Deo Filikunjombe: Mbunge anayefanya makubwa jimboni mwake

nimemkubali kweli kweli, hana tofauti na mh MLUGO WA jimbo la Songwe - CHUNYA, kwani kwa juzi tu amekabidhi, laptop 48, kwa wakuu wote wa shule na waratibu elimu kata, vitabu 6000, kwa ujumla msaada wote ktk kuinua elimu aliotoa ni zaid ya shs 277/m soma majira ya tarehe 3/oct/2011 ukurasa wa 16 kwa habari zaidi. hawa ndiyo vijana tuanaowahitaji.
 
hana jipya huyuuuuu, wananchi walisha mwashia moto hadi akawapigia magoti sasa hilo la saizi ni zubaisha tu kuua so, zaidi akihamisha makazi na familia yake kule mtongani akajenge an kukaa huko rujewa labda itaonja kidoogo ushawishi,
 
Big up Deo,ila serikali yako inakuangusha! Yaani wilaya nzima barabara ya rami ni KM1 Tu!!!
 
naona kafanya vizuri kuna kitu cha kujifunza hapa kwa Serikali
  1. Posho inapaswa kupunguzwa au wabunge wote wafanye kama alivyofanya Deo
  2. Ile 90m sio lazima kiwe kiwango hicho
  3. Sera ya kusambaza bajaji ni ya kijinga kwani uwezekano wa kununua ambulance upo mfano kama deo kanunua tatu, Serikali ambayo inakina deo zaidi ya 300 X 3 ambulance kwa miaka 2; manake ingeweza kununua amburance zaidi 900 kwa kila miaka miwili
Hongera sana Broo don' give up
hata kama watasema umetoa rushwa mi nadhani hii ni rushwa nzuri na inafaida kwetu.
naifahamu vizuri ludewa kwa kuwepo na ambulance Manda itasave Kipingu, Nsungu, Ngerenge,masasi, Luilo,Kimelembe
na ile ya Lupingu itasave vijiji vyote vya Ukisi na ya Mlangali itasave vijiji vyote vya upangwani kwa plan hiyo utakuwa umekava the whole district.
Gud plan brooo.
Bunge likikuwezesha tena na moyo huu ukiendelea kuwa nao tunaweza kuonana kule FB kushare idears and to discuss whats next.
Hata 2015 nitarudi ludewa kukupigiwa kura
 
hana jipya huyuuuuu, wananchi walisha mwashia moto hadi akawapigia magoti sasa hilo la saizi ni zubaisha tu kuua so, zaidi akihamisha makazi na familia yake kule mtongani akajenge an kukaa huko rujewa labda itaonja kidoogo ushawishi,
wale tulokwenda jeshini, kuretreat ni namna moja ya kuadvance. Dogo yupo makini. Huku ludewa tuna mkubali.
 
naona kafanya vizuri kuna kitu cha kujifunza hapa kwa Serikali
  1. Posho inapaswa kupunguzwa au wabunge wote wafanye kama alivyofanya Deo
  2. Ile 90m sio lazima kiwe kiwango hicho
  3. Sera ya kusambaza bajaji ni ya kijinga kwani uwezekano wa kununua ambulance upo mfano kama deo kanunua tatu, Serikali ambayo inakina deo zaidi ya 300 X 3 ambulance kwa miaka 2; manake ingeweza kununua amburance zaidi 900 kwa kila miaka miwili
Hongera sana Broo don' give up
hata kama watasema umetoa rushwa mi nadhani hii ni rushwa nzuri na inafaida kwetu.
naifahamu vizuri ludewa kwa kuwepo na ambulance Manda itasave Kipingu, Nsungu, Ngerenge,masasi, Luilo,Kimelembe
na ile ya Lupingu itasave vijiji vyote vya Ukisi na ya Mlangali itasave vijiji vyote vya upangwani kwa plan hiyo utakuwa umekava the whole district.
Gud plan brooo.
Bunge likikuwezesha tena na moyo huu ukiendelea kuwa nao tunaweza kuonana kule FB kushare idears and to discuss whats next.
Hata 2015 nitarudi ludewa kukupigiwa kura

Kichwa Ngumu umekuwa na jicho la ziada, maana Chadema walipogomea posho nilitoa mada hapa kupendekeza wangeshauriana pesa hizo wazikusanye na kufanyia kitu cha maendeleo ambacho kitaonekana kwa wananchi badala ya kugomea tu na pesa hizo kuishia kwenye tundu lile lile la Beno Nduru.

