MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Dr. Slaa hawezi kuwa target kwa sababu yeye ndiyo nguzo na mratibu wa mission zote ambazo Lwakatare alikuwa anazisimamia.Ningeshangaa usingemtaja Dk Slaa maana ndiye target yenu.
Mungu ametumulikia mwanga kuyaona maovu yalikuwa yanafanywa na viongozi wa CHADEMA kwa ajiri ya mtaji wa kisiasa.
GOD IS GREAT.