Kaduguda
JF-Expert Member
- Aug 1, 2008
- 724
- 641
Ngoja nitawapaka hawa wachungaji wanaochunga matumbo yao!
Ukiwapaka utakuwa huwatendei haki, bali waelimishe kwa umakini kama kawaida yako. Kama wamekosea waoneshe ni wapi lilipo kosa lao, maana haiyumkini mpaka sasa hawajajielewa kama tunavyodhani sie.