Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,762
- 5,276
wewe LunoG acha kumtukana Yesu!! shame on you.... umekurupuka!
Mpendwa Mbugi, Za asubuhi ? Sasa tumetangaziwe utalii, na hao jamaa umeitika wito!! yaani matanagzo yetu wenyewe yanatuchanganya! Kama kuna la kujadili tulitafakari kweupe.Hii sasa kugeuka jamii ya wachovu kujadili hewa mwanzo mwisho siwezi
Tena ajira nyingi zimeandaliwa 2014 ( jobs in UAE, Jobs in Saudi Arabia, Jobs in Qatar ) kwani hata wadhungu nao huzikimbilia !!Kama dege la Kiarabu lingetua JKNIA kesho kuja kuwasomba waosha vyoo na wapangusa mavi ya watoto Uarabuni, sambamba na kubeba twiga na tembo, nadhani wengi mngekuwa mnapigana vikumbo na hata nyati na ngiri ili muweze kukwea dege la "United Arab Emirates". Daadeki!
mmemfanyia fitna kagasheki mnategemea nini..?
Wawabebe tu
na mimi nasema wawabebe tu
Okay Fido, wewe tukuletee nini ufaidi? (ngamia)... Good Fideli usijumlishe, sema baadhi au nipe point zako tuzitafakari wewe weka chuki aside lete mantik.Tende zenyewe wanafaidi waunguja na wapemba, waarabu hawafai nchini.
Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.
Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.
Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!
The Great Safari_ni_Safari Man you are Genius and always Perfect (MashaAllah) hiyo ni blessings!Nililiona.....aisee ni kubwa kwelikweli kushinda hata SAFINA ya NUHU
Na'am Mkuu, kweli kuishi na Binaadamu ni kuzoeana.....! hujakosea Mubarikiwe.Awamu hii wapeni sungura, digidigi na swala tu wanataka kutuzoea
Lingekua la wazungu ungesema hivyo?
Mhe.Incharge upo sawa kabisa,,,, hao maneno tu, Ombaomba imewalemaza. Raisi JK analijua hilo ndo maana anapeta na kunyanyua kipato cha nchi. Longlive JK & watanzania waungwana.Mi nashangaa wsnadhani mafuta yanatoka wapi? Acheni kupiga kelele zisizokuwa na faida kwa watanzania, kama mna chuki kwa sababu mnazozijua wenyewe, huyu raisi ni chaguo la watanzania go go kikwete, u have our full support
Kama unacho Kioneshe.... Mungu kawajaalia hao wa UAE, hivyo wanatumia enzi zao.!! Na wengine hupatiepo masilahi yao humoumo....! Life ni mzunguko.
Nililiona.....aisee ni kubwa kwelikweli kushinda hata SAFINA ya NUHU