DEBATE: Money is better than education

DEBATE: Money is better than education

Dume zima una certificate ya hoteli hata ukiwa na hela kiasi gani unashuka hadhi sana.

Panapotokea mijadala ya wasomi unajificha chini ya uvungu na vipesa vyako uchwara!
 
Mtazame Bakhresa
Kama education inayoongelewa hapa ni formal education in as much as skills alizonazo Bakhresa hazihesabiki kama education (yaani knowledge na skills) basi education haina maana yoyote.., hio formal education ambayo inakuwa determined na certificates.., simjui mzee Bakhresa ila katika application ya issues unajua mangapi amejifundisha hence self educated.. ?

Certificates zina maana moja tu.., yaani leseni ya kutambulisha unajua kitu fulani ili ufanye kazi fulani ili uweze kukidhi mwisho wa siku mahitaji yako..

Pesa nayo ni makaratasi tu.., ambayo hata yakiwa hayapo watu watafanya barter trade ya kubadilishana vitu.., kama unabisha refer Zimbwabwe au Argentina kipindi fulani yaani hilo karatasi la kutengenezea pesa lina thamani kuliko hata hio pesa...., kwahio most important things ni needs and wants za individual.., how to get those needs you might need money.., ila if education means LEARNING.., you can not survive without learning ( be it self taught or taught).., you will die...
 
Kwa niaba ya Karucee na Kasie

Napenda kuunga mkono hoja kwamba peana sisi Pesa ya kutosha bhana... Yaani kuwa na Pesa tayari unakuwa ushakuwa na elimu..

Narudia... Pea sisi hela nyingi sana.

Tutajenga madarasa na kuwalipa mishahara walimu wafundishe wazembe wasiopenda pesa....

Pesa pesa pesa... Pesa ni sabuni ya roho!


Ooh baby Asprin, eeh I mean Babu Asprin umerejea? Novena imeisha?

Kwani tukienda Rodizo bili inatatuliwa na elimu au pesa? Ukienda sheli kulisha kibito tunalipa kwa hela au elimu?

Majibu mwambie mtoa mada apigie mstari ticha aje kusahihisha.

Halafu nimepata notification yako tuu kiwi imepanda....

Sijui nije.....

K.
 
#education is always better na mtu hawezi kufanya kitu kikawa successful bila education
NB
Tunavyozungumzia education inaweza kuwa
1. Formal education -ya shuleni
2. Non formal education -inapatikana kwenye mafunzo mbalimbal mf ujasiriamali
3. Informal education -inaptkan kila siku kadri mtu anavyointeract na watu daily
HATA kama mtu ajaenda shule basi lazima atatumia elimu mbili za mwisho kufanya mambo yake

@kwa kesi ya elimu ya darasani (formal)
na pesa, pesa ndio kila kitu
 
"Kuzaliwa Maskini sio kosa lako ila kufa maskini ni kosa lako... "
Alisikika mzee mmoja akitamka hayo kwa vijana wake.
 
Cha ajabu hao matajiri wasiosoma ,wanawapeleka watoto wao shule za gharama.Hapo sasa ndio ujiulize kwa nini wasiwaache watoto wawe na elimu kama zao.
 
does one need education to innovate ?, I can tell you for sure without capital injection Research and Development dies even before it starts
Sure, I understand... Whilst you are educated you're in a pole position to use your education especially 'Certifications' as a matter of 'Bond' and you can benefit from it by getting some 'Loans' as a compile. Let's back to Matchbook Index of 2017 it suggest that 7/10 from who are educated they requested loans comparing to 2/10 foresee.
 
Thank you chair person and all members in this session ladies and gentlemen, boys and girls kings and Queens
am here to propose the motion which states that money is better than education by the following factors
First money is medium of an exchange so if you have money you can grant any thing you like
 
thank you chairman, time keeper,secretary and my fellows, money is beta zan edukeesheni am done.
 
Money is more important than Education In my experience, 80% of those who are educated and those who are still in school or college and university, they are just going to school, because they just want to get the better pay. To be honest, most of educated people are just looking for the comfort zone. And they don’t know how to think outside of the box. Except earning money or employing.. I mean they don’t know how to make money, but they only know how to earn money and they are proud for it silly. It’s was sad. Education make employees and money make employers.

Money is the most common thing that you need in your daily life without money it is impossible to live a single second. In every field of life like food, shelter and education we need money without money we can't do these thing. Although we can't buy happiness from money but we can buy all the things of comfort that makes us happy, Let’s see how many people in our country (Tanzania) who have been educated and still struggling to find the job and what we know those who looking for job mainly purpose is to have salary and being rich someday but if you have money already no need to look for a job but you will look for those who need job to employ

Nowadays the most important is money because having a quality education you need to have money in order to get it, just imagine those poor people who fail to get a good and quality education they still struggling due to expenses of education but what if you have money means you will get better education and better life having all what you planned to have.
 
Ooh baby Asprin, eeh I mean Babu Asprin umerejea? Novena imeisha?

Kwani tukienda Rodizo bili inatatuliwa na elimu au pesa? Ukienda sheli kulisha kibito tunalipa kwa hela au elimu?

Majibu mwambie mtoa mada apigie mstari ticha aje kusahihisha.

Halafu nimepata notification yako tuu kiwi imepanda....

Sijui nije.....

K.
Hebu usije mpk weekend ipite. Nina kazi nataka nimalizane na shetani kwanza. Ananiletea ujinga kwenye mambo ya starehe..

Hebu twenzetu kwanza inbobo ukapeane mimi mawasiliano nikuoneshe kitu changu.

Ukisusa nakutenga kwenye urithi.
 
Hela ni muhimu
Ukiwa nayo utapata kila kitu.
Ukisoma unaweza usielimike na ulichosomea kinaweza kisikusaidie tibiwa au kwenda mjini.

Hela inakufanya upate kila kitu hata hiyo elimu inategemea hela hiyo hiyo
 
Hebu usije mpk weekend ipite. Nina kazi nataka nimalizane na shetani kwanza. Ananiletea ujinga kwenye mambo ya starehe..

Hebu twenzetu kwanza inbobo ukapeane mimi mawasiliano nikuoneshe kitu changu.

Ukisusa nakutenga kwenye urithi.


Hahahahahsaa kaaamiiing'ii big Sam, naanzaje kuukosa urithi...

Mmuah!!.
 
Back
Top Bottom