Saidama
JF-Expert Member
- Jun 10, 2022
- 500
- 944
Au hata kuwamwaga kabisa😂Huyo kashindwa na huenda angewapeleka Kibaha
Au hata kuwamwaga kabisa😂Huyo kashindwa na huenda angewapeleka Kibaha
Soko la kimataifa lipi au newforce?Majo ya Mradi wenye pesa ni huo,sema tu Akili zetu Bongo mzigo.
Wampatie Mchina yule wa Soko la Kimataifa waone Shoo shoo..
Hizi jeuri dar huko huko
Arusha kwanza wanakuruhusuje utoke nje ya kituo na umewapitilizisha kituo
True, mie nimekaa na wana wanavuta bangi ila huwezi jua mpaka akusanue mwenyewe. Kuna mmoja nimesoma nae primary anavuta mpaka form 4 ndio nikajua tena baada ya kutoka nae sehemu akawa anataka aende chimbo nikamwambia na mie naenda huko ndio akachekaaa akahisi namchota nimejua ikabidi aniambie anaenda kula msuba.Acha kuifananisha bangi na vitu vya ovyo, jadili kichwa cha mvutaji sio bangi!
Hata ukinunua gari barabara zimechimbwa zote na hao mwendokazi hii barabara paleTatzo abiria wenyew gari imejaa bado wanalazimisha kuingia Gari ushaambiwa express ikisimama wanalalamika inajaa ikipitiliza umetuacha 😀😀 wabongo bhana usafir hauelewek nunua gari anyway nisiwapangie maisha bhn 😀😀
halafu🙄Kwa hizo kelele shukuruni kawaacha kimara mi ningewapeleka hadi chalinze