Demu akikublock kwenye simu kisa ahadi

Demu akikublock kwenye simu kisa ahadi

Mnagunduaje akikublock maana wengine huwa wanasema eti simu iliharibika
 
Aah wapi!!
Nakwambia sorry,wrong number!!
Then na delete contact.

Ila utakuwa upo disappointed sana maana hukutegemea kuulizwa "nani mwenzagu"
Maana ulidhani kuna watu wanakucare sana kumbe wala!
 
Ila utakuwa upo disappointed sana maana hukutegemea kuulizwa "nani mwenzagu"
Maana ulidhani kuna watu wanakucare sana kumbe wala!

Kiburi yake dharau tu Viol...................
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kesi dizaini hii imenitokea juzi. Nimechelewa kutekeleza ahadi akaniblock. Nilipotekeleza ahadi ndio akanitoa kwenye blacklist yake. Nimepanga kumwaga hivi karibuni. Dawa ni kumuacha ukigundua hilo.

Kwann hukumwaga kabla ya kutekeleza ahadi?
 
Kiburi yake dharau tu Viol...................

Ilinitokea hivo mwaka juzi,ila sikujua kama anablock maana wakati huo sikustukia au kudhania atafanya hivo,basi lazima aniambie simu inazingua,yaani ye akitaka ndo ananitafuta,nilimpotezea mazima,siku ya siku nikamwambia nani mwenzangu,alikatika mazima hakunitafuta tena ila akabakia kunisumbua kwa namba mpya kunitumia sms bila kujitaja
 
Last edited by a moderator:
Ilinitokea hivo mwaka juzi,ila sikujua kama anablock maana wakati huo sikustukia au kudhania atafanya hivo,basi lazima aniambie simu inazingua,yaani ye akitaka ndo ananitafuta,nilimpotezea mazima,siku ya siku nikamwambia nani mwenzangu,alikatika mazima hakunitafuta tena ila akabakia kunisumbua kwa namba mpya kunitumia sms bila kujitaja

Tupa kuleee.....................kama kuna shida sema kieleweke yaani mtu kuku block ni kuwa hana shida na wewe sasa unakaa unambwela nini ai ndio kuwa Mr Goodman!!!!?????
 
Ilinitokea hivo mwaka juzi,ila sikujua kama anablock maana wakati huo sikustukia au kudhania atafanya hivo,basi lazima aniambie simu inazingua,yaani ye akitaka ndo ananitafuta,nilimpotezea mazima,siku ya siku nikamwambia nani mwenzangu,alikatika mazima hakunitafuta tena ila akabakia kunisumbua kwa namba mpya kunitumia sms bila kujitaja

Raha sana kucheza na timing, alafu kuna wakati anakwambia "wewe ni mwongo huniambii chochote kama hutekelezi ahadi" na anakublock!
 
Raha sana kucheza na timing, alafu kuna wakati anakwambia "wewe ni mwongo huniambii chochote kama hutekelezi ahadi" na anakublock!
Usionyeshe weakness kabisa kauzu zaidi ya dagaa.
Maana ukiwa weak atakuzingua sana
 
Dawa yake ni kuwa busy na maisha yako,yani Busy mbayaa,usimtafte hata kwa bahati mbaya,ATARUDI TUUU
 
Back
Top Bottom