princewilly
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 259
- 526
- Thread starter
- #101
sometime pia huwa ananisaidia mamb mengThe way u talk to her,,labda ndo kinachomfanya akugande tunawaitaga wapenzi hewa
sometime pia huwa ananisaidia mamb mengThe way u talk to her,,labda ndo kinachomfanya akugande tunawaitaga wapenzi hewa
Mi hua siandiki ivyoNin hiyo
Kama anakusaidia sa unalalamika nn kwan kujigjig ni lazima?sometime pia huwa ananisaidia mamb meng
Huwa unaandikajeMi hua siandiki ivyo
Mbona unanipeleleza hiii ,,,sio Mimi uyo bhanaHuwa unaandikaje
Yeah sa niishie tu kufanya romance nbak na genyeKama anakusaidia sa unalalamika nn kwan kujigjig ni lazima?
najua sio ww sijakupeleleza kwanza mwenyew hayupo humu kama angekuepo angejakuja nisutaMbona unanipeleleza hiii ,,,sio Mimi uyo bhana
Kwani unadhurika nn,,,,hiyo romance mbona ni raha sana kuliko hata hiyo in n out,,,,,we mvumilie tu IPO Siku atakulegezea ,,,lkn we nae bwege dem anafika geto kwako na unaukame na sio dadaako unamuachajeYeah sa niishie tu kufanya romance nbak na genye
Wee yan ikifika stage ya kumvua nguo anakuwa mkal huyo yan anachange ghafla mnaweza hata kugombana na mm kumbaka sitakiKwani unadhurika nn,,,,hiyo romance mbona ni raha sana kuliko hata hiyo in n out,,,,,we mvumilie tu IPO Siku atakulegezea ,,,lkn we nae bwege dem anafika geto kwako na unaukame na sio dadaako unamuachaje
R.I.PWee yan ikifika stage ya kumvua nguo anakuwa mkal huyo yan anachange ghafla mnaweza hata kugombana na mm kumbaka sitaki
RIP hiyo vipiR.I.P
hahahahhaaaa....R.I.P
Huna mbinu za kumshawishi na kwa taarifa yako humpati tena uyo,,,,,RIP hiyo vipi
Jina lake linaanzia na "A" huyo demu km sikoseiNimekuwa nae katika mahusiano almost mwaka sasa kusema ukwel uyu demu ananipenda sana na pia mimi nampenda shida ambayo anayo hataki kabisa kijigi na mimi nimesumbuana nae mda mrefu sana ila leo amenitamkia wazi kuwa
Halafu kinachonishangaza nikiamua kuuchuna kama wiki hivi simtafuti huwa ananisumbua sana sorry samahani zinakuwa nying na vizawadi vya hapa na pale haviishi
Hata mm nahic uyu atakuwa ana jamaa anapiga maana nikimchunia kama wiki atakuja kwa bi mkubwa kulalamika kuwq nimemchuniaPole sana mkuu. Na then hii mada yako ni kama unaniongelea mimi vile. Nina demu wangu ambaye tumeachana wiki ilopita yupo km huyo huyo. Nilikaa naye mwaka mzima ila hataki kutoa mchezo hlf nikimtosa haipit siku 5 ataanza nisumbua kwenye simu balaa.. Hiv naandika hii msg ashaanza kunitafuta leo. Lkn huyo manzi wangu nilimfanyia uchunguzi nikagundua ana mtu mwingine na huyo mtu ashamdanganyaga kuwa me ni ex wake. Nilimuhoji huyo mtu akanieleza kuwa yupo naye kwa uhusiano mwezi wa pili ila ashalala naye zaidi ya mara mbili.
I promise u siku nikijig nae ntakuambiaHuna mbinu za kumshawishi na kwa taarifa yako humpati tena uyo,,,,,
hapana au demu wako lake linaanzia na AJina lake linaanzia na "A" huyo demu km sikosei