Demu kama huyu nimfanyaje

princewilly

JF-Expert Member
Nov 30, 2017
259
526
Nimekuwa nae katika mahusiano almost mwaka sasa kusema ukwel uyu demu ananipenda sana na pia mimi nampenda shida ambayo anayo hataki kabisa kijigi na mimi nimesumbuana nae mda mrefu sana ila leo amenitamkia wazi kuwa
dec48e96e267fb5b9c08612c4724c27d.jpg


Halafu kinachonishangaza nikiamua kuuchuna kama wiki hivi simtafuti huwa ananisumbua sana sorry samahani zinakuwa nying na vizawadi vya hapa na pale haviishi
 
Nimekuwa nae katika mahusiano almost mwaka sasa kusema ukwel uyu demu ananipenda sana na pia mimi nampenda shida ambayo anayo hataki kabisa kijigi na mimi nimesumbuana nae mda mrefu sana ila leo amenitamkia wazi kuwa
dec48e96e267fb5b9c08612c4724c27d.jpg
alaf kinachonishangaza nikiamua kuuchuna kama wiki hivi simtafuti huwa ananisumbua sana sorry samahani zinakuwa nying na vizawadi vya hapa na pale haviishi
Anasoma Form Ngapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom