Demu akikublock kwenye simu kisa ahadi

Demu akikublock kwenye simu kisa ahadi

On the same note mie nilitaka kuuliza hao wanaowaongelea ni mabinti wa shule/chuo au??...lakini kwavile katumia neno "DEMU" so tuchukulie ni wavulana. Yaani kabisaaa naku-block then baadae naku-unblock! Hio michezo ya hide and seek ishapitwa na wakati


Yaani kama usemavyo yaweza kuwa umri mdogo sana of which hatakiwi kuwa hata na mpenzi kwa style hii!!!!!
Kama ni mtu mzima anataka ushauri kwa kesi hii unamuita mgahawani mnaagiza unakula kidogo halafu unatimua kabisaaaa alipe bill na ushauri kakosa atajiongeza mbele ya safari huko!!!!
 
sasa na wewe umekuwa mwana siasa unatoa ahadi bila kutimiza, toa ahadi unayoweza kuitimiza, alishachoka na ahadi kama za wana siasa huyo
 
Mkuu kesi dizaini hii imenitokea juzi. Nimechelewa kutekeleza ahadi akaniblock. Nilipotekeleza ahadi ndio akanitoa kwenye blacklist yake. Nimepanga kumwaga hivi karibuni. Dawa ni kumuacha ukigundua hilo.
hapo sawa ila sasa usimcheleweshe


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Papa MopaoHivi ni kwanini asikublock kama hautimizi ahadi zako kwake;Yaani unataka ufunuliwe tu ule utoe ahadi halafu usepe;Hata mie na uzee huu pia nakublock vizuri tu.
Hahahahahaha! Ukiniblock wala sitajenga chuki kwako, majukumu yakizidi nifanyeje?
 
Last edited by a moderator:
Yaani kama usemavyo yaweza kuwa umri mdogo sana of which hatakiwi kuwa hata na mpenzi kwa style hii!!!!!
Kama ni mtu mzima anataka ushauri kwa kesi hii unamuita mgahawani mnaagiza unakula kidogo halafu unatimua kabisaaaa alipe bill na ushauri kakosa atajiongeza mbele ya safari huko!!!!
Ha! ha! ha! Fundisho tosha:A S thumbs_up:
 
Nielekeze jinsi ya kumblock mtu kwenye haka ka siemens kangu. kuna kibaamedi kinanipigia mpaka saa saba usiku eti kinanikumbushia ahadi yetu ya kulipa bill.

hahahahaha mpe chake bhana huyo msakatonge
 
Jiandae mapema kujua yako ya mumeo na watoto wenu mengine yanaweza kabisa kupita juu kwa juu much as hayaathiri ratiba wala.rasilimali zako na.mumeo!!!!!!

mhhhhhhhhh na mume wangu nae asiyajue yampite juu kwa juu
 
miss neddy sijui kanisoma!! Maana nimeshangaa tu naona sms eti oohooo tayari nimekutumia....mmh kidogo nimwambie ungejua nilikua nspata darasa kwa ajili yako ungelia....
Hahahaaa sasa moyo mweupeeer

hahahahaha sio mwanajf kweli
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom