza bila kutoa jibu wakuu.
Nawasilisha
 
Kuna ushahidi gani kwamba Yesu aliishi actually na siyo a fictional character kama Willy Gamba au Superman?

We zuzu kweli,ina maana kukosekana kwa ushahidi ndiyo ushahidi wa kukosekana ?
 
Ushaidi upo kwenye Biblia Takatifu. Manabii katika Agano la Kale wengi walitabiri kuzaliwa kwake na Katika Agano Jipya Vitabu vinne vya Injili (yaani Mathayo Mtakatifu, Marko Mtakatifu, Luka Mtakatifu na Yohana Mtakatifu) vyote vinaelezea Maisha ya Bwana wetu YESU KRISTO hapa Duniani. Na Vitabu vingine ambavyo vimeandikwa na Mitume kama Matendo ya Mitume, Warumi, Wakorintho, Wagalatia, n.k; vyote vinaelezea maisha ya YESU KRISTO NA MAMBO YOTE YANAYOHUSU UKOMBOZI WA MWANADAMU.

Huyu ni ATHEIST bro.hawezi kubali ushahidi wa kiblia kwani haiamini na wala haamini Mungu.
 
MIMI NI MKRISTO NINAYE-AMINI KWAMBA YESU ALIZALIWA NA BIKIRA MARIAM, AKAISHI DUNIANI KWA KIPINDI CHA MIAKA 33, AKAUAWA NA KUZIKWA NA ILIPOFIKA SIKU YA TATU ALIFUFUKA NA KWASASA YESU MBINGUNI NA ATAREJEA TENA KUWACHUKUA WALE WALIO WATEULE WAKE KWENDA NAO MBINGUNI KAMA BIBLIA INAVYOSEMA.

HII HABARI YA WEWE SIYO MKRISTO AU WA KICHINA KWASABABU YA SWALI AMBALO HATAHIVYO BADO HAMJALIJIBU; JE NI KWANINI TUNASHEHEREKEA KILA MWAKA 25 DESEMBA KAMA SIKU YESU ALIYOZALIWA? JE HAYA YANAPATA SUPPORT TOKA WAPI WKT KWENYE BIBLIA TAKATIFU HAYAPO? -ungenijibu katika hilo ungekuwa umenisaidia sana, kama una evidence ya kwenye Biblia, otherwise unajaribu kukwepa ukweli kwamba tunasheherekea Matakwa ya Kibinadamu na wala si mpango wa Mungu; kwani vipaumbele vyote muhimu katika ukombozi wa Mwadamu (kazi aliyokuja YESU Duniani kuifanya) vyote vipo kwenye BIBLIA TAKATIFU.

Nafahamu kuna watu hawapendi kujadili mambo ya kiimani kwasababu zao mbali mbali lkn lililojema ni lipi? na ni kwanini tunaruhusiwa kuwa na BIBLIA TAKATIFU na kushauriwa kukisoma? Je kama wote tungekuwa wavivu au kutopenda kusoma Biblia Takatifu, Je Waakristo Waprotestant wangekuwepo leo hii bila Martin Luther kufanya jitihada na Kusoma Biblia na kuelewa yaliyomo?

Mimi nafikiri tusibezane kwa maneno ya kejeli ktk mambo muhimu kama haya; wewe kama una facts za kutufanya tushehereke leo Desemba 25 kama sikukuu ya Kuzaliwa Yesu Kristo, tupe hizo facts zinazotoka kwenye BIBLIA TAKATIFU.

Halafu pia, neno la Mungu lina utaratibu, na hasa Ukristo, hivyo huwezi kunishawishi kwamba ni suala la mtu yeyote kujisikia ni lini na siku gani anasheherekea Kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Hiyo dhana ya uhuru huo unautoa wapi kwenye Biblia takatifu? Labda unishawishi kwamba wewe Biblia haikuhusu, na kama ndivyo basi hili swala nalo halikuhusu; kwani hili suala ni kwa wale WAKRISTO AMBAO BIBLIA TAKATIFU NDICHO KITABU KITAKATIFU na taratibu na Msingi wa Imani yao ipo kwenye Biblia Takatifu.

NB; H1N1 na Mwafrikahalisi; tafadhali rejea mada yangu hapo juu na uone kiini cha hoja yangu.

SCRAP,nipe aya ya biblia iliyokupa uhuru wa kuleta andiko lako JF kwanza then nami nikutafutie aya uitakayo. Issue ni tarehe au tendo linalokumbukwa ? mbona kuna binadam wa ajabu namna hii,swala la maana linalokumbukwa hapa sio 25th Dec. Ney Ney,swala ni tendo la kuzaliwa kwa Mkombozi,biblia haijapungukiwa maelezo ya tendo hili,hakika marejeo kwenye ibada yatatokana na maelezo ya tendo kwenye biblia.
 
Mwanamke akishazaa atakuwaje bikira?

Uzazi wa huyo bikira ni nje ya sayansi unayoiamini na kuiabudu,hilo swali kwa mstakabali wa Bikira Mariam ni la kipuuzi. Kama aliweza kuconcieve linyume na laws of nature atashindwaje kuzaa na akabaki na Bikira yake ?
 
:canada::photo:RDI unao uhuru wa kuabudu tu, uhuru wa kuhoji imani ya mwingine huna. Au huijui katiba ya nchi insemaje ndugu yangu? Acha hizo, umezaliwa umeiona ukaka kimya leo kulikoni? Unaacha kuhoji mafisadi wanatulaza njaa na tunasherehekea Xmas bila mishahara, wewe unahoji kama ni kweli kuna Xmas, kalaga baho:A S 465::A S 465:
 
Back
Top Bottom