husomeki na mada zako mara upewe mimba mara uwe unagegedaulikusudia kuandika nini hapo mkuu? Hebu pitia tena comment yako uone kama inaeleweka
husomeki na mada zako mara upewe mimba mara uwe unagegedaulikusudia kuandika nini hapo mkuu? Hebu pitia tena comment yako uone kama inaeleweka
Anayepita ni mpita njia, mm nilipiga buku mkuuWw huna elimu ya chuo kikuu bali uliwahi kupita chuo kikuu
Mkuu toa ushauri. Ushauri ni muhimu mno kwa mtoa mada kwa sasa kuliko mambo mengineMpaka huu ukakasi wa jinsia utolewe na mtoa mada ndio nitachangia vyema kwa maana hata mimi simuelewi
Ushauri mzuri japo lugha Kali Sana. AsanteMbona utafuti wa masters wenzako mgegedane k ni k tu acha ushamba nenda kamsomeshe kama unaona aibu
Hivi? Ndo kusema na ex gf atamuacha mumewe? Hili hata mm lilinijia kichwani. Kwamba siku za usoni aweza kuanza kumuonea wivu binti na kuamua kuvuruga ndoa kwa kuweka mahusiano ya huko nyuma kati yangu na yy mubasharaUkioa umeoa wawili....
Utakuwa unajipigia wote.....Hivi? Ndo kusema na ex gf atamuacha mumewe?
Duuh! Hii itakuwa haina afya ktk ndoaUtakuwa unajipigia wote.....
naweza nikatoa ushauri wenye utata...Embu weka wazi jinsia yako kwa maana kuna thread niliona wewe ni MWANAMKE leo umekuja kama MWANAUMEMkuu toa ushauri. Ushauri ni muhimu mno kwa mtoa mada kwa sasa kuliko mambo mengine
Mkuu yaliyopita si ndwele tugange yaliyopo. Nipe ushauri wa mada mezaninaweza nikatoa ushauri wenye utata...Embu weka wazi jinsia yako kwa maana kuna thread niliona wewe ni MWANAMKE leo umekuja kama MWANAUME
YALIYOPITA...??? KWANI UMEBADILI JINSIA (MAUMBILE YAKO YA UZAZI)Mkuu yaliyopita si ndwele tugange yaliyopo. Nipe ushauri wa mada mezani
Neno kuntu mkuu. Lkn yasemekana hawajiamini na wala hawatoi ushauri wowote kwa mume. Ile kauli ya nyuma ya mwanamume mwenye mafanikio kuna mwanamke haitimii. Kwa kuwa hashauri kitu
Bwana wee chonde chonde nahitaji ushauri tuYALIYOPITA...??? KWANI UMEBADILI JINSIA (MAUMBILE YAKO YA UZAZI)
Ndio hivyo.....Duuh! Hii itakuwa haina afya ktk ndoa
Hapana. Yasemekana anapunguza mzigo wa utegemezi kwa mumewe. Pia yasemekana anachangia pakubwa kwa pato la familia kupitia mshahara wake