Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Masahihisho ni muhimu hasa jina lilivyokosewa ni mno. Historia yake inaeleza kuwa Deo Filikunjombe ni mtoto au anatoka katika familia ya Hayati Sub-Chief Filikunjombe wa enzi hizo wakati tunapata uhuru. Hivyo Jina Filikunjombe si la kutoholewa kutoka majina mengine, ila la ukoo katika familia yao.
Mada hii ingefaa iunganishwe na mada nyingie inayoongelea kitu hicho hicho ili kuunganisha fikra na maoni ya wachangiaji katika mtiririko wa uzi mmoja. Thanks.
Ukikosea jina unapoteza hata ladha ya unachokijadili.
Mfano unamjadili Messi kwa magoli yake ya maudhi, lakini utakapokosea jina labda ukamwita Mery unapoteza ladha ya mjadala unakuja kushangaa kila mtu anauliza hivi imefika saa ngapi vile!
Big Up Candid Scope for correction by the way!