Dereva nusra aue mtu kwa kuitwa Bashite

Dereva nusra aue mtu kwa kuitwa Bashite

kambagasa

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
2,271
Reaction score
1,809
Imetokea Geita baada ya dreva huyo kushindwa kupaki roli katika mkao mzuri. Jamaa mmoja akasema sasa mambo gani tena haya ya Bashite unatuletea hapa!!

Ndipo dreva akatoka na panga na wakaanza kufukuzana na mungu alinusuru baada ya dreva kujikwaa na kuanguka.

Hii imesaidia huyo raia kusalimika na kutokomea kusiko julikana.
 
Imetokea Geita baada ya dreva huyo kushindwa kupaki roli katika mkao mzuri. Jamaa mmoja akasema sasa mambo gani tena haya ya Bashite unatuletea hapa!! Ndipo dreva akatoka na panga na wakaanza kufukuzana na mungu alinusuru baada ya dreva kujikwaa na kuanguka. Hii imesaidia huyo raia kusalimika na kutokomea kusiko julikana.
Aaaaah ww nae mbona unatubashite bashite banaah
 
Nani anapenda dharau sasa...mi mwenyewe ukiniita hivyo huna Bahati

Jina limekuwa baya kuliko kinyesi pyuuuuuu lkn baba jescer wala haoni ubaya huo dah
Katoka kwenye gari akiwa macho nyanya akisema.........yaani mtu nina familia yangu unaniita Bashite!!!? Haiwezekani, ikabidi jamaa aanze mbele kwa kasi mbaya
 
nawewe ulieleta huu uzi ni muongo maana hujawek picha tutaaminije
 
Katoka kwenye gari akiwa macho nyanya akisema.........yaani mtu nina familia yangu unaniita Bashite!!!? Haiwezekani, ikabidi jamaa aanze mbele kwa kasi mbaya
Dah halafu kweli kumbe bashite hana vitu vingi hana vyeti hana watoto hana akili dah sasa naanza kupigina na mi nikiitwa bashite
 
Neno bashite lina maana nyingi:
1. Ubashite wa kupata ziro
2. Ubashite wa kugushi
3. Ubashite wa kupoteza marinda
....

Ni haki ya dereva kukasirika
ubashite wa ujambazi
 
Duuh, nyuzi nyingine zinatufanya tucheke hadi tuonekane kama machizi
 
Neno bashite lina maana nyingi:
1. Ubashite wa kupata ziro
2. Ubashite wa kugushi
3. Ubashite wa kupoteza marinda
....

Ni haki ya dereva kukasirika
Ukisikia watu wamepewa freedom of expression na wamepitiliza ndio kama hivi. We should not abuse the freedom we have.
 
Imetokea Geita baada ya dreva huyo kushindwa kupaki roli katika mkao mzuri. Jamaa mmoja akasema sasa mambo gani tena haya ya Bashite unatuletea hapa!! Ndipo dreva akatoka na panga na wakaanza kufukuzana na mungu alinusuru baada ya dreva kujikwaa na kuanguka. Hii imesaidia huyo raia kusalimika na kutokomea kusiko julikana.
Sory mkuu kwani huyo bashite ndo nani maana hili jina limekuwa maarufu sana
 
Neno bashite lina maana nyingi:
1. Ubashite wa kupata ziro
2. Ubashite wa kugushi
3. Ubashite wa kupoteza marinda
....

Ni haki ya dereva kukasirika
Sijakuelewa mkuu, hasa hiyo namba tatu
 
Imetokea Geita baada ya dreva huyo kushindwa kupaki roli katika mkao mzuri. Jamaa mmoja akasema sasa mambo gani tena haya ya Bashite unatuletea hapa!! Ndipo dreva akatoka na panga na wakaanza kufukuzana na mungu alinusuru baada ya dreva kujikwaa na kuanguka. Hii imesaidia huyo raia kusalimika na kutokomea kusiko julikana.
Mwenye jina mwenyewe halitaki nani mwingine atalitaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom