Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,384
- 85,630
duhh! still have a long way to go!Nina miaka 24,
duhh! still have a long way to go!Nina miaka 24,
Kwani uwa inatoka kwa siku ngapi maana mimi nilijaribu mara tatu nikashindwaatakuwa hajafanikiwa, komaa umuoe kabla haijatolewa na jamaa..
Ni Taratibu Za Kawaida Sana MkuuNimeachika ila kinachoniumiza ni kwanini anikatae
Au kisa nilikua namtafuta sana na kumpigia simu? Na kila alipohitaji kitu nilikimbilia kumpatia?Sometimes hakuna makosa bali ni hisia huisha
inategemea, kama imekomaa sana mpaka ikatolewe hospital..Kwani uwa inatoka kwa siku ngapi maana mimi nilijaribu mara tatu nikashindwa
Asante broNi Taratibu Za Kawaida Sana Mkuu
Karibu Hapa Kongowe Uupoze Moyo Wako Taratibu
Kukomaa kiaje demu anamiaka 22inategemea, kama imekomaa sana mpaka ikatolewe hospital..
Umechelewa kidogo kujua baadhi ya mambo lakini sio sana..Nina miaka 24,
sasa unaona bikra kukaa miaka 22 ni michache au unataka ushauriwe vipi? komaa kila siku itatoka!Kukomaa kiaje demu anamiaka 22
Hapana si umesema labda bikra imekomaa ndio nikakuambia binti ana miaka 22sasa unaona bikra kukaa maka 22 ni michache au unataka ushauriwe vipi? komaa kila siku itatoka!
Ana umri gani huyo demuIvi ni kwanini demu nimempenda sana ila ananikataa kikatili
ndio bikra hazifanani!Hapana si umesema labda bikra imekomaa ndio nikakuambia binti ana miaka 22
Asante bro ila sijaelewa kwanini unasema nimechelewa kidogoUmechelewa kidogo kujua baadhi ya mambo lakini sio sana..
Kwenye maisha hakuna kiumbe muhimu zaidi ya ww mwenyewe.
Furaha yako inatokana na wewe..
Jifunze kukubali na kupokea kila jambo..
Mapenzi sio kitu cha kumpelekesha mtu mwerevu.
Papa ni mali yake ana haki ya kumpa mtu amtakae..
Mapenzi yasiwe kipaumbele kwako..
Jifunze kutumia akili kuliko hisia, huo mdio uanaume..
Mtu anavyokuja ndivyo unampokea..
Jifunze kupotezea, kama mtu haoneshi kuzingatia kwako..
Penda kupendwa kuliko kumnyenyekea mtoto wa mtu
Yapo mengi mnoo, tutakesha, chukua hayo..
22 yearsAna umri gani huyo demu
Ila sijawahi kutoa bikra labda ni ushamba wangundio bikra hazifanani!
Na wewe 2422 years
Thanks nimempa hela nyingi sana na upendo mkubwa sana au unadhani kisa nilimjali kupita kiasi ndio akaniona sifai??Na wewe 24
Ni hivi.wewe unampenda
Yeye hakupendi.
Mpo wawili.muache akajaribu huko anapoona panafaa.we utapata riziki yako huyo sio wako.
Hizo hasira za kuachwa kazielekeze kutafuta hela.mfute kabisa utapata mwingine!
so you are curious kuitoa tu sio?Ila sijawahi kutoa bikra labda ni ushamba wangu