Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Kwanini unamchukia ivi?
Kama alikutosa na kumchukua mwanamke mwingine, mfuate pm, mbembeleze akuoe tu na wewe.
 
Kwanini unamchukia ivi?
Kama alikutosa na kumchukua mwanamke mwingine, mfuate pm, mbembeleze akuoe tu na wewe.
Simchukii Dr na yeye mwenyewe anajua kuwa niliingia Chadema kwa sababu ya harakati zake dhidi ya ufisadi lakini ametuangusha wengi sana kwani alivyo sio tulivyotegemea

Silaha ,oja tu aliyonayo ni kuwa hana dharau.
 
Inashaangaza sana watu wanamlenga sana Dr. Slaa kana kwamba Dr. SLAA ndiyo chadema. Kila taasisi inakiongozi na miiko yake.

Nenda CCM Ukiuke miiko yao na ujaribu kumsaliti Kikwete uone cha moto wake.

Hapa maadili ni muhimu.
 
Dr.%20Willbrod%20Slaa.jpg
 
Mtalia sana mwaka huu,umeona ya Zitto hayana tena uzito sasa unakuja lako la kinafki. Pole sana
 
Simchukii Dr na yeye mwenyewe anajua kuwa niliingia Chadema kwa sababu ya harakati zake dhidi ya ufisadi lakini ametuangusha wengi sana kwani alivyo sio tulivyotegemea

Silaha ,oja tu aliyonayo ni kuwa hana dharau.

Kibajaji kule Arumeru alidai pia Dr wa ukweli, alifukuzwa kwasababu ya kuwapa mimba wanakwaya, lakini baada ya uchaguzi alipoulizwa TBC1, akadai sio kweli bali ni mambo ya kisiasa ya kutafuta kura kwa mbinu yeyote.
We unasemaje?! je aliwapa mimba pia wanakwaya?
 
Kwanini unamchukia ivi?
Kama alikutosa na kumchukua mwanamke mwingine, mfuate pm, mbembeleze akuoe tu na wewe.

CCM wamepigwa goli la kushtukiza na kijana ZZK walitegemea atabwaga manyanga kumbe hawajui kuwa tayari mambo yameongelewa kikubwa chamber na kijana kaomba msamaha wakubwa zake.Na sasa ni kazi tu, siku 14 ni formality.Chezea CDM weeeeeeeeeee hutasikia zitto kawajibihshwa.CDM ni chama makini hata mwalimu nyerere aliwahi kutamka
 
WATUMWA WA MAGAMBA HAMCHOKI KUANZISHA THREAD ZA KINAFKI,KIZINDAKI NA UONGO,juhudi zenu zote sasa zimegonga mwamba tumeshtuka "tunasoma thread zenu in the manner of entertainment, and as nothingwithholds topic"
 
...teh teh na bado mpaka uwe unaota usiku. Dr. Slaa endeleza wimbi la kuwabamiza watu kama huyu mgonjwa wa akili,piiipooozz...
 
Simchukii Dr na yeye mwenyewe anajua kuwa niliingia Chadema kwa sababu ya harakati zake dhidi ya ufisadi lakini ametuangusha wengi sana kwani alivyo sio tulivyotegemea

Silaha ,oja tu aliyonayo ni kuwa hana dharau.

mtu asiye na upendo ni wewe uliyetafuna pesa za mjane wa mwangosi
 
Ndugu zanguni,

Kama wote mjuavyo kuwa kama unataka uwe padri ni lazima uwe na moyop wa kusamehe, kusikiliza na Upendo. Kama ukishindwa kuwa nayo hayo matatu basi wewe huwezi kuwa mtumishi wa Mungu tena na inabidi ufukuzwe kwenye mafunzo ya upadre

Dr Slaa alisomea upadre na akashindwa, wengi hatujui ni kwa nini alishindwa hii kazi ya kutumikia kanisa na kuamua kuingia kwenye siasa . Lakini leo sote tumejua

Dr Slaa sio mtu wa kusamehe bali ni mtu wa visasi

Dr Slaa sio mtu wa kusikiliza maoni ya wanachama wake bali anapenda kusikia neno NDIO MZEE!

Dr Slaa sio mtu mwenye upendo kwani ameonyesha wazi jinsi anavyowachukia wanaompinga kwa kuwafukuza kama kuku. (Anasahau amri inayosema mpende adui yako)

Dr Slaa ni dikteta ndio maana maamuzi yake na ya Mbowe huwa ni ya kibabe zaidi biloa hata kujali demokrasia ya chama inasema nini.

Dr Slaa hawezi kuyafanyia matendo maneno anayohubiri ya kupiga vita ufisadi kwani yeye mwenyewe ni Fisadi namba moja.

Dr Slaa Mbowe na Lema ni hatari kwa Chadema na taifa kwa ujumla kwani wao ndio watakaoua upinzani ndani ya nchi kwa kusababisha migawanyiko kwa sababu ya tabia zao za kibinafsi na kikabila.

Ni wakati sasa kwa vijana wa Chadema kusimama na kujitambua.

Msikubali kuendeshwa kama misukule.

Dr utanisamehe, lakini nadhani ni wajibu wangu kusema ukweli kwani kama ulivyosema unafiki na uoga ni dhambi mbaya sana.
slaa-200px.jpg




JITAMBUE!

Do you have any idea Slaa amekuwa Padre kwa miaka mingapi and what it takes mtu kuwa Katibu Mkuu wa TEC ? Kama hujui kaa UK fanya kazi zako acha kuingia usiko kuja .Mimi ni mseminary so najua Slaa hakushindwa upadre .Walio shindwa upadre ni wale walio ishia njiani kabla ya kuupata updare /
 
Inashaangaza sana watu wanamlenga sana Dr. Slaa kana kwamba Dr. SLAA ndiyo chadema. Kila taasisi inakiongozi na miiko yake.

Nenda CCM Ukiuke miiko yao na ujaribu kumsaliti Kikwete uone cha moto wake.

Hapa maadili ni muhimu.

...amesahau mamluki shibuda alipotangazania dhidi ya jk akala cha mbavu...
 
CCM wamepigwa goli la kushtukiza na kijana ZZK walitegemea atabwaga manyanga kumbe hawajui kuwa tayari mambo yameongelewa kikubwa chamber na kijana kaomba msamaha wakubwa zake.Na sasa ni kazi tu, siku 14 ni formality.Chezea CDM weeeeeeeeeee hutasikia zitto kawajibihshwa.CDM ni chama makini hata mwalimu nyerere aliwahi kutamka

Mkuu hawa washajua hawana hoja na Zitto kawatosa, wanahisi tutatonesha tembo, mashine za TRA, madawa ya kulevya na ishu ya Kapuya, ivo wanaanzisha sredi sizizo na tija.
 
Ndugu zanguni,

Kama wote mjuavyo kuwa kama unataka uwe padri ni lazima uwe na moyop wa kusamehe, kusikiliza na Upendo. Kama ukishindwa kuwa nayo hayo matatu basi wewe huwezi kuwa mtumishi wa Mungu tena na inabidi ufukuzwe kwenye mafunzo ya upadre

Dr Slaa alisomea upadre na akashindwa, wengi hatujui ni kwa nini alishindwa hii kazi ya kutumikia kanisa na kuamua kuingia kwenye siasa . Lakini leo sote tumejua

Dr Slaa sio mtu wa kusamehe bali ni mtu wa visasi

Dr Slaa sio mtu wa kusikiliza maoni ya wanachama wake bali anapenda kusikia neno NDIO MZEE!

Dr Slaa sio mtu mwenye upendo kwani ameonyesha wazi jinsi anavyowachukia wanaompinga kwa kuwafukuza kama kuku. (Anasahau amri inayosema mpende adui yako)

Dr Slaa ni dikteta ndio maana maamuzi yake na ya Mbowe huwa ni ya kibabe zaidi biloa hata kujali demokrasia ya chama inasema nini.

Dr Slaa hawezi kuyafanyia matendo maneno anayohubiri ya kupiga vita ufisadi kwani yeye mwenyewe ni Fisadi namba moja.

Dr Slaa Mbowe na Lema ni hatari kwa Chadema na taifa kwa ujumla kwani wao ndio watakaoua upinzani ndani ya nchi kwa kusababisha migawanyiko kwa sababu ya tabia zao za kibinafsi na kikabila.

Ni wakati sasa kwa vijana wa Chadema kusimama na kujitambua.

Msikubali kuendeshwa kama misukule.

Dr utanisamehe, lakini nadhani ni wajibu wangu kusema ukweli kwani kama ulivyosema unafiki na uoga ni dhambi mbaya sana.
slaa-200px.jpg




JITAMBUE!


Kweli mabox yamekuharibu ubongo. Umeanza kuandika kila unachoambiwa bila hata ya kutumia ubongo kufikiri nikiandika hiki watu watanionaje.

Kwa taarifa yako Dr. Slaa alisomea upadre na akafaulu. Amefanya kazi ya Upadre kwa uadilifu mkubwa mpaka akafikia kuwa katibu wa baraza la maaskofu (TEC). Aliamua mwenyewe kuachia ngazi si kwa kushindwa kufikia vigezo.

Ushauri wa bure, "ili uheshimike andika hata kama ni uwongo walau pawe na kwa ukweli fulani". Acha kuchambua mambo kwa kufikiri ukitumia makalio. Kichwa kazi yake ni kufikiri siyo kufugia nywele.
 
Dr.slaa alisoma na akapata upadri,na akawa padri.Maelezo yako kuwa alikosa upadri si sahihi.Kwa hiyo ulichoandika ni pumba kawahi ma box vinginevyo utakosa mlo leo
 
Do you have any idea Slaa amekuwa Padre kwa miaka mingapi and what it takes mtu kuwa Katibu Mkuu wa TEC ? Kama hujui kaa UK fanya kazi zako acha kuingia usiko kuja .Mimi ni mseminary so najua Slaa hakushindwa upadre .Walio shindwa upadre ni wale walio ishia njiani kabla ya kuupata updare /
Mimi ni katoliki, wazazi wangu ni wakatoliki na familia yangu ni full katoliki.

Ninazijua vyema amri za kanisa katoliki bila kusahau mafuzo yopte ya dhehebu langu.

Dr alikosa vigezo vya kuwa padre wa katoliki na ndio maana akatoswa
 
Dr.slaa alisoma na akapata upadri,na akawa padri.Maelezo yako kuwa alikosa upadri si sahihi.Kwa hiyo ulichoandika ni pumba kawahi ma box vinginevyo utakosa mlo leo
kamanda,eti ni kweli kuwa wakati anaanza mahusiano na mwanakwaya rose kamili,huyo binti alikua underage?
 
Back
Top Bottom