Demu akikublock kwenye simu kisa ahadi

Demu akikublock kwenye simu kisa ahadi

Mkuu kesi dizaini hii imenitokea juzi. Nimechelewa kutekeleza ahadi akaniblock. Nilipotekeleza ahadi ndio akanitoa kwenye blacklist yake. Nimepanga kumwaga hivi karibuni. Dawa ni kumuacha ukigundua hilo.

Yani unapanga kumwaga baada ya kutimiza ahadi?
 
hahahahah hunitakii mema babu kibamba to posta hiyo ruti ina wenyewe siiwezi

Orayt then, niPM nikakukabidhi ya Bunju. Vigezo na masharti kuzingatiwa. Hakikisha unakuja without.
 
yaani we acha tu ndo mana tunapata hadi hasira unamtupia blacklist kwa muda

halafu eti wametulia wanatuangalia tunajadili nini! aah! habari ndo hyo,na tutawaweka blacklist mpaka mjue kutimiza ahadi zenu
 
Asprin lile ghorofa lako la kariakoo si ungempa floor ya juu ile. Hivi ulishaweka lifti lakini?

Sasa we nawe, huoni kama unanipandishia dau la uchunwaji. Lile ni la anko wangu.
 
Last edited by a moderator:
mtu akishakublock means hakuitahi so hata aki unblock inatakiwa wewe ndo uanze kumtafuta sio yeye

Nielekeze jinsi ya kumblock mtu kwenye haka ka siemens kangu. kuna kibaamedi kinanipigia mpaka saa saba usiku eti kinanikumbushia ahadi yetu ya kulipa bill.
 
Kwa hiyo usipopewa ulichoahidiwa ndio uamue kum-block mpenzi wako?

tatizo lenu mnaweka ahadi nyingi huku mkijua fika uwezo huo hamna,.ooh baby ntakununulia verrosa mwisho wa mwezi eh,unikumbushe mpenzi eh!.mara ntafanya vile!.wakati hata nokia touch ni tatizo!!.kwani ukiwa mkweli tu na kama umependwa kweli utakufa?!..mtu hana tamaa unamtia mwenyewe halafu unalalamika!!
 
Hivi nyie wanaume wenzetu sijui wavulana wengine mkoje jamani????!!!!
Au ni umri????!!!!

Unasumbuliwaje kijuha hivyo???!!
Au Marioo unatunzwa so unahofia maisha???!!!
On the same note mie nilitaka kuuliza hao wanaowaongelea ni mabinti wa shule/chuo au??...lakini kwavile katumia neno "DEMU" so tuchukulie ni wavulana. Yaani kabisaaa naku-block then baadae naku-unblock! Hio michezo ya hide and seek ishapitwa na wakati
 
Back
Top Bottom