Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,697
- 1,962
hii ipelekwe jukwaa la teknolojia...yaani mnafungua draiving skuli MMu?
hata mi nashangaa!
hii ipelekwe jukwaa la teknolojia...yaani mnafungua draiving skuli MMu?
Halafu abiria wengi dereva akizima tu gari na wao ndio wanaanza kushuka sijui inasababisha na nini very rare wanafungua mlango kwa pamoja na kushuka wote, mi napenda tushuke wote kwa pamojahaaaa, kumbe wadhani ni kwa upepo tu(wa matairi) ndio kunaifanya gari itembee?
Vipi usukani, Clutch (kwa manual,) Brake na Accelerator, Engine, uzito wa gari, Mafuta au hata umeme!) na mengineyo?
Hii ni fani, msiwadharau madereva jamani unless 'wamechakachua' leseni hao! :tonguez:
..mnh, Mwj1 dereva akishuka ni ishara safari imekwisha, inatakiwa kwanza asubirie humo humo garini akitumia mbinu za kidereva kumshawishi abiria nae ashuke kwa raha zake (ukitilia maanani machovu yaliyotokana na uhondo wa safari)
Hahahhaaahahahaaa siku imeanza fresh kabisahii ipelekwe jukwaa la teknolojia...yaani mnafungua draiving skuli MMu?
inaelekea jana gari imepata dereva mpya.
am sorry dereva wa awali kaachishwa kazi au kaona gari halililpi akajiondokea?
na yale yanayo miss miss kila dk moja lolMagari nayo yanatofautiana, mengine hiyo warm up tu linamaliza mafuta, hata kwenda halitaki. Mengine hata kama uta-warm up for 2 hrs, bado utaendesha kwa 3 hrs. Lakini kinachohitajika ni kutokuwa mabubu wakati wa kuanza mwendo, "sung'umsa" mshauri asiondoke kwa kasi. Tatizo ni kwamba anaondoka na gia kubwa, mshauri kuondoka na 1, nenda 2, 3............gari likikolea anaweza kurudi tena 1 na kuendelea 2,3,.....hivyo hivyo mpaka atakaposikia gari linalalamika.
<br />Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?
Weeee manual atawahi wapi, hii ni automatic tuu, manual inahimili vishindo vya hapa na pale, hata kigoma kwenda na kurudi bila kupumzika inaweza<br />
<br />
Iyo GARI ni ya MANUAL au AUTOMATIC?
Halafu abiria wengi dereva akizima tu gari na wao ndio wanaanza kushuka sijui inasababisha na nini very rare wanafungua mlango kwa pamoja na kushuka wote, mi napenda tushuke wote kwa pamoja
mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?
<br />Weeee manual atawahi wapi, hii ni automatic tuu, manual inahimili vishindo vya hapa na pale, hata kigoma kwenda na kurudi bila kupumzika inaweza
mambo zipi Mwanakili90<br />
<br />
Hahahaha we gaga wacha mambo zako!
Hilo combi basiJamani gaga,magari mengine,
milango yote ni mibovu kasoro mlango wa upande wa dereva tu,
Hivyo gari likisimama, abiria hawezi shuka mpaka dereva ashuke kwanza!!!!!!!!!
Dereva wangu jamani, lol huyu dereva ni mtaalam hatar, anaweza kuendesha kuanzia starlet mpaka semi trailler tatu, na napenda tukifika lazima ahakikishe nashuka mahali pa usalama, gari ikipanda mlima anatumia gia namba mbili tu na akishuka kabla yangu garini atahakikisha anashuka kwa umahiri na kuja nifungulia mlango nami nishuke, na gari ikizima kabisa ikabakia mlango mmoja tu wa kutokea atahakikisha ananishusha na kunibeba mgongoni mpaka nifike napokwenda, kwa kweli dereva ninae mwenzenu khaaaaaa!
Yaani hata ugumu wa kuendesha semi trailler lile la kuvuta nyuma yeye anaweza kwa umahiri mkubwa, yaani ushawahi kuona semi trailler linakatiza mitaa ya sinza wewe! imagine inapita ya kwakeBB......Semi tellar ni lile linalokaa nyuma eh?
Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?