Derby ya Simba na Yanga yakosa ufuatiliwaji mitandaoni kisa Vita ya IRAN

Derby ya Simba na Yanga yakosa ufuatiliwaji mitandaoni kisa Vita ya IRAN

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
2,563
Reaction score
7,321
Ukitizama uchambuzi wa mitandaoni sasa ni habari za Iran na Marekani na Israel.

Hakuna uchambuzi au kelele au shamlashamla kuelekea mechi ya derby itakayopigwa jioni.

Hakuna habari yoyote ya Bongo inayotrend kwa sasa
 
Sio kweli, watu wengi wamekosa hamasa na hivyo vilabu baada ya watanzania wengi Oktoba 29 kugundua kwamba vinatumika kuwapumbaza wasitambue na kufuatilia maovu ya ccm na serikali yake.

Angalia hata humu baada ya mauaji ya Oktoba 29 uchangiaji ni kama haupo na labda machawa ndio wameongezeka zaidi.
 
Derby inachezwa Tanzania, maswala ya mashariki ya kati yanatuhusu nini wakati Octoba mwaka jana tulikuwa na majanga yetu na bado hayajapoa.
 
Back
Top Bottom