Dereva nusra aue mtu kwa kuitwa Bashite

Dereva nusra aue mtu kwa kuitwa Bashite

Neno bashite lina maana nyingi:
1. Ubashite wa kupata ziro
2. Ubashite wa kugushi
3. Ubashite wa kupoteza marinda
....

Ni haki ya dereva kukasirika
Ongeza na wa kutapeli na kusema uongo na kufeli kwa kila alichokifanya
 
Sasa unaitwa Bashite unakasirika utakua na matatizo, Nisawa na unaoga akapita kichaa akachukua taulo nawe uka kurupuka kumkimbiza.
 
nili
Neno bashite lina maana nyingi:
1. Ubashite wa kupata ziro
2. Ubashite wa kugushi
3. Ubashite wa kupoteza marinda
....

Ni haki ya dereva kukasirika
nilichogundua ni rahisi sana kwa watu kukushusha kutoka juu kuliko unavyodhani
 
Alhamdulillah hatimaye watanzania wanajitambua. Tanzania zaidi ya Bashite.
 
Bashite kwa sasa ni tusi... yaan yoyote utakae mwita bashite lazima alete noma
 
Neno bashite lina maana nyingi:
1. Ubashite wa kupata ziro
2. Ubashite wa kugushi
3. Ubashite wa kupoteza marinda
....

Ni haki ya dereva kukasirika
binafsi nakubali sana utendaji wa huyu jamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom