Le Mutuz, HAMY-D, Mnataka CHADEMA wawavumilie mnao ua Tembo wetu? Mnataka wawavumilie kukwapua dhahabu, tanzanite, uranium, nickel, gas bure bure huku wananchi mkiwaacho dhooof masikini wa kutupwa? Mnataka demokrasia ya ninyi kuendelea kua raia, waandishi wa habari, kutesa madaktari? tuwavumilie kwa kuzalisha taifa la vilaza?...
Demokrasia gani unayoizungumzia yenye kutupandishia gharama za maisha kila kukicha? hivi wewe mwizi anakemewa ama anakumbatiwa? labda kwa ninyi CCM mnatafsiri nzuri ya demokrasia ambayo inatumika kwa ukoo ule wa panya maana wote wezi...please be informed kuwa haitakaa hata siku moja sisi walala hoi tukawachekea tena ...wezi wakubwa msiokuwa na haya kwa mali za watanzania....