Mbunge Deo na yule mwingine wa Mbeya aliyetoa laptop computers kwa walimu big up, maana
action speaks louder than words. Hayo ndiyo tunayotaka yafanyike na hili ni somo la ziada kwa kuwakuna vichwa wabunge walaji.
 
Hv huyu si ndo aliyewapigia watoto wa shule ya msingi magoti wkt anaomba kura?

Umenikumbusha, mie pia ndiye nilileta mada ile kutokana na utundu wa kupekua na kupata news from all angles in order to wrap and sum up perfect information to the audience. Kwa wale magwiji kusoma na kutafsiri photo images kuna kitu cha kujifunza katoka picha na tukio lile kama ifuatavyo:
  • Watoto walijifunza nini kwa mbunge kuona akipiga magoti na kuwaomba radhi wananchi kwa kosa lililofanywa na diwani pale mwambao wa Ziwa Nyasa ambaye walishamwinulia majambia?
  • Wananchi waliomchagua walipata funzo au picha gani kwa mbunge wao waliyemchagua?
  • Je, kuna kiongozi ye yote wa serikali aliyewahi kuwapigia magoti kuwaomba radhi wananchi wake itokeapo mtafaruku au kosa fulani la kinidhamu?
  • Utaratibu ule ulimwongezea mbunge heshima au kupata madhara kwa wapiga kura wake?
  • Kuna viongozi wangapi wamekosea makubwa na kashfa ambazo hata ni aibu kuzitaja hapa wamebaki ngangari na hawajutii wala kusikitikia kwa yaliyojilia kuleta madhara, vifo nk.?
Kwangu mimi kitendo kile ni dalili wazi za unyenyekevu, uadilifu, usikivu, na heshima ya kujali wapiga kura wake anaotakiwa kiongozi kufanya. Kiongozi lazima kuwa mfano wa kuigwa na jamii kwa matendo mema na tabia njema.

Mnataka viongozi kama Waziri Ngeleja aliyesimama akiongea kwenye simu kwenye ATM machine huku watu nyuma yake wakisubiri kwa dakika kadhaa hadi mlinzi kumtoa pale. Kisha akamgeuzia kibao mlinzi kwamba kwani hajui yeye ana nafasi gani serikalini na kuishia kampuni ya ulinzi kumfuata kumwomba radhi ofisini kwake. Hali hiyo hatuitaki. Kiongozi ni mtumishi wa wananchi si kuwafanya wananchi watwana.
 
Big up Deo,ila serikali yako inakuangusha! Yaani wilaya nzima barabara ya rami ni KM1 Tu!!!
ni kweli huku ludewa tunaonewa sana. Miaka 50 ya uhuru ludewa hatuna hata kipande kimoja cha robo km ya lami. This time, Filikunjombe ndo kawaambie wajenge hata km moja tu basi. Lakini km moja ya lami ni nini out of 176 km toka Njombe?
 
Dug hiace mil 90 vogue si litakuwa mil900?
all he said was, "i have used part of the 90 mil to buy the ambulance" huku ludewa tua mbunge mmoja wa viti maalum, anaitwa Pindi Chana, and she has been in power for ten years, yaani two terms, na hajawahi kufanya haya ya Filikunjombe. Big up Fili.
 
Si mchezo Kikwete ndo anaondoka hivyo lazima
Kampeni za kuwania kuteuliwa na chama zianze
mapema. Akitaka mafanikio aanzishe mtandao
kabisa maana vinginevyo Lowasa anachukua nchi!
 
Mbona wabunge wengi tu wa CDM wamefanya hivyo lakini hawajajitangaza. Amefuata nyayo za CMD lakini hata hivyo bado anahali ngumu jimboni kwake.

Akijitangaza asijitangaze, mbunge si mfadhili wala haina mafundisho kujidai kutowa chochote, hii ni rushwa. Kwanini asipeleke sadaka za Msikitini au Kanisani? huko watajuwa wazifanyie nini, wao ndio kazi zao hizo kuhalalisha pesa chafu.
 
all he said was, "i have used part of the 90 mil to buy the ambulance" huku ludewa tua mbunge mmoja wa viti maalum, anaitwa Pindi Chana, and she has been in power for ten years, yaani two terms, na hajawahi kufanya haya ya Filikunjombe. Big up Fili.

Mnanshangaza sana kukubali kuipokea hiyo ambulance. Rushwa haitoisha Tanzania kwa mpango huu.
 
all he said was, "i have used part of the 90 mil to buy the ambulance" huku ludewa tua mbunge mmoja wa viti maalum, anaitwa Pindi Chana, and she has been in power for ten years, yaani two terms, na hajawahi kufanya haya ya Filikunjombe. Big up Fili.

Sasa naona umeanza kampeni za 2015 ambazo zitakuwa kati ya Deo na Pindi Chana.

Pindi Chana na Deo wote wamejitahidi kufanya waliyoweza kwa ajili ya wilaya ya Ludewa japo kwa strategy tofauti. juzijuzi hapa Pindi Chana amezindua mradi mkubwa wa maji alioupata kwa msaada wa TBL, refer http://michuzijr2.wordpress.com/2011/07/15/tbl-yatoa-msaada-wa-maji-ludewa/ , na maelezo zaidi http://www.pamoma.com/stream/45-tbl-hands-over-water-project.

Kimsingi pressure ya Pindi Chana ndio inayomlazimisha Deo muda wote awe kwenye kampeni, ata mpaka wakati mwingine akalazimika kudanganya kuwa "mtumbwi alioupanda ulipinduka ziwa nyasa" ili kujaribu kutafuta huruma za wananchi kwa msaada wa Francis Godwin,http://francisgodwin.blogspot.com/2011/07/mbunge-wa-jimbo-la-ludewa-mkoani-iringa.html .

Lakini all in all Deo amejitahidi sana, na Pindi Chana pia amefanya mengi mazuri na anapaswa aendeleze kampeni za 2015 kwa nguvu zaidi, kwani upinzani wao ni afya kwa wilaya.
 
Mnanshangaza sana kukubali kuipokea hiyo ambulance. Rushwa haitoisha Tanzania kwa mpango huu.

Kwa kifupi wewe huna lolote wala hoja yako haina mashiko, ni dhahiri kabisa kwamba alichofanya ndg. Deo ni kutoa msaada na inahitaji mtu uwe punguani wa kutosha ili kuita msaada huo kuwa ni rushwa! wewe ni mmojawapo wa watu waliokuwa wanatetea posho za wabunge kuwa zina umuhimu kusaidia watu wa majimboni kwa shida mbali mbali halafu leo hii posho imetumika kutekeleza muktadha huo wewe unapinga! r u alright upstairs?! we need to judge ur sanity! hata usiporidhika na tendo hilo ni lazima uelewe wanaludewa wamefurahishwa na msaada huo na wala hawatambui na hawatatambua kuwa ni rushwa bali ni msaada uliotekelezwa na mbunge wao baada ya kumuomba afanye hivyo! ushindwe na ulegee mwili mzima na ikiwezekana sehemu zako nyeti zipatwe na kiharusi.
 
Kwa kifupi wewe huna lolote wala hoja yako haina mashiko, ni dhahiri kabisa kwamba alichofanya ndg. Deo ni kutoa msaada na inahitaji mtu uwe punguani wa kutosha ili kuita msaada huo kuwa ni rushwa! wewe ni mmojawapo wa watu waliokuwa wanatetea posho za wabunge kuwa zina umuhimu kusaidia watu wa majimboni kwa shida mbali mbali halafu leo hii posho imetumika kutekeleza muktadha huo wewe unapinga! r u alright upstairs?! we need to judge ur sanity! hata usiporidhika na tendo hilo ni lazima uelewe wanaludewa wamefurahishwa na msaada huo na wala hawatambui na hawatatambua kuwa ni rushwa bali ni msaada uliotekelezwa na mbunge wao baada ya kumuomba afanye hivyo! ushindwe na ulegee mwili mzima na ikiwezekana sehemu zako nyeti zipatwe na kiharusi.

Nakusikitikia sana na nawasikitikia wana Ludewa kuona hiyo ni fadhila na ni msaada, hiyo ni rushwa.
 
sasa tumwombee na mr sugu jimboni mbeya mjini pale pana kazi aonyeshe tofauti ukilinganisha na mbunge aliyepita.kwa john mnyika ubungo tuna mkubali sana na kijana ameonyesha kutujali ingawa serikali inajaribu kumvuruga kumfanya asionekane mchapakazi.
 
Kutoa ni Moyo wala sio utajiri, Mhe. Filikunjombe anaumizwa sana na matatizo ya wana Ludewa ndio mana anaamua kutoa kile anacho weza. Magazeti yaliyo mnukuu siku akikabidhi lile gari la kwanza kuwa kwanini aliamua kutoa gari lawagonjwa na kwanini alitoa Manda? alinukuliwa hivi '' Siku moja akitoka Manda kwenye mapumziko akiwa njiani aliwakuta wagonjwa wawili mmoja mjamzito na mwingine magonjwa mengine wakisubiria lift ya gari la padri lipite, Bahati yeakasimama ili kutoa msaada atakao weza, kwa busara zake akaona huyu mjamzito ndio asaidiwe kwani kwenye gari lake kulikuwa na nafasi moja tu basi akamsaidia mjamzito akamwahisha Hospitali akajifungua salama mtoto wa kiume na mtoto huyo anaitwa Deo. Badae alivyoulizia kama mgonjwa alie achwa kama alipata usafiri alijibiwa kuwa gari la padre sikuiyo halikupita kwaiyo yule mgonjwa alifariki. ndio uchungu wake ukampa msukumo wakupeleka ambulance Manda. Lakini matatizo kama haya hayapo Manda tu yapo Tanzania nzima lakini huyu Mhe. Filikunjombe anasema ''tumekufa sana sasa basi'' Mhe Filikunjombe sikweli kama hashirikishi wananchi, Amekuwa akiwambia wananchi waludewa kuwa wao waanze kulia kwanza halafu yeatawaunga mkono kulia. Hasa ktk ujenzi wa shule amekuwa akitoa smenti na bati huku wananchi wakichangia nguvu zao ktk kufyetua tofaliNA kujenga, kuchimba mitaro ya miradi ya maji n.k. ''TUSIMVUNJE MOYO MTU MTOAJI JAMANI'' KUTOA NI MOYO WALA SIO UTAJIRI'' MHE. FILIKUNJOMBE MUNGU TAKUBARIKI SANA KWA KUTOA KWAKO NA UJUE KAMA WEWE UNASHUGHLIKA NA WANA LUDEWA MUNGU AKUBARIKI USIVUNJWE MOYO KAZA BUTI.
 
Wana Ludewa tulikuwa na Mwalyosi alikuwa sio mtoaji, watu wakasema hatufai kwani ni mgumu sana,Leo tupo na Mhe. Filkunjombe mtoji tunasema eti rushwa! Ivi lipi jema mtu afanye?
 
Candid!!,
Anakupa Tshs ngapi kumpigia debe namna hii?
Gamba ni Gamba tu,
Labda tofauti iwe kuna Gamba kubwa na Gamba ndogo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom