Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Kama ccm mngekuwa na huu upendo unaotaka kutufundisha hapa tusingekuwa tunashuhudia mkiwaamrisha policcm kurusha vitu vyenye ncha kali katika mikutano yetu.
Kama maccm mngekuwa na adabu kiasi hiki unachotaka kutuaminisha hapa msingekuwa mnahaha kila kukicha kumshinikiza dppccm kuwafungulia mashitaka ya kubumba ya ugaidi dhidi ya wanachama wenzetu.
Kwa ufupi ni kwamba Chadema hatuhitaji kuwaheshimu viongozi wajinga wasiothamini uhai wa wananchi wengine wasiounga mkono ccm na hivyo kuamua kuwalipua na mabomu.
Kilichopo sasahivi tutakwenda na ninyi hivi hivi jino kwa jino hadi hapo mtakaposhika adabu yenu. Hakuna kucheka na wauaji hata mara moja kwakuwa hata sisi ni haki yetu kuishi kwa uhuru na amani katika nchi yetu.
 
Maamuzi ya CCM kuchukua hatua ya kurusha bomu na risasi za moto kwenye mkutano wa CHADEMA hapa Soweto na kuua raiya wasio na hatia ni maamuzi yanayodhihirisha kuwa neno 'demokrasia' lina maana tofauti kabisa kwa nyie makada wa CCM.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mkuu Ilboru 1995, (Medukenya/Mzule) Rungwe, Meru, Hanang nk) Ilboru family napenda kwa mchango wako. Tumelishwa chakula kibaya sana pale shuleni, huku CCM na Viongozi wake wakiiba pesa zetu. Tulipojaribu kudai haki yetu, Policcm wakaja kutupiga na kutuweka uwanjani kama wakimbizi. Lilikuwa jambo la kutusikiliza, lakini CCM na serikali yao imejaa ubabe. Siwapendi hawa jamaa wa Lumumba
hahaha mkuu umenikumbusha mbali sana, walitupandisha kwenye katara kisha wakaenda kututosa town, Bahati mbaya walitutoa wajanja tukacheza na mzee mpelasoka na mkuu wa mkoa Ahmed Kiwanuka tukarudishwa shuleni fasta hata wazazi hawakujua...Namshangaa za njuka mwigulu kwa jinsi anavyotuaibisha vipanga...
CCM wezi siku nyingi mkuu, si unakumbuka yule mjeda mzee Metili mwenye kumiliki Ilboru safari lodge aliekuwa akigombea kwa ticket ya NCCR walivyo muibia kura zake? sisi tulishiriki wizi bila ya kujua! Maana jamaa walikuja na gari la NCCR na mabox kibao, wakatuambia eti wanataka kuhakikisha kuwa CCM haipati hata kura moja! Tuliwakubalia baada ya hapo ikawa historia!!!
 
hahaha mkuu umenikumbusha mbali sana, walitupandisha kwenye katara kisha wakaenda kututosa town, Bahati mbaya walitutoa wajanja tukacheza na mzee mpelasoka na mkuu wa mkoa Ahmed Kiwanuka tukarudishwa shuleni fasta hata wazazi hawakujua...Namshangaa za njuka mwigulu kwa jinsi anavyotuaibisha vipanga...
CCM wezi siku nyingi mkuu, si unakumbuka yule mjeda mzee Metili mwenye kumiliki Ilboru safari lodge aliekuwa akigombea kwa ticket ya NCCR walivyo muibia kura zake? sisi tulishiriki wizi bila ya kujua! Maana jamaa walikuja na gari la NCCR na mabox kibao, wakatuambia eti wanataka kuhakikisha kuwa CCM haipati hata kura moja! Tuliwakubalia baada ya hapo ikawa historia!!!
Huyo jamaa alikuwa mmoja wa watu wa UWT ambao walikuwa wanatoa siri zetu. Kila siku nikimfatilia naona aibu sana, Mwigulu awezi hata kujenga hoja, anachoongea ni utumbo. Natamani ningemyima makande yangu, angekufa njaa, tusingekuwa na aibu hii
 
Edward Lowasa V/s Samuel Sitta V/s Bernard Membe V/s Sumaye, waambie na hawa wasalimie tena wana itikadi sawa ya kichama uadui wa nini?
 
Hivi mkuu haya maneno yanatoka kwako kweli? Hivi wewe si ndio unaongoza katika blog yako na katika fb yako kujisifu kuwa delete watu wanaopingana na wewe? Mtu akiku challenge kwenye blog yako au fb yako si huwa unamfuta urafiki wewe?

- Facebook na my Blog sio mahali pa matusi so ukileta matusi kule nakufuta mara moja maana kule sio mahali pa siasa, njoo ulete matusi yako huku sio kule!

Le Mutuz
 
Lile blog lako la maana habari hizi pia ziko huko au unakimbilia hapa JF tu ? Unaway way hutaki kufutika katika siasa zenu za kujikomba nakuona na bidii zote hizi .

- Yaani mtu akiwa na msimamo tofauti na wako anajikomba na wewe je unajikomba kwa nani mkuu? ha! ha! Blog yangu inahusika vipi hapa? ha! ha!

Le Mutuz
 
Le Mutuz, HAMY-D, Mnataka CHADEMA wawavumilie mnao ua Tembo wetu? Mnataka wawavumilie kukwapua dhahabu, tanzanite, uranium, nickel, gas bure bure huku wananchi mkiwaacho dhooof masikini wa kutupwa? Mnataka demokrasia ya ninyi kuendelea kua raia, waandishi wa habari, kutesa madaktari? tuwavumilie kwa kuzalisha taifa la vilaza?...
Demokrasia gani unayoizungumzia yenye kutupandishia gharama za maisha kila kukicha? hivi wewe mwizi anakemewa ama anakumbatiwa? labda kwa ninyi CCM mnatafsiri nzuri ya demokrasia ambayo inatumika kwa ukoo ule wa panya maana wote wezi...please be informed kuwa haitakaa hata siku moja sisi walala hoi tukawachekea tena ...wezi wakubwa msiokuwa na haya kwa mali za watanzania....

- Demokrasia kama ile iliyowafanya CCM wakaruhusu Chadema kuwepo si unajua wanao sana uwezo wa kuifuta, lakini bado wanaipa ruzuku ndio maana ya Demokrasia.

Le Mutuz
 
- Demokrasia kama ile iliyowafanya CCM wakaruhusu Chadema kuwepo si unajua wanao sana uwezo wa kuifuta, lakini bado wanaipa ruzuku ndio maana ya Demokrasia.
Le Mutuz
Mavi matupu! CCM hamna hata mmoja mwenye akili? CCM mnauwezo wa kuifuta CDM? mmejiaribu siku nyingi sana bila ya mafanikio, mlimuua Chacha Wangwe mkidhani kuwa mtaisababishia CDM mpasuko na hatimae muifute...bahati mbaya Makamba Sr akakutwa na vidhibiti vyote ikiwemo laptop na nyaraka za marehemu 10 min baada ya kifo cha Chacha!??? Mlimtumia Walid Kaborou, mmepandikiza moles kibao ndani ya CDM, bahati nzuri wenyewe wanajikuta wamevua gamba bila ya kujijua...
Mnafahamu kuwa makampuni ya madini ndiyo waliowapa fedha za kununua vyombo vya dola wakati wa uchaguzi mkuu 2010, uthibitisho kuwa CCM ni ya wawekezaji na kuwa sera zenu ni za ukuwadi zinajulikana... jiandaeni kufunga virago ...
 
Demokrasia.jpg


Hivi ni nini kimewakuta Watanzania siku hizi? Ni nini kimetokea kwenye zile nyimbo zetu za " Binadamu wote ni ndugu zangu, na Afrika ni moja"..? Kwani ni nani katuloga?

Nashindwa kuelewa tafsiri ya demokrasia kwenye vichwa vyetu! Hivi ni kweli tumeshindwa kuzikubalisha akili zetu kuwa tofauti zetu kiitikadi hazimaanishi uadui? Ni kwa nini tusishindane kwa hoja tu na kuheshimu hoja yenye nguvu?

Mwenzenu nahofia hali ya nchi hii kama tutaendelea kama kwenye picha hiyo mnaoona!

Jamani chonde chonde hapa ni kwetu na bado tunapahitaji. Lets keep our home safe so that our children and grandchildren come to feel proud of their ancestors.
 
magamba hawajui siasa wanajua upinzani ni uadui.

I wonder kama huwa tunenda kanisani na misikitini na kama tunapofika kwenye nyumba za ibada huwa wanakumbuka jinsi wanavyoshabihiana na shaytwaan
 
Uchaguzi sio kipimo pekee cha demokrasia lakini uchaguzi wa ushindani ndiyo kipimo kikuu cha demokrasia!
Binafsi kila siku nashtushwa na habari kuwa CHADEMA hawatafanya uchaguzi wa ndani katika kipindi hiki kwa sababu eti wako vitani na hawawezi kubadilisha majenerali katikati ya vita!!!!!!!! maskini CHADEMA nani kawadanganya kulinganisha ushindani wa kisiasa (political competition) tena katika nchi inayofuata siasa za kidemokrasia (siasa za kiushindani) na vita (war)???!!!
Wanadai eti viongozi wa sasa ni wazuri saaaana na wana umoja na mshikamano kwa hiyo uchaguzi unaweza ingiza viongozi wabaya, mamluki na vibaraka wa CCM!!!
Huwa napenda sana jibu maarufu la Dr Slaa naomba nilinukuu "........ kama mtu ameweza kukwepa kulipa kodi kwa kipindi chote hicho na hadi sasa hivi bado yupo huru basi serikali ya CCM haitufai na tunatakiwa kuiondoa madarakani mara moja......." (naweza kuwa nmekosea maneno lakin content naamini sijaikosea) Sasa viongozi wa CHADEMA na wana chadema kwa ujumla, hivi hamuoni kuwa kama mkutano mkuu ukiwachagua viongozi wengine badala ya hawa wa sasa viongozi wenu wa sasa watakuwa hawafai maana naamini kama wanafaa watarudishwa tena madarakani japo nasikia katiba yenu hairuhusu (lakini mnaweza kuifanyia marekebisho nyie wenyewe japo pia nasikia yalishafanyika kinyemela)
Pili, kama wanachama wenu wakiwachagulia viongozi wabaya, mamluki na vibaraka wa CCM hamuoni kuwa wanachama wenu watakuwa bado na uelewa mdogo juu chama na elimu ya kisiasa kwa ujumla?!
mi naamini Mbowe bado anapendwa sana na wanachadema naamini akigombea na mtu yeyote pale atapita tu jambo la msingi aache tu uoga wa kuogopa uchaguzi kama wabunge wa CCM na aitishe uchaguzi ndani ya chama chake ili apewe uongozi kwa mara nyingine kiuhalali kabisaa! maana hata wenzake (wenyeviti wa vyama vingine vya siasa) wanafanya chaguzi japo chaguzi zenyewe zinakuwa za hila nyingi lakini mbele ya jamii wanaonekana kama wenyeviti waliochaguliwa!
mwisho, kufanyika kwa uchaguzi mkuu ndani ya CHADEMA ni lazima ili kutuondolea sisi wananchi woga wa kudhani kuwa hata tukiwakabidhi nchi mtagoma kuitisha uchaguzi kwa kisingizio kuwa eti nchi inapitia katika kipindi kigumu!


ndugu yako ni mwananchi wa kawaida asiyemfuasi wa chama chochote cha siasa!
 
Hakuna uoga hapo ni ubabe tu kwa sbb chama ni cha wachaga,walipatq taarifa kwamba watu wa kanda ya ziwa wamejipanga kwenye uchaguzi na hasa kutoka mara wakaona wasiufanye,na sasa wameanza kuwashughulikia mmoja mmoja!!!
 
Uchaguzi sio kipimo pekee cha demokrasia lakini uchaguzi wa ushindani ndiyo kipimo kikuu cha demokrasia!
Binafsi kila siku nashtushwa na habari kuwa CHADEMA hawatafanya uchaguzi wa ndani katika kipindi hiki kwa sababu eti wako vitani na hawawezi kubadilisha majenerali katikati ya vita!!!!!!!! maskini CHADEMA nani kawadanganya kulinganisha ushindani wa kisiasa (political competition) tena katika nchi inayofuata siasa za kidemokrasia (siasa za kiushindani) na vita (war)???!!!
Wanadai eti viongozi wa sasa ni wazuri saaaana na wana umoja na mshikamano kwa hiyo uchaguzi unaweza ingiza viongozi wabaya, mamluki na vibaraka wa CCM!!!
Huwa napenda sana jibu maarufu la Dr Slaa naomba nilinukuu "........ kama mtu ameweza kukwepa kulipa kodi kwa kipindi chote hicho na hadi sasa hivi bado yupo huru basi serikali ya CCM haitufai na tunatakiwa kuiondoa madarakani mara moja......." (naweza kuwa nmekosea maneno lakin content naamini sijaikosea) Sasa viongozi wa CHADEMA na wana chadema kwa ujumla, hivi hamuoni kuwa kama mkutano mkuu ukiwachagua viongozi wengine badala ya hawa wa sasa viongozi wenu wa sasa watakuwa hawafai maana naamini kama wanafaa watarudishwa tena madarakani japo nasikia katiba yenu hairuhusu (lakini mnaweza kuifanyia marekebisho nyie wenyewe japo pia nasikia yalishafanyika kinyemela)
Pili, kama wanachama wenu wakiwachagulia viongozi wabaya, mamluki na vibaraka wa CCM hamuoni kuwa wanachama wenu watakuwa bado na uelewa mdogo juu chama na elimu ya kisiasa kwa ujumla?!
mi naamini Mbowe bado anapendwa sana na wanachadema naamini akigombea na mtu yeyote pale atapita tu jambo la msingi aache tu uoga wa kuogopa uchaguzi kama wabunge wa CCM na aitishe uchaguzi ndani ya chama chake ili apewe uongozi kwa mara nyingine kiuhalali kabisaa! maana hata wenzake (wenyeviti wa vyama vingine vya siasa) wanafanya chaguzi japo chaguzi zenyewe zinakuwa za hila nyingi lakini mbele ya jamii wanaonekana kama wenyeviti waliochaguliwa!
mwisho, kufanyika kwa uchaguzi mkuu ndani ya CHADEMA ni lazima ili kutuondolea sisi wananchi woga wa kudhani kuwa hata tukiwakabidhi nchi mtagoma kuitisha uchaguzi kwa kisingizio kuwa eti nchi inapitia katika kipindi kigumu!


ndugu yako ni mwananchi wa kawaida asiyemfuasi wa chama chochote cha siasa!

Hayakuhusu zungumzia katiba ya CCM ni chama cha wakulima na wafanya kazi ni kweli? Eti JK, Rostam EL Kinana, Mngulaa ni wakulima au wafanyakazi
 
Hayakuhusu zungumzia katiba ya CCM ni chama cha wakulima na wafanya kazi ni kweli? Eti JK, Rostam EL Kinana, Mngulaa ni wakulima au wafanyakazi
hata katiba ya CCM hainihusu maana mimi sio mwanachama wala msemaji wao, lakin pia hata hapa sijaiongelea katiba ya CHADEMA.
 
Hakuna uoga hapo ni ubabe tu kwa sbb chama ni cha wachaga,walipatq taarifa kwamba watu wa kanda ya ziwa wamejipanga kwenye uchaguzi na hasa kutoka mara wakaona wasiufanye,na sasa wameanza kuwashughulikia mmoja mmoja!!!

Hivi huwa mnapata muda wa kuisoma katiba ya Chadema na kuielewa ama huwa mnakurupuka kuandika tu ili muonekane mpo? Mara ngapi tunawaambia hapa kuwa kikatiba Chadema inatakiwa kufanya uchaguzi mwaka kesho 2014 lakini kila kukicha mnarudia ngonjera zile zile za siku zote za ukabila na udini ambazo hazina tija yoyote.

Kosa la mtu mmoja kukiuka na kuvunja katiba haliwezi kumfanya asiguswe kwakuwa tu wanaccm mtaendelea na wimbo wenu wa zilipendwa.
Na hii haiwezi kufanywa agenda dhidi ya wana Mara au wana wa kanda ya ziwa kwakuwa bado tunao viongozi wengi tu toka pande hizo ambao ni waaminifu kwa chama.
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...

Kweli kabisa Mkuu, watu ambao hawaamini katika ushindani, si watu wema, siku zote CHADEMA wakishindwa WAMEONEWA, wakishinda, HAKI IMETENDEKA! chaguzi zote walizowahi kushiriki, wakishidwa wao ni malalamiko ya kuibiwa kura, wakishinda, utasikia NGUVU YA UMMA imeongea! Mungu tuepushe na hili Jinamizi!
 
Back
Top Bottom