Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
mhhhhhh ngoja waje
Last edited by a moderator:
Naam nimeiona, Nimeipenda!!
Ngoja niku block!!!Yaani kama usemavyo yaweza kuwa umri mdogo sana of which hatakiwi kuwa hata na mpenzi kwa style hii!!!!!
Kama ni mtu mzima anataka ushauri kwa kesi hii unamuita mgahawani mnaagiza unakula kidogo halafu unatimua kabisaaaa alipe bill na ushauri kakosa atajiongeza mbele ya safari huko!!!!
Kwa hii comment, Kumbe na wewe ni makwetu huko hukoNa deni haliui wala kufunga mtu!
nilikumiss tu mamii upo???
kama ahadi ni uwezo basi hakuna haja ya kuahidi bali kutoa hapo hapo, otherwise ahadi inabaki kuwa niaahadi ni nia since when?,?????
mpaka unatoa ahadi means una uwezo wa kutimiza ahadi ni deni na usipotimiza unajipunguzia vigezo atiii
nunua s5 ntakuelekeza nduguIv wanablock vp??? Nielekeze waugwana
hahaa nyie endeleeni mkimaliza mnishtue
Kwa hii comment, Kumbe na wewe ni makwetu huko huko
ngoja niku block!!!
Ngoja niku block!!!
We OLESAIDIMU nimefika.
hahaa haya bana
Aah wapi!!Siku ukijitutumua tu .....:A S 101::A S 101:utakutana na "nani mwenzangu au naongea na nani" halafu uanze yaani namba yangu umefuta!!!!??????
Aah wapi!!
Nakwambia sorry,wrong number!!
Then na delete contact.
i miss you mpenzi ,uko wapi mbona hupatikani?Nakusalimia tu......