M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Msukule kazini! Una criticise bila kufanya critical analysis kupitia post ya candid scope.
Watanzania thamani yetu ni ndogo sana. Kagari ka wagonjwa. Iwe ni mbunge wa CCM au chama kingine chochote, si kazi yake kununuwa gari la wagonjwa na kutangaza, ili iweje?
Rushwa ni za aina nyingi sana, hii ni mojawapo.
Nilitegemea wabunge wasimamie mambo mazito ya kubadilisha maisha ya watu.