Demu amenikataa ghafla sielewi kwanini

Demu amenikataa ghafla sielewi kwanini

Naombeni mtoe maoni
Oya big,
Kwanza kabisa inaonesha uyo demu ni shabiki wa farabat.

2. Huyo demu hajakuacha, ila alikuwa hakupendi na mpaka sasa hakupendi, labda subili aachwe.

3. Unaumia kisa demu ambaye hakupendi, huo ni ujinga.
Ila nilichogundua, hata we huku mpenda, ila uliitamani bikra. Sasa ameenda kutolewa na jamaa, we umebaki unajilaumu na sio unaumia kisa ulimpenda.

4. Shabiki wa mamelod hatulii kisa kuachwa.

Kama huna D mbili....
 
Back
Top Bottom