Huoni kwamba utakuwa unapoteza hela tu...??
hahahahaha ustake kuniachia msala babu
Naam nimeiona, Nimeipenda!!Papa Mopao hotiest advice i ever see in this world
Mi simo. Tena ndo kwanza nimelog in.
Daaamn kuna wabunge wanataka siku ya baba wa taifa iingizwe kwenye katiba! kweli??? I mean seriously?
hahahaha dawa yako moja nakublock tu
Na wewe mtoto wa kike upunguze maswali, utakosa mume uwe kama lara 1, ujisifie kuchuna 1% wakati ungeweza kula 99%. Maswali ya nini? Ukiambiwa mipango imebana mjibu pole mpenzi, Mungu atafungua njia tu. Hata akirudi usiku wa manane muambie pole na kazi mpenzi, nilikumiss lakini. Kula 99% ya mtoto wa mwanamke mwenzio yahitaji akili ya ziada atii!
Ww na miss neddy niwaandalie makao?
Mi simo. Tena ndo kwanza nimelog in.
Nitayaweza yote katika wewe unitiaye nguvu. Neno lako na likapate kubarikiwa.
Nitayaweza yote katika wewe unitiaye nguvu. Neno lako na likapate kubarikiwa.
Hebu nisalimu miss neddy
una gain papuchi yake so no loss there
mhhhhh nipe muongozo wapenda ipi
PM itanoga zaidi