Demu amenikataa ghafla sielewi kwanini

Demu amenikataa ghafla sielewi kwanini

Sijawahi
Sawa mkuu, itakuwa ngumu kunielewa.
The emotional body hai care events. Inacho angalia ni emotional intenseness. Ndo maana watu wawili wana weza kuumia tofauti
Kaka naumia sana nahisi labda kwakua nilishindwa kumtoa ndio kaniacha
Kwan mademu zako wngn uliopiga uliwatoa bikra?
 
Sawa mkuu, itakuwa ngumu kunielewa.
The emotional body hai care events. Inacho angalia ni emotional intenseness. Ndo maana watu wawili wana weza kuumia tofauti
Mkuu, recently kumekuwa na tabia za vijana kuwa vilizi. Unadhani vijana wa zamani kina nyerere hawakukataliwa?

Hata sisi tumekuwa tumekataliwa na haikuwa big deal.

Binafsi nilikuwa na baiskeli na nilikataliwa na mtoto mzuri mweupe ana wowowo na haikuwa big deal kwamba mpaka ulie.
 
Kibinadamu i feel you,ni maumivu na lazima ukose usingizi
Umekataliwa kikatili,umenyimwa na mbaya zaidi kakutambia anaenda kuliwa na my love wake!

Cha kufanya mkaushie,usimtafute hata kwa bahati mbaya
Ikitokea mmekutana usioneshe kumjua

Utazoea tu
Ushauri mzurii huu.
 
Sijawahi

Kaka naumia sana nahisi labda kwakua nilishindwa kumtoa ndio kaniacha

Mkuu, recently kumekuwa na tabia za vijana kuwa vilizi. Unadhani vijana wa zamani kina nyerere hawakukataliwa?

Hata sisi tumekuwa tumekataliwa na haikuwa big deal.

Binafsi nilikuwa na baiskeli na nilikataliwa na mtoto mzuri mweupe ana wowowo na haikuwa big deal kwamba mpaka ulie.
Ndo maana nikasema, it depends na mtu.
Mimi nimetoa mawazo yangu tu.

Kingine grieving sio weakness.. tambua Hilo wengi wanaoishia kumeza maumivu hiya pass on Kwa wengine. That's called trauma
 
Ndo maana nikasema, it depends na mtu.
Mimi nimetoa mawazo yangu tu.

Kingine grieving sio weakness.. tambua Hilo wengi wanaoishia kumeza maumivu hiya pass on Kwa wengine. That's called trauma
Mkuu, nikuulize, wanawake wote uliotembea nao wote uliwapa wanachotaka hakuna ambao walipata wanachotaka kwa mwanaume mwingine? Najaribu kupata sababu kwanini iwe big deal.
 
Kibinadamu i feel you,ni maumivu na lazima ukose usingizi
Umekataliwa kikatili,umenyimwa na mbaya zaidi kakutambia anaenda kuliwa na my love wake!

Cha kufanya mkaushie,usimtafute hata kwa bahati mbaya
Ikitokea mmekutana usioneshe kumjua

Utazoea tu
Thank you so much , moja ya ushauri mzuri niliupata humu , najua wengine wataleta utani ila ni kweli naumia mpaka naona maisha nayakata tamaa , mpaka sasa hivi naumia natamani nimsemeshe ila ndio basi tena , maumivu haya nahisi hayatatoka maishani mwangu
 
Habari, ipo hivi kuna demu tangu mwaka jana mwezi wa nane nilikua namfukuzia tukaanza mahusiano japo kwenye tendo hataki maana ameshika dini na ni bikra , mwaka huu kuna kipindi alisema hataki mahusiano kwa sasa au mpaka niongee na wazazi wake ndio atanikubali , baada ya masiku kupita akampa namba jamaa anionye eti anasema ni ndugu yake , ila kuja kugundua ni jamaa alikua na yeye anamfukuzia , , mwaka huu mara tatu nimelala nae usiku kila nikitaka kuitoa bikra nashindwa siku moja nikaona anachati na mwanaume mwingine (ambae ni yule alikua anamfukuzia) nikamuuliza akalia na kuomba msamaha , kesho yake nikalala nae tena ila sikufanikisha , baada ya siku kama tatu nililala nae akakataa nisimguse akasema hanipendi nisimlqzimishe kwenye maisha yake , siku ya jana tumegombana na kuachana japo demu alikua bado bikra ila alisema anaenda usiku kwa yule jamaa kumpa.
Eti wadau kosa langu ni lipi hapo? Demu nilimhudumia kila kitu na mpaka kumtafuta kwenye simu mimi ndio nilikua namtafuta sanaa kuliko hata yeye. Hapa nimekaa roho inaniuma.
sasa unaumia nini? kashakukataa huyo, kaza moyo mwanangu ukimbie.
 
Mkuu, nikuulize, wanawake wote uliotembea nao wote uliwapa wanachotaka hakuna ambao walipata wanachotaka kwa mwanaume mwingine? Najaribu kupata sababu kwanini iwe big deal.
Mkuu unajua mwili wa binadamu kweli?
Yes, nilisha umizwa. Ila pain inapungua kutokana na experience. Kwa situation yake inabidi awe mvumilivu
 
Back
Top Bottom