Kivipi?Hii mada ilifanya nipate wife
Dadavua ilivokuwa.
Kivipi?Hii mada ilifanya nipate wife
namkumbuka, yuko humu mbona. anajiita #nyaningabuThank you chairperson, opposers side, proposers side and all members on the floor.
I'm here to perpetuate this perpetuation which is already perpetuated by the other speakers...
Kuna jamaa mmoja alikuwa anaanza kuchangia hivi kizungu chake yeye kilikuwa kinapanda sisi muda... huyo jamaa na hamu nikutane naye aseeh maana miongo imepita... kipindi hicho lugha naiskia tu nikitaka kusimama kuchangia misamiati yote inafutika nabali kisema you know you know.
Asprin uje hapa na Karucee .
lori la morogoro linakuhusuNatamani kusema Udukeshen ni beta, lkn kila nikimtazama Pro Pesa Lipumba roho inasita. Acha tu nife natafuta hela, nyie someni.
na ukitaka kusoma hauna hela (ada) tupe jibu inakuwaje hiyo.ukiwa na pesa wakati hujasoma ni kazi bure
Sisi tuliijadili hii mada ikaonekana upande wa wanaosema pesa ni bora kuliko elimu wameshinda, lakini walimu wakatulazimisha tukubali kua elimu ni bora kuliko pesa bila hoja za kuteteaHii motion 98% ya shule zote duniani wameipitia... Kiukweli sijui ipi ni better kuliko mwenzie
Tatizo watu hawajui maana kamili ya education. Education inaweza kutolewa formal au informal. Ukiona mtu anafanya vzr biashara ujue lazma ana elimu. Huenda kwao walishafanya biashara hiyo hivyo alikua huku anajifunza. Ndio maana watoto wa wamiliki wa vyombo vya usafiri huja kuwa wazuri ktk tasnia hiyo. Wachaga pia kufanya vzr biashara kwa kuwa mtoto anajifunza toka maduka ya wazaz wake.Elimu ya UTAFUTAJI PESA mtaani ni better kuliko elimu ya darasani.
Mange anapenda elimu, alimshauri mtoto wa Kajala kuhusu kusoma.Kwani Mange Kimambi amesemaje kuhusu hili.
does one need education to innovate ?, I can tell you for sure without capital injection Research and Development dies even before it starts
Education is learning some innovations have come out accidentally not intentionally.., i.e. not through knowledge let alone acquired knowledge.., others through common sense (which is not taught)Yes, there is no innovation without education
Kama education inayoongelewa hapa ni formal education in as much as skills alizonazo Bakhresa hazihesabiki kama education (yaani knowledge na skills) basi education haina maana yoyote.., hio formal education ambayo inakuwa determined na certificates.., simjui mzee Bakhresa ila katika application ya issues unajua mangapi amejifundisha hence self educated.. ?
Certificates zina maana moja tu.., yaani leseni ya kutambulisha unajua kitu fulani ili ufanye kazi fulani ili uweze kukidhi mwisho wa siku mahitaji yako..
Pesa nayo ni makaratasi tu.., ambayo hata yakiwa hayapo watu watafanya barter trade ya kubadilishana vitu.., kama unabisha refer Zimbwabwe au Argentina kipindi fulani yaani hilo karatasi la kutengenezea pesa lina thamani kuliko hata hio pesa...., kwahio most important things ni needs and wants za individual.., how to get those needs you might need money.., ila if education means LEARNING.., you can not survive without learning ( be it self taught or taught).., you will die...