Demu amenikataa ghafla sielewi kwanini

Demu amenikataa ghafla sielewi kwanini

T
Habari, ipo hivi kuna demu tangu mwaka jana mwezi wa nane nilikua namfukuzia tukaanza mahusiano japo kwenye tendo hataki maana ameshika dini na ni bikra , mwaka huu kuna kipindi alisema hataki mahusiano kwa sasa au mpaka niongee na wazazi wake ndio atanikubali , baada ya masiku kupita akampa namba jamaa anionye eti anasema ni ndugu yake , ila kuja kugundua ni jamaa alikua na yeye anamfukuzia , , mwaka huu mara tatu nimelala nae usiku kila nikitaka kuitoa bikra nashindwa siku moja nikaona anachati na mwanaume mwingine (ambae ni yule alikua anamfukuzia) nikamuuliza akalia na kuomba msamaha , kesho yake nikalala nae tena ila sikufanikisha , baada ya siku kama tatu nililala nae akakataa nisimguse akasema hanipendi nisimlqzimishe kwenye maisha yake , siku ya jana tumegombana na kuachana japo demu alikua bado bikra ila alisema anaenda usiku kwa yule jamaa kumpa.
Eti wadau kosa langu ni lipi hapo? Demu nilimhudumia kila kitu na mpaka kumtafuta kwenye simu mimi ndio nilikua namtafuta sanaa kuliko hata yeye. Hapa nimekaa roho inaniuma.
Toka mwaka Jana mnasumbuana tu😂🙌🏾 . Daah
 
Thanks nimempa hela nyingi sana na upendo mkubwa sana au unadhani kisa nilimjali kupita kiasi ndio akaniona sifai??
Hapana.nahisi bado hajui Nini anachokitaka.
Atapigwa matukio huko siku utashuhudia.
Umri wake bado mdogo acha azunguke akipigwa matukio huko akaachwa atakukumbuka
Utapata mwingine atakaekupenda.
Ukilazimisha kupenda usipopendwa utaishia kutumia

Unaweza hata ukamuoa ila Kila siku unaamfumania.maumivu tu.
 
Back
Top Bottom