Denis Msacky, Zitto Kabwe waungana kumjulia hali Kibanda

Denis Msacky, Zitto Kabwe waungana kumjulia hali Kibanda

Mh.Zitto anaanza kuwafunulia Viongozi wa CHADEMA maana ya ujumbe wake wa jana na vile vile kuwasuta pale aliposema,
CHADEMA sio pango la watesaji wala wauaji........Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi.

Mh. Zitto, kumbuka pia, JASUSI Lwakatare anatumia nyenzo za CHADEMA kwenye kesi yake na huku Dr. Slaa akimkumbatia.
 
mmmmmhhhhh! filamu ya kibanda na lwakatare plus zitto na slaa mmmmhhhh! movie hii sijui itakwisha vipi!
 
Katumwa na Zoka au othman kuna kitu ameenda kumpeleza KIbanda Huyu KIjana ni mtambo wa ufitini
 
Chadema si pango la wauaji-zitto
Ni Zitto peke yake anaruhusiwa kwenye viongozi wa CDM, wengine wanaweza kumpelekea uji wenye unga mwekundu kukamilisha nia yao.
 
Ana majukumu makubwa zaidi ya hayo ndo maana akamuagiza naibu katibu mkuu.

Oooh ok, kumbe Slaa alikuwa anamngoja Zitto atoke JKT ndio amtume South kumuona Kibanda.

Lakini, mbona Kibanda alivyopata soo tu yeye Slaa akapenda ndege kwenda kutalii Mashariki ya kati? au wakati huo kulikuwa hakuna majukumu?
 
Msitumie jina langu kujinufaisha-zitto
Kuna wana siasa wengine watafukuzwa wakienda kumuona Kibanda hakuna haja ya kuwataja wanajijua wenyewe.
 
Na uko Twitter aliandika hivi...."@zittokabwe: Offf to Jburg to see my brother and advisor #Kibanda .""@zittokabwe: Kaka yangu, ndugu yangu na rafiki yangu absakibanda anaendelea vizuri sana http://t.co/NV58vaq6ly""@zittokabwe: Ni lazima watu waliofanya unyama huu kwa absakibanda wapatikane. Sisi rafiki zake tusipohakikisha hilo tutakuwa tunamsaliti""@zittokabwe: Mola ashukuriwe sana, sikuamini kama nitamkuta Absalom Kibanda mzima na anapata nafuu."Anaendelea hiviii...."@zittokabwe: Demokrasia ni dhana. Kwenye demokrasia, watu wanapopishana mawazo ndio dhana inakomaa. Wanapopishana na kudhuriana dhana inauwawa"
 
Last edited by a moderator:
Ni Zitto peke yake anaruhusiwa kwenye viongozi wa CDM, wengine wanaweza kumpelekea uji wenye unga mwekundu kukamilisha nia yao.

Hebu jiulize mtu anayetoa mchangu mfu kama huu kisha mtu anamuuliza kama hapa chini.


Unamuonaje mtu kama huyu??

Bila ya shaka ni waarabu wa Pemba wanasalimiana hapo jukwaani ili baadae wakamjone boss wao, siku imeingia.
 
Lakini nakumbuka enzi zile kibanda akiwa mhariri wa TZ DAIMA, ZITTO aliwahi kusema kuwa haliamini TZ DAIMA na ana mpango wa kulishtaki chamani gazeti hili, kwani anahisi linamhujumu, na gazeti alilolkuwa analiamini ZITTO ni MWANANCHI na RAIA MWEMA tu! sasa sijui huu urafiki na KIBANDA umetokea wapi tena! Siasa ni ngumu sana kuzitafakari!
 
Lakini nakumbuka enzi zile kibanda akiwa mhariri wa TZ DAIMA, ZITTO aliwahi kusema kuwa haliamini TZ DAIMA na ana mpango wa kulishtaki chamani gazeti hili, kwani anahisi linamhujumu, na gazeti alilolkuwa analiamini ZITTO ni MWANANCHI na RAIA MWEMA tu! sasa sijui huu urafiki na KIBANDA umetokea wapi tena! Siasa ni ngumu sana kuzitafakari!
"@zittokabwe: Demokrasia ni dhana. Kwenye demokrasia, watu wanapopishana mawazo ndio dhana inakomaa. Wanapopishana na kudhuriana dhana inauwawa"
 
Back
Top Bottom