Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Uanze mara ngapi? Mi nakuangalia tu. Ukishamalizana nao, usisahau kurudi nyumbani. Ntakupokea.
hahaaa ndio maana nakupenadaga hujui kususa
Uanze mara ngapi? Mi nakuangalia tu. Ukishamalizana nao, usisahau kurudi nyumbani. Ntakupokea.
Giza halitakufunika mchana, wala tauni haitakipiga usiku!
mhhhhhhhhh na mume wangu nae asiyajue yampite juu kwa juu
Much as wazazi wamekusomesha na kukulea wanacho wanachotegemea kutoka kwako iwe material au non aspect ila sitegemei kuwa treated sawa kwa wakwe hata siku moja sababu tunaunganishwa na penzi la hiari leo lipo kesho marhum!!!!!!!
Dont you expect too much!!!!!
nakuangalia tu unavyomsalandia miss neddy
nakuangalia tu unavyomsalandia miss neddy
umachanganya madesa hicho kidonge hakinimiliki
Ha! ha! ha! Fundisho tosha:A S thumbs_up:
Nlikwambia tukatongozeane PM ukabisha ona sasa umefumaniwa. utakoma na genye zako.
katiba ya tiba za jadi lol
Amina Paroko. Sasa waweza niruhusu mtumishi wako niendende kwa amani kwakuwa macho yangu yamemwona miss neddy?
umachanganya madesa hicho kidonge hakinimiliki
Dawa yao kutimiza ahadi tu na kuwapa fedha
Ndo maana huwa huponi